Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 22,177
- 45,783
Kanzu ni vazi la waislamu Tanzania bado sana aisee..
Hayo mavazi si ya Kiislamu. Ni ya Jamii ya Kiarabu muwe mnajua tofautiUpumbavu na uchawa tu. Wewe ni mkristo tena mla kitimoto, mavazi ya kislam yanakuhusu nini?
Ndiyo ujue ilivyo vigumu hao watanganyika tunaowategemea kuipigania tanganyika.Bora kufa masikini kuliko kumpigia magoti mwanadamu.
Sasa yeye ni mwarabu au jamii yake ni ya kiarabu? Sisi huwa tunavaa kanzu na koti juu lakini haweki kakibaragashia. Anyway huwezi mpangiq mtu mavaziHayo mavazi si ya Kiislamu. Ni ya Jamii ya Kiarabu muwe mnajua tofauti
Unapovaa suit au shati na suruali wewe ni mzungu?Sasa yeye ni mwarabu au jamii yake ni ya kiarabu? Sisi huwa tunavaa kanzu na koti juu lakini haweki kakibaragashia. Anyway huwezi mpangiq mtu mavazi
Mwafrika, ni mavazi ya sehemu zote, hayana uhusiano na diniUnapovaa suit au shati na suruali wewe ni mzungu?
Sasa wewe nani kakuambia kanzu na koti ni mavazi ya dini? Na mwafrika alianza lini kutengeneza suits na kuvaa tai?Mwafrika, ni mavazi ya sehemu zote, hayana uhusiano na dini
Kanzu, koti na kibaragashia siyo vazi la dini? Basi hapa hakuna mtu.Sasa wewe nani kakuambia kanzu na koti ni mavazi ya dini? Na mwafrika alianza lini kutengeneza suits na kuvaa tai?
Hilo nalo likatazamwe kama nyumba inaungua.Hivi ni lazima Mkristo kuvaa mavazi ya kiislam katika msiba wa Muislamu
Alternatively , waislamu mbona huwa hawavai misalaba wanapokwenda kuwafariji wakristo?
Mmeshaambiwa ukristo siyo dini Acha waminyane na mavazi ya kidiniHivi ni lazima Mkristo kuvaa mavazi ya kiislam katika msiba wa Muislamu
Alternatively , waislamu mbona huwa hawavai misalaba wanapokwenda kuwafariji wakristo?
Atasema ni vazi la wazee wa kihaya.Kanzu, koti na kibaragashia siyo vazi la dini? Basi hapa hakuna mtu.
Kwanini mng'ang'anie kuvaa hayo mavazi kwenye misiba na sherehe za waislam kama siyo mavazi ya kidini? Mbona hamvai huko kanisani na sikukuu za krismas?Kanzu, koti na kibaragashia siyo vazi la dini? Basi hapa hakuna mtu.
We huna akili. Kanzu walivaa hata manabiii kama hujui. Upate elimu. Kanzu ni vazi la kitamaduni huko masharikiKanzu, koti na kibaragashia siyo vazi la dini? Basi hapa hakuna mtu.
mbona waislam huchachamaa muhuni anapovaa kanzu na kibaraghashia kwa kuona dini yao inadhihakiwa?Kanzu sio vazi la kiislamu. Ni vazi la kitamaduni. Kama ilivyo mtandio.
Kama ni hivyo, basi suti ni vazi la kikristu. Kwa hiyo ni kosa waislamu kuvaa suti wanapoenda kumfariji Mkristu.
Siku mkristu akibeba tasbih kwenda kutoa pole ndio tutamshangaa. Kama ambavyo tutamshangaa muislamu atakaye fanya hivyo huku kavaa msalaba.
Amandla...
Humo kichwani mwako umejaza nini? Mbona mgumu sana kuelewa. Nazungumzia kanzu,koti na kibaragashia. Wewe umekaza fuvu na kanzu. PatheticWe huna akili. Kanzu walivaa hata manabiii kama hujui. Upate elimu. Kanzu ni vazi la kitamaduni huko mashariki
Waislamu wapi hao? Kuna waislamu wanaochachamaa wakiona mkristu anakula wakati wa mwezi Ramadhan. Ukiwauliza wanao jua dini yao wanasema hiyo sio sahihi. Waislamu na wakristu wengi hawazijui dini zao. Ndio mwanza wa matatizo yetu ya udini.mbona waislam huchachamaa muhuni anapovaa kanzu na kibaraghashia kwa kuona dini yao inadhihakiwa?