dazipozi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 1,137
- 106
Hao wasanii tu hawana lolote, wanatengeneza jina wapate wateja au umesahau yale ya Dk. Manyaunyau wa Gongola mboto sasa anamiliki MaDCM kibao ya Gongolamboto Posta
wajinga wajinga kama nyinyi lazima muibiwe