Uchawi haupo, ni imani tu

Unachonishangazani kua unaamini kuna dini na yesu,halafu huamini kama uchawi upo wakati kitabu ulichochagua kukiamini kinasisitiza kua nguvu za giza zipo na wafuasi wake wanahimizwa kuziepuka kwa kua ni dhambi..sasa si ujinga huu?
Hapo kitabu chako kinasema upo

KOL. 1:13-14 SUV​

Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake; ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi
Rudia kusoma uzi wangu taratibu.Wengi hawajanielewa kwasababu ya kusoma haraka haraka bila kutuliza ubongo
 
Yaani huyu kama kweli atatoa majina! Atapatiwa ima jini la kiume au la kike then mrejesho wake ataandika hata habari ya popo bawa.
Hivi Mchawi wa kweli kweli anashindwaje kujua jina langu?,Huo nao ni Ushahidi kuwa Uchawi haupo,na hao wanaojiita Wachawi hawana lolote.
 
Mimi nimejitolea atoe majina then usiku mmoja tu anarudia hali ake ili aje atoe ushahidi ajabu hatoi majibu.
Wewe huna lolote,Wachawi ninao wajua mimi wangeshajua jina langu hata bila kuambiwa,sasa wewe inaonesha ni walewale wapiga kelele mithili ya Mbwa kibogoyo anayebweka.
 
Naapa if real hudhuriki na huamini uchawi upo.nakuomba tena nakuomba nipe hata pm tu chief jina lako halisi.

Kwanini nataka majina halisi ni kwa sababu ya kurahisisha kazi ndugu angu ndo maana nasema ili kazi iwe ya haraka nipe hayo majina usiku mmoja tu kesho kutwa ulete mrejesho.

Maandishi yetu ni ushahidi wa milele ima Mimi au wewe so toa majina .
Bwana ee nijuavyo mimi Mchawi lazima awe tayari anajua jina halisi la mtu anayetaka kumroga,kushindwa kwako kujua jina langu halisi umeshafeli mtihani wangu.Nina sababu nyingi za kuto kukupa jina langu halisi si kwamba nimeogopa la hasha!!!,nikikupa jina langu halisi inakuwa haina maana ya Feki ID,kwasababu mimi siogopi Uchawi wala chochote,lkn kwasababu ya Privacy sipendi kufahamika.Yote Tisa ungekuwa Mchawi kweli ungeshanijua mimi ni nani?,ni wa namna gani?,ikiwezekana hata kujaribu ndipo ukutane na moto wa Yesu jinsi utakavyokuunguza
 
Kuhusu mambo ya kiroho na kanuni zake watu wengi ni wajinga ukiwemo ww mleta uzi tena umjinga haswa, soma sana makala na sikiliza sana mafundisho ya kiroho utaondoka na huo ujinga ulionao...
Kwa kifupi sana iko hv, sambamba na ulimwengu huu wa mwili tuouishi Kuna ulimwengu mwingine wa kiroho ambapo kuna pande mbili nuru na giza, hizi pande zote zina nguvu za kuathiri mambo yanayotokea ktk ulimwengu wa mwili, ni ww mwenyew ndio utachagua utumie nguvu za upande upi kuathiri jambo wengine wanatumia maombi na sala huu ni upande wa nuru na kuna ambao wanatumia uchawi na ulozi hawa wamechagua giza
kukanusha kitu ambacho kipo na kuna ushahidi wa maandiko juu ya uwepo wa kitu hicho ni dalili ya ukafiri
Hujanielewa mkuu.Nashukuru kwa kuniita mjinga hapo hujanielewa
 
Urogwe ufe??, kwasababu ukifa hautotokea tena ndani ya jf, sasa kubali au kataa.---- sisi hatutanii na wala usimlaumu mtu kwa hili, wewe si unapinga juu ya uchawi wakati unasoma Biblia ambamo kuna wachawi wa Pharaoh wametajwa.

Nyie mnapoteza mda wenu bure , mleta mada hamnazo, watu washafanya yao, kashawekwa msukule huyo
 
Back
Top Bottom