Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
- Thread starter
- #21
ndugu yangu inaonesha hata mimi nikikujua naweza nikakuwasha,hao ndio wanaitwa WASHAWASHA,kuna njia nyingi za kumuua paka,hapo ukweli hakuna ni zengwe tu,stuka! Nalog off
Duh we ni m-bishi kama tomaso wa Yesu, sasa hapo zengwe linakuaje mkuu wakati watu wanaaibika? na inakuaje huyo waziri wa kikwete akapiga mkwara wasiende kijijini kwao??