Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,481
- Thread starter
- #41
Kwa hiyo wewe unauamini Uchawi?Kuna mambo huwezi kuamini kama yapo mpaka yakutokee binafsi. Nguvu za giza zipo...sema bado hujazishuhudia tu.
Kwa hiyo wewe unauamini Uchawi?Kuna mambo huwezi kuamini kama yapo mpaka yakutokee binafsi. Nguvu za giza zipo...sema bado hujazishuhudia tu.
Tafsiri yake uliielewa lkn?Kuna yule Musa aligeuza fimbo kua nyoka, na wale wachawi walifanya nini?
UCHAWI UPO
"Not everything is for everybody"
Kuwepo utakuwepo ila hautokudhuruBasi mwamini Mungu uone km Uchawi utakuwepo.
Kwenye akili yako hauwezi kuwepo,labda akili za wengine.
We ni kabila gani?Kwenye akili yako hauwezi kuwepo,labda akili za wengine.
Mkuu kuulizana Makabila tena??
Yepi yasinikute?,yatanikutaje wakati hakuna?.Umetumia maneno mengi ,lakini omba yasikukute
Amini amin nakwambia endelea kuamini unachoaminiYepi yasinikute?,yatanikutaje wakati hakuna?.
Nishasema uchawi haupo.Unaweza ukaandika mambo mengi sana
Alafu ukashindwa kutupa tafsiri sahihi ya neno uchawi
Uchawi kwanza ni nini? Ebu tuanzie hapo kwanza
Zipo aina ngapi za uchawi kwa iman yako
Aminaamini
Amini amin nakwambia endelea kuamini unachoamini
Nimeu-experience sema ni kitu ambacho hauwezi kuamini kama hujakishuhudia...na mtu hawezi kukuaminisha mpaka uje ukutane na matukio ambayo yako juu ya uwezo wa binadamu. Ambayo unasema kabisa hili haliwezekaniki kibinadamu.Kwa hiyo wewe unauamini Uchawi?
Kwenye kitabu hicho hicho anachokiamini, kimeongelea uchawi, labda ndani ya kitabu kimoja kuna anayoyaamini, na asiyoamini.Uchawi upo sema wewe ulikua na imani thabiti kwa Mwenyezi Mungu na ndio maana ukashinda majaribu yote.
Kwanini ulipeleka mbegu kanisani kuombea, huku ukiamini ushauri wa kitaalamu, kwenye kilimo.Baraka ya watu,vitu,n.k.ni kawaida kwa Imani yangu km Mkristo Mkatoliki,nafanya hivyo km ishara ya kumkabidhi Mungu jitihada zangu ili kupitia maombi ya Mtumishi wake niweze kufanikiwa.
Mbaka hapo hoja hunaNishasema uchawi haupo.