Uchawi haupo, ni imani tu

Uchawi haupo, ni imani tu

Unaweza ukaandika mambo mengi sana
Alafu ukashindwa kutupa tafsiri sahihi ya neno uchawi
Uchawi kwanza ni nini? Ebu tuanzie hapo kwanza
Zipo aina ngapi za uchawi kwa iman yako
 
Unaweza ukaandika mambo mengi sana
Alafu ukashindwa kutupa tafsiri sahihi ya neno uchawi
Uchawi kwanza ni nini? Ebu tuanzie hapo kwanza
Zipo aina ngapi za uchawi kwa iman yako
Nishasema uchawi haupo.
 
Kwa hiyo wewe unauamini Uchawi?
Nimeu-experience sema ni kitu ambacho hauwezi kuamini kama hujakishuhudia...na mtu hawezi kukuaminisha mpaka uje ukutane na matukio ambayo yako juu ya uwezo wa binadamu. Ambayo unasema kabisa hili haliwezekaniki kibinadamu.

Ukishakutana na miujiza na matendo makuu anayofanya Mungu maishani mwako...hilo la uchawi haliwezi kukusumbua kuamini kuhusu uwepo wake.
 
Baraka ya watu,vitu,n.k.ni kawaida kwa Imani yangu km Mkristo Mkatoliki,nafanya hivyo km ishara ya kumkabidhi Mungu jitihada zangu ili kupitia maombi ya Mtumishi wake niweze kufanikiwa.
Kwanini ulipeleka mbegu kanisani kuombea, huku ukiamini ushauri wa kitaalamu, kwenye kilimo.
Je kilichofanikisha wewe kupata mazao mengi, ni kanisa au kufuata kanuni za kitaalamu.
Je, mtu akienda kupanda mazao yaliyoombewa, bila kufuata kanuni za kitaalamu kwenye zao husika atavuna mazao mengi.
Je mtu akifuata tu kanuni za kitaalamu, bila kwenda kuombea mbegu atavuna kwa wingi.
Na kama hivyo vitu viwili havitengani, je wanaolima huku wakiwa hawaamini Mungu hawavuni mazao mengi.

Yote kwa yote, sayansi haimshirikishi Mungu, ingawa watu wa Mungu wanatambua sayansi, na kuitumia.
 
Nishasema uchawi haupo.
Mbaka hapo hoja huna
Wakristo wanasema yesu ni mungu mkuu,,
Pasi na kutoa maelezo

Na waislam nao wanasema yesu si Mungu
bila hoja yeyote ya kuthibitisha

Alafu ukiulizwa toa ufafanuzi
Majibu ,, ndio nishasema
huo ni uchache wa hoja
Simama kutetea hoja yako kwa hoja

hauwezi kusema jela hakuna eti kwa sababu mm mwenyewe najishuhudia sijawahi kwenda jela,,

Kwa hiyo waliopo jela ni wajinga
Uchawi hakuna basi kwa akili zako

Unaulizwa nn maana ya uchawi jibu huna
basi kwa taarifa yako
Ukisikia mtu anafanya miujiza
Tambua tu anafanya uchawi

Yesu alifanya uchawi
Musa alifanya uchawi
Ibrahim alifanya uchawi
Nuhu alifanya uchawi
Muhamad alirogwa na wachawi
Soma vitabu vingi upata habari kasome habari za wakina kisisina ndio walioshusha vitabu vya tiba..
 
Back
Top Bottom