Uchawa wa Viongozi unatisha

Uchawa wa Viongozi unatisha

Jiwe ndio alianzisha huu ujinga kuwapendelea zaidi wanaomsifia sasa saivi imekuwa kama ugojwa bila mama kukemea kwa hakika ipo siku watasema Sa100 ndo ametuletea uhuru kutoka kwa mkoloni
 
Bibi chaudele mwenyewe anaona raha kuimbiwa mapambio kama hayo ambayo beti zake hazina mwisho na ndio maana hujawahi kusikia siku anakemea hizo pambio
 
Hakika Leo nimeamini kuwa Taifa hili tumefika hapa tulipo Kwa ajili ya unafiki na uchawa wa Viongozi ambao ndiyo washauri wa Rais kuwa waongo na watu wakujipendekeza tu kwenye mamlaka ya uteuzi.
Haiingii hakilini eti kadogosa DG wa TRC anasema Rais SAMIA kawashinda wajerumani katika ujenzi wa reli, wakati ukweli haupo hivo, hata angekuwa anamsifu Kwa kuanza Kwa SGR watanzania tunajua kuwa wazo hili ni JPM,,,,na pia kuna uchakachuaji mkubwa wa mradi ule Kwa Sasa mbali na kucheleweshwa kukamilika kwake kutokana na wizi unaoendelea. Kadogosa acha kumdanganya mama Samia, fanya kazi. Action speaks louder than words,,,,,,
kutofautiana mawazo, mtazamo ama maoni juu ya jambo fulani ni jambo la kawaida na ni afya kwa uhuru wa kujieleza. Ni vizuri kivumiliana, lakini zaidi kukubaliana kutofautiana bila kubezana wala kupeana majina......
 
Hakika Leo nimeamini kuwa Taifa hili tumefika hapa tulipo Kwa ajili ya unafiki na uchawa wa Viongozi ambao ndiyo washauri wa Rais kuwa waongo na watu wakujipendekeza tu kwenye mamlaka ya uteuzi.
Haiingii hakilini eti kadogosa DG wa TRC anasema Rais SAMIA kawashinda wajerumani katika ujenzi wa reli, wakati ukweli haupo hivo, hata angekuwa anamsifu Kwa kuanza Kwa SGR watanzania tunajua kuwa wazo hili ni JPM,,,,na pia kuna uchakachuaji mkubwa wa mradi ule Kwa Sasa mbali na kucheleweshwa kukamilika kwake kutokana na wizi unaoendelea. Kadogosa acha kumdanganya mama Samia, fanya kazi. Action speaks louder than words,,,,,,
Nilifikiri una hoja nzito zaidi ya hiyo iliyoathiriwa na ulindaji wako wa legacy. Ni ujinga mkubwa kujilinganisha na hawa wenzetu weupe kwani wamepita huko musa mrefu sana. Lakini ni uj8nga mkubwa zaidi kupinga uchawa kwa sababu ya uchawa (ulinda legacy) huohuo..
 
Nilichogundua hizi huwa ni kampeni kabla ya uchaguzi,sifa zinakuwa nyingi kupitiliza mfano kile kipindi cha miaka 3 ya mama ni kampeni ile kama hamjashtuka ingekuwa kama sio kampeni wasingekuwa wanasifia tu na hawakosoi ina maana hakuna alipofeli.
 
Wapo jikoni ni haki Yao kusifia mapishi ya mwenye nyumba , hivi huwa familia zao zinasikiliza na kuona yawatokayo maana yataka Moyo. Binadamu umpenda amsifiaye kwa sana lakini hawa hapana!
 
Hakika Leo nimeamini kuwa Taifa hili tumefika hapa tulipo Kwa ajili ya unafiki na uchawa wa Viongozi ambao ndiyo washauri wa Rais kuwa waongo na watu wakujipendekeza tu kwenye mamlaka ya uteuzi.
Haiingii hakilini eti kadogosa DG wa TRC anasema Rais SAMIA kawashinda wajerumani katika ujenzi wa reli, wakati ukweli haupo hivo, hata angekuwa anamsifu Kwa kuanza Kwa SGR watanzania tunajua kuwa wazo hili ni JPM,,,,na pia kuna uchakachuaji mkubwa wa mradi ule Kwa Sasa mbali na kucheleweshwa kukamilika kwake kutokana na wizi unaoendelea. Kadogosa acha kumdanganya mama Samia, fanya kazi. Action speaks louder than words,,,,,,

..mbona Magufuli anasifiwa kwa ujenzi wa makao makuu Dodoma, wakati inajulikana wazo ni la Mwalimu Nyerere?

..Samia anastahili sifa kwa kukamilisha miradi ambayo Magufuli hakuikamilisha.

..Na Samia akiondoka mrithi wake atasifiwa kwa kukamilisha miradi iliyoanzishwa, au ambayo haikukamilika, wakati wa utawala wa Samia.
 
Itakuwa kuna mpango fyongozi wamelazimishwa kusiiiifu kwa kujimaliza lasivyoo....
Haiwezekani mtu anajitoa ufahamu kihovyo.
kilakitu kinafanywa kwa kodizetu lkn machawa wanavipa majina ya viongozi Kila kijengwacho!! Mf. Uwanja Arusha ungeitwa Sokoine stadium kuita jina la kiongozi wasasa ni kujipendekeza kwake ili kupata vyeo na huwo ni uchawa kichaa!
 
Hakika leo nimeamini kuwa Taifa hili tumefika hapa tulipo Kwa ajili ya unafiki na uchawa wa Viongozi ambao ndiyo washauri wa Rais kuwa waongo na watu wakujipendekeza tu kwenye mamlaka ya uteuzi.

Haiingii akilini eti kadogosa DG wa TRC anasema Rais SAMIA kawashinda Wajerumani katika ujenzi wa reli, wakati ukweli haupo hivyo.

Hata angekuwa anamsifu kwa kuanza Kwa SGR Watanzania tunajua kuwa wazo hili ni Hayati Magufuli na pia kuna uchakachuaji mkubwa wa mradi ule kwa Sasa mbali na kucheleweshwa kukamilika kwake kutokana na wizi unaoendelea.

Kadogosa acha kumdanganya Rais Samia, fanya kazi.

Action speaks louder than words

Tanzania haiwezi kusonga mbele mpaka mpate katiba mpya.

Rais apunguziwe nafasi za kuteua. Watu wafanye open interview wapatikane watu wenye SIFA na uwezo kichwani. Hizo sifa sitapungua sana

Nafasi za kuteua zina leta snaa uchawa hadi inaboa, weledi unawekwa kando. Mama anashukuriwa na kusifiwa as if pesa anatoa kwenye mfuko wake.

Watanzania hatutaki kujua nani kajenga mradi, tunataka kuona mradi unafanya kazi kwenye competitive price. Tunajua ni nani mwanzilishi wa mradi, tupunguze uchawa

On the other hand , huyu CEO wa TRC aliupataje u CEO , he does not look even smart hata akiongea, ni mtu asiye jiamini na ana wasiwasi mwingi, kuna haja ya kuchunguza, kuna upigaji mkubwa ndio maana ni SIFA kwa mama muda wote.

Mama hizo SIFA sio realistic, kuna vitu unafichwa kupitia sifa, na ukweli ni kwamba
Nenda kwa lower society uone wasivokutaka kabisa kwa hali ya maisha uliyoileta. Hawa wateule wako kuwa nao makini, sifa nyingi kwako ni ili kulinda vyeo. Ukitaka kujua hakuna mwingi unaopigwa, talk to real people wa hali ya chini
 
Hakika leo nimeamini kuwa Taifa hili tumefika hapa tulipo Kwa ajili ya unafiki na uchawa wa Viongozi ambao ndiyo washauri wa Rais kuwa waongo na watu wakujipendekeza tu kwenye mamlaka ya uteuzi.

Haiingii akilini eti kadogosa DG wa TRC anasema Rais SAMIA kawashinda Wajerumani katika ujenzi wa reli, wakati ukweli haupo hivyo.

Hata angekuwa anamsifu kwa kuanza Kwa SGR Watanzania tunajua kuwa wazo hili ni Hayati Magufuli na pia kuna uchakachuaji mkubwa wa mradi ule kwa Sasa mbali na kucheleweshwa kukamilika kwake kutokana na wizi unaoendelea.

Kadogosa acha kumdanganya Rais Samia, fanya kazi.

Action speaks louder than words
Uchawa ndio Sifa Kuu ya Mtu kuweza kupata uteuzi. Wengi wanaosifia sana wako kwenye mkakati wa 'Kuvizia Uteuzi.'
Bila kufanya uchawa, kamwe huwezi kupata uteuzi hapa Tz.
 
Hakika leo nimeamini kuwa Taifa hili tumefika hapa tulipo Kwa ajili ya unafiki na uchawa wa Viongozi ambao ndiyo washauri wa Rais kuwa waongo na watu wakujipendekeza tu kwenye mamlaka ya uteuzi.

Haiingii akilini eti kadogosa DG wa TRC anasema Rais SAMIA kawashinda Wajerumani katika ujenzi wa reli, wakati ukweli haupo hivyo.

Hata angekuwa anamsifu kwa kuanza Kwa SGR Watanzania tunajua kuwa wazo hili ni Hayati Magufuli na pia kuna uchakachuaji mkubwa wa mradi ule kwa Sasa mbali na kucheleweshwa kukamilika kwake kutokana na wizi unaoendelea.

Kadogosa acha kumdanganya Rais Samia, fanya kazi.

Action speaks louder than words
VIONGOZI WAMERUKWA NA AKILI
 
Tunapigiwa kelele za ROYO TUWA kilasiku kuwa imeleta watalii hatariiiiii....
Kenya hakuna Cha ROYO TUWA na wametuacha mbaaaali kuhusu utalii na idadi ya watalii 2021 - 2023
 
Back
Top Bottom