Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
- Thread starter
- #261
Ndio maana nikasema Uchawi haupo kwa wenyewe,ila kilichopo ni Imani tu,maana yake uwepo wa Uchawi unategemea mindset yako.Biblia yenyewe inasema usiache mwanamke mchawi aishi, wewe mtoto wa juz bado unanuka maziwa unakuja kuropoka utopolo, huu uzi ma mods wauweke kwenye jukwaa la jokes