Uchambuzi wa nyota kila siku

Uchambuzi wa nyota kila siku

nimejaribu kufuatilia katika usomaji naona kama kuna vitu vinarandana Ila nitahitaji msaada wako
Nimeangalia nyota tatu
1.Tarehe na mwezi wa kuzaliwa ( mshale)

2.Herufi ya kwanza ya jina ( ng'ombe )

3. Jumla ya jina la muhusika ukijumlisha na jina la mama yake kwa kuitumia abjdi ( samaki)

Nilivyotafsiri kwa kutumia maelezo hapo juu naona kama vinarandana
Je njia hii nitakuwa sahihi au nitakuwa nome-over understand?
Hii nilisha jibu kwenye comment za nyuma
 
NYOTA YAKO LEO ALHAMIS JULAI 31/2025:

UKIWA NA SHIDA YOYOTE YA KINYOTA NA TIBA, NIPO MOROGORO MJINI NAPATIKANA KILA SIKU OFISINI KWANGU FOREST KILEKA KUANZIA SAA 12 ASUBUHI MPAKA SAA 12 JIONI.

MAALIM ANAPATIKANA MUDA WOTE.



★SIMBA LEO 🦁 (Julai 23– Agosti 22)

usiwaze wala usiwe na wasi wasi maana inaonekana mawazo wakati mwingine yanakujia gafla lakini utabiri wako unaonyesha kila utakacho kifanya utafanikiwa ni vyema kuitumia fursa ulioipata vizuri kwa kutimiza malengo yako.

•Utasikitishwa na mahusiano yako leo yatakukosesha furaha vumilia yatakuwa sawa lakini marafiki sio wazuri kwenye mahusiano yako kuwa na tahadhari hiyo.

★MASHUKE– VIRGO ♍ (Agosti 23– September 23)

Kazi zako Leo zina khasara ongeza umakini na ikiwa kazi binafsi basi zidisha ustaarabu Leo ukali kidogo utapoteza vyote Leo na kuna mtu atahitaji mgombane basi jizuie na hasira zako na ikiwezekana jishushe kupitiliza Leo kwakuwa kuna hali ya kudhalilishana au kufedheheshana kati yako na huyo adui yako.

•Alhamisi hii ni nzuri kwako ingawa kuna jambo linakushuhulisha sana muda mrefu lakini niwakati wakuwa na subra utaona muelejeo mzuri katika mambo yako.

★MIZANI– LIBRA ⚖️ (September 24– Oktoba 23)

Mapenzi kwako Alhamisi hii yapo kati kati mwenza wako anaweza kukupa taarifa ambazo zinaweza kukuchanganya unashauriwa kukaa kimya na kuweza kufanya uhakiki wa hizo taarifa kabla ya maamuzi.

•Kazi zako au biashara zako zinaonekana zitaenda vizuri na utanufaika.

★NG'E– SCORPION 🦂 (Oktoba 24– November 21)

jikaze kufanya kazi jitume sana huenda ukawa na mafanikio makubwa katika kipindi hiki lakini inawezekana pia ukatafuta mtu akakuondolea vifungo ulivyo navyo.

•Punguza zarau kwa mwenza wako ulie nae kitambo usiijigambe sana kwake na ukasahu aliko kutowa ingawa una mahusiano sehemu nyingine isiwe ni sababu ya kumkejeli na kumdharau mpenzi wako wa zamana kwani inawezekana ukauwa mapenzi yenu na siku moja utamkumbuka.

★MSHALE– SAGITTARIUS 🏹 (November 22– December 21)

inawezekana Alhamisi hii ukapata jambo la ghafla ambalo linaweza kukushituwa au unaweza kupata taarifa ambazo hujazitegemea ni vyema ukawa mpole maana jambo lenyewe linaweza likawa sababu ya wewe kufaulu mtihani ulio nao.

•Utapata matumaini mazuri mno Leo na ishara ni njema zaidi kwenye maswala yako inaonekana nuru tu leo.

★MBUZI– CAPRICORN 🐐 (December 22– January 20)

inaonyesha Alhamisi hii kuna uwezekano mkubwa wakupata mtu atakae kutatulia shida yako maana unakabiliwa na matatizo mengi ni vyema ukawa na subra na kuzidi kuomba mungu mambo yako yatakaa sawa.

•Mahusiano yako yapo vizuri na mtu wako wa karibu atakufurahisha au atakufariji Leo na kuna habari njema atakuja nayo Leo au atakupatia.

★NDOO– AQUARIUS 🏺 (January 21– February 19)

Alhamisi hii kuwa makini maana utakutana huenda ukakutana na adui yako ambae hamuelewani ni vyema ukawa mpole na kukubali kujishusha maana inawezekana ikawa ndo chanzo cha wewe mambo yako kuharibika.

•Utapata msaada mkubwa kwenye mambo yako na bahati zako kubwa zitafunguka kwa kasi zaidi tegemea mazuri na chochote nafsi yako inakusukuma ufanye kifanye usijali gharama wala muda ila kila kitu chako kinaonekana kipo vizuri na haja zako zitatimia .

★SAMAKI– PISCES 🐟 (February 20– March 20)

Inawezekana kuna jambo unalotaka au unafikiria kufanya juu ya mapenzi yako huenda ukafanikiwa lakini unashauriwa upunguze tamaa unapenda huyu na yule huwezi kukamilisha malengo yako ya kimapenzi endapo utaendelea na tabia yako hiyo.

•Pia kuna kitu chako kizuri kitaharibika au utakiharibu mwenyewe tegemea kupoteza kitu muhimu.

★PUNDA– ARIES 🐏 (March 21– Aprili 20)

Alhamisi hii unatakiwa kujipanga pia kupata utulivu wa kuweza kukamilisha majukumu yako ulio nayo maana una majukumu mengi kiasi kwamba unahisi yatakulemea ila kwakuwa wewe ni punda ujasiri wako na kujiamini kwako ndio kutakufanya uweze kufanikiwa kutimiza majukumu yako yote.

•Mahusiano yako yatakuwa na vurugu za hapa na pale ila yanapita pia safari zako ni nzito leo panga siku nyingine.

★NG'OMBE– TAURUS 🐂 (Aprili 21– May 20)

Alhamis hii utapata fedha au utapata Ahadi ya kupata kiasi Fulani cha fedha lakini pia unashauriwa ulipe au uwanze kupunguza madeni ulio nayo maana yanaweza kukuletea Shida na ukose furaha na amani.

•Mahusiano yako yapo vizuri na ikiwa una mgonjwa atakuwa sawa

Safari zako ni nzuri.

★MAPACHA– GEMINI ♊ (May 21– Juni 20)

usiwe mtu uliekosa maamuzi fanya dua nyingi Alhamis hii kuna pesa utapata ambayo hukutegemea lakini uwe muaminifu na mkweli kwani inawezekana ukapata fursa nzuri na ukafanikiwa kutimiza malengo yako ulio nayo.

•Utapata matumaini makubwa na mazuri kwenye mipango yako haja zako kwa ujumla zitaenda vizuri au zitatimia bila shaka yoyote.

★KAA– CANCER 🦀 (Juni 21– Julai 22)

Alhamisi hii ni nzuri kwako kiasi ingawa nyota yako inaonekana kutawaliwa na vifungo vya mufilisi yani kuna uwezekano mkubwa ukapata hasara katika biashara zako au cheo chako kikashuka lakini ukitumia akili ya kupata ushauri kwa watu wenye elimu ya nyota utafamikiwa kueka mambo yako sawa.

•Waheshimu walio juu yako au waliokuzidi umri ili kuruhusu bahati kuvwa zaidi kuwa na wewe pia safari zako ni nzuri sana.

★★★★★★★★★★★★★★★
Kwa ushauri na mengineyo wasiliana na maalim,niwatakie siku njema na mafanikio mema

MAALIM DOGOLI KINYAMKELA 💀 ☠️ MTABIRI WA NYOTA NA MTAALAM WA MAMBO MBALI MBALI YANAYO HUSIANA NA NYOTA ZENU.
IMG-20250629-WA0012(36).jpg
 
USIPIGANE NA VIUMBE VYA KIROHO BILA SABABU, UTAJIUMIZA!

DOGOLI KINYAMKELA 💀 ☠️ (Dr)


Acha leo, kidogo niongee na wapendwa au walokole na hata ambao 'hawajaokoka' lakini mna umahiri katika kupigana vita vya kiroho dhidi ya roho zisizokuwa na miili.
Nimepata hii idea baada ya kuongea na mlokole mmoja ambaye ameniomba nimsaidie maana ameteswa mengi kwenye ndoto na kile alichokiita yeye ni mizimu ya kwao!
Sio yeye tu, bali nimekutana na watu kama yeye ambao
pale wanapolala, wakiota vitu au viumbe visivyoeleweka au labda amelala, lakini akaota anapaa juu, au anaogelea au anasex nk., akishtuka tu usingizini, papo hapo anaanza vita; "shindwa kwa Jina la Yesu" na maneno mengine yanayofanana na hayo, kumbe alitakiwa ajue lugha ya Universe.
Sio kila ndoto ni ya kuvunja 'kwa Jina la Yesu', ndoto zingine ni Universe inakuwa inaongea na wewe mambo fulani fulani kama vile kukufahamisha kuwa una NGUVU ZA ZIADA na hivyo unatakiwa uzijue na kuziboresha ili ziwe na faida kwako.

Kuhusiana na vitu unavyoviona ukiwa usingizini, ni nature ya ulimwengu wa roho kwa mtu kuona vitu akiwa usingizini, sio kwamba vinakuijia bali unao uwezo wa ziada wa ku access ulimwengu wa roho.
Unakuwa na kiwango fulani cha clairvoyance ability (wale mliosoma ile mada ya Paranormal abilities mnajua nachomaanisha hapa)

Ulimwengu wa roho ni nini?

Ulimwengu wa roho ni dimension ya ulimwengu ambamo roho zinaishi na kuendelea na activities zao kama kawaida.

Ninaposema roho maana yake ni roho zote zilizouacha miili.
Kila chenye mwili kina roho.
Yaani kitu chochote chenye mwili, vile vile kina na roho pia. Ndio hiyo tunaita energy.

Kuna roho ya mtu aliyekufa ipo kule, roho ya kenge na nyoka zipo kule, roho ya mbwa, paka, Ng'ombe, samaki, chura, apple, tikiti maji etc, roho zote hizo zipo huko kwenye ulimwengu wa roho (the world of realities)

Kwenye ulimwengu wa roho, kuna ngazi tano za kiroho, unaweza kuziita ghorofa 5.

✍🏻Ngazi ya kwanza au ghorofa ya kwanza ni mineral kingdom spirits

✍🏻Ngazi ya pili ni plant kingdom spirits

✍🏻Ngazi ya tatu ni animal kingdom spirits

✍🏻Ngazi ya nne ni humanoid kingdom spirits

✍🏻Ngazi ya tano ni enlightened humanoid kingdom spirits.

Sasa basi mtu yeyote mwenye ability ya Clairvoyance anao uwezo wa kuziona hizo roho zote kwenye ngazi zote 5.

Kwa kadiri unavyozidi kuwa enlightened kupitia meditation, at first level, uwa unaanza kuona maluelue (hallucinations), lakini kadiri unavyoendelea kwa bidii na meditation utazidi kuona vizuri zaidi kuliko mwanzo na utafika mahali uanze kuelewa kila kitu unachokiona ndotoni.
Lakini kwa watu wasiofanya meditation, wao ni vigumu sana kuelewa mambo ya spiritual realms, lazima waendelee kuona hallucinations. Unaota ndoto hazina kichwa wala miguu, huzielewi, huzikumbuki, zinakuchanganya mpaka unahangaika kutafuta watu wengine wakusaidie!

Kwa watu ambao hamjawahi kufungua JICHO LA TATU (third eye), ikiwa nguvu zako za ziada ni kubwa kiasi cha ku- access ulimwengu wa roho, utajikuta unakuwa na uwezo kiasi fulani wa kuona roho hizo kupitia ndoto kutoka kwenye dimensions mbalimbali za ulimwengu wa kiroho!

✍🏻 Ulimwengu wa roho ni ulimwengu kama huu tunaoishi sasa, isipokuwa huo ni ulimwengu wa roho, sio ulimwengu wa mwili.
Ulimwengu wa mwili ni kwa ajili ya viumbe vyenye miili tu; ule wa kiroho ni kwa ajili ya viumbe wanaoivua hii miili.

Kwa hiyo nitoe tu angalizo au taadhari kwamba unapoziona roho kwenye ulimwengu wa roho usidhani ni kwa ajili ya kupigana, la hasha, sio vita, sio ugomvi.
Unapoziona roho maana yake umejaliwa nguvu hizo za ziada yaani kuona katika ulimwengu wa roho (clairvoyance ability) sio kwa ajili ya ya kupigana: labda ikitokea ukasikia sauti inakwambia PIGANA au PAMBANA, hapo ujue ni mwendo wa vita kati yako na hao spiritual beings na lazima zitakuwepo sababu za kupigana nao.

Alafu hutakiwi kupigana na viumbe vya kiroho (spiritual beings) kama HUJUI jinsi ya kupigana vita vya kiroho, la sivyo utaumia na hata kupata madhara makubwa, ikiwa ni pamoja na kupoteza maisha.

Kuna watu matatizo yao makubwa waliyo nayo leo, yametokana na ndoto, yaani walianzia kwenye ndoto na ikawa dhahiri katika mwili.

Wengine ni wagonjwa ambao magonjwa yao waliyapata wakiwa kwenye ndoto.

Kutatua matatizo au kuponya magonjwa yaliyotokea kwenye ndoto, lazima utafute wataalamu wa masuala ya kiroho wakusaidie, kwa sababu ni magonjwa ya kiroho yanayoonekana kwenye mwili, sio magonjwa ya kimwili hata kama kitaalam (kitabibu/ kidaktari) yanaonekana hivyo.

Kuna dawa uwa naandaa kwa ajili ya kufungua vifungo ambavyo mtu alivipata kupitia ndoto.

Kwenye ndoto, kama hujaamriwa kupigana, unapigana kwa sababu gani?
Maana hizo ni roho ziko kwao, ni nyumbani kwao, ndiko zinakoishi, hazipo tena huku duniani.

Sasa why do you act as a spiritual commander ukiwa ndotoni, alafu ukipata tu kaupenyo ka kutoroka, unachomoka kule fasta na unakuwa mwoga kupindukia, sometimes unashindwa kulala tena!
Sio kila kiumbe cha kiroho ni cha kupigana nacho.

Mfano, kama kuna mtu mlikuwa hampatani, akafariki pasipo mapatano na wewe, akiamua kukushambulia akiwa roho katika ulimwengu wa roho, ili umshinde, lazima uwe na nguvu nyingi za kiroho kwanza na pili uwe na mbinu za kupigana kiroho, la sivyo atakushinda na kukufanya atakavyo huko huko rohoni (ndotoni)
Wale wazee wetu waliokwishatangulia (ancestors) ambao tunawatukana, tunawakemea na kuwafanyia ugomvi wa kila namna, wakiamua kupigana nasi ndotoni, lazima vita hiyo iwe kali na mara nyingi wanatushinda.
Ndio pale mtu anaanza kuugua au kuharibikiwa kila kitu kwenye maisha, mpaka pale atakapoamua kufanya upatanisho kwa tambiko maalum la kiukoo/ kifamilia ambalo kimsingi lazima lisimamiwe na wazee wa familia/ ukoo ambao bado wapo hai na wanaosimama kama makuhani (wapatanishi)

Walokole wengi wametengeneza enemity (uadui) kubwa na roho hizi za wazee, kwa sababu ya ukosefu wa maarifa na kwa hakika wanapigika mno kimaisha, isipokuwa wale tu wanaojua siri hizi.

Kuna watu wakishabahatika kuona viumbe wa kiroho kwenye ulimwengu wa roho, wakikurupuka toka usingizini tu, wanalianzisha, utasikia "napiga, navunja, nang'oa" na maneno kama hayo ya ajabu ajabu!

Sasa unapiga nini?, unang'oa nini?
Unasambaratisha nini?
Hizi celestrial spirits zimekukosea nini kwa mfano!

Ni kama uende usimame barabarani watu wanapita kwenda sokoni na wewe uanze kuwarushia mawe kisa tu umewaona. Ndugu yangu nakuhakikishia kwamba utatengeneza unnecessary enemity. Namaanisha uadui usio na sababu.

Walokole wengi hili ndilo linalowatesa ingawa wengine hawajui!

Kila siku wako vitani kwa sababu ya uchokozi wao binafsi dhidi ya celestrial spirits, sababu ya ukosefu wa maarifa.
 
★SIMBA LEO 🦁 (Julai 23– Agosti 22)

usiwaze wala usiwe na wasi wasi maana inaonekana mawazo wakati mwingine yanakujia gafla lakini utabiri wako unaonyesha kila utakacho kifanya utafanikiwa ni vyema kuitumia fursa ulioipata vizuri kwa kutimiza malengo yako.

•Utasikitishwa na mahusiano yako leo yatakukosesha furaha vumilia yatakuwa sawa lakini marafiki sio wazuri kwenye mahusiano yako kuwa na tahadhari hiyo.



★NG'OMBE– TAURUS 🐂 (Aprili 21– May 20)

Alhamis hii utapata fedha au utapata Ahadi ya kupata kiasi Fulani cha fedha lakini pia unashauriwa ulipe au uwanze kupunguza madeni ulio nayo maana yanaweza kukuletea Shida na ukose furaha na amani.

•Mahusiano yako yapo vizuri na ikiwa una mgonjwa atakuwa sawa

Safari zako ni nzuri.
Zinanihusu... :BoneZone: :BoneZone:
 
NYOTA YAKO LEO IJUMAA AGOSTI 01/2025:

UKIWA NA SHIDA YOYOTE YA KINYOTA NA TIBA, NIPO MOROGORO MJINI NAPATIKANA KILA SIKU OFISINI KWANGU FOREST KILEKA KUANZIA SAA 12 ASUBUHI MPAKA SAA 12 JIONI.

MAALIM ANAPATIKANA MUDA WOTE.


★SIMBA LEO 🦁 (Julai 23– Agosti 22)

Umekuwa mtu wa misimamo kwa upande wa mapenzi endelea na misimamo yako maana ndio msaada pekee kwako ukipinda kidogo tu na mambo mengine utapindisha kuwa karibu na mpenzi wako kuwa mshauri kwakila jambo analolifanya maana ushauri wako kwake unaweza kumfanya asitetereke ingawa ataona kama unataka kujuwa mambo Yake ya ndani lakini kumbuka ushauri wako kwake ni muhimu sana.

•𝐊𝐚𝐳𝐢 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐡𝐚𝐢𝐭𝐚𝐩𝐨𝐤𝐞𝐥𝐞𝐰𝐚 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐧𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐥𝐚𝐮𝐦𝐢𝐰𝐚 𝐚𝐮 𝐤𝐮𝐩𝐮𝐮𝐳𝐢𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐭𝐚𝐟𝐮𝐭𝐚 𝐤𝐚𝐳𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐥𝐞𝐨 𝐡𝐚𝐢𝐣𝐚𝐤𝐚𝐚 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐮𝐩𝐚𝐧𝐝𝐞 𝐰𝐚𝐤𝐨 𝐧𝐠𝐨𝐣𝐚 𝐮𝐩𝐢𝐭𝐞 𝐦𝐮𝐝𝐚 𝐤𝐢𝐝𝐨𝐠𝐨 𝐚𝐮 𝐬𝐢𝐤𝐮 𝐲𝐚 𝐋𝐞𝐨 𝐢𝐩𝐢𝐭𝐞.

★MASHUKE– VIRGO ♍ (Agosti 23– September 23)

ijumaa hii unaweza kufanya vizuri sana katika biashara zako au kazi zako utapata kazi ya gafla usidharau simu ngeni ya mtu atakaekupigia huenda ijumaa hii ukapokea simu yenye faida kwako usio itegemea.

•𝐒𝐚𝐟𝐚𝐫𝐢 𝐳𝐚𝐤𝐨 𝐬𝐢𝐨 𝐧𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐢𝐧𝐠𝐚𝐰𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐟𝐢𝐤𝐚 𝐬𝐚𝐥𝐚𝐦𝐚 𝐢𝐥𝐚 𝐧𝐣𝐢𝐚𝐧𝐢 𝐦𝐚𝐮𝐝𝐡𝐢 𝐦𝐞𝐧𝐠𝐢.

★MIZANI– LIBRA ⚖️ (September 24– Oktoba 23)

ijumaa hii fikiria sana katika kufanya maamuzi juu ya jambo lolote ingawa ijumaa hii utakuwa na kipato kizuri lakini inategemea usije ukatowa uwamuzi wa jambo lolote bila kufikiria na kutafakari hiyo itakuwa vyema zaidi katika mambo yako.

•𝐔𝐭𝐚𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐦𝐩𝐞𝐧𝐳𝐢 𝐦𝐩𝐲𝐚 𝐚𝐮 𝐦𝐜𝐡𝐮𝐦𝐛𝐚 𝐦𝐩𝐲𝐚 𝐚𝐮 𝐦𝐬𝐡𝐢𝐫𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐩𝐲𝐚 𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐚𝐮 𝐦𝐚𝐡𝐮𝐬𝐢𝐚𝐧𝐨 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐧𝐚 𝐚𝐭𝐚𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐦𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐚𝐭𝐮𝐧𝐝𝐚 𝐦𝐞𝐦𝐚 𝐤𝐰𝐚𝐤𝐨 𝐧𝐚 𝐚𝐭𝐚𝐤𝐮𝐟𝐮𝐧𝐳𝐚 𝐦𝐞𝐧𝐠𝐢 𝐥𝐢𝐜𝐡𝐚 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐮𝐦𝐞𝐦𝐳𝐢𝐝𝐢 𝐯𝐢𝐧𝐠𝐢.

★NG'E– SCORPION 🦂 (Oktoba 24– November 21)

Mapenzi kwako yanakuwa kitenda wili maaana yànakufanya unawaza hadi unakata tamaa jaribu kufanya maombi ama dua pia ufanyiwe visomo na tiba maana huenda ukapata ufumbuzi wa tatizo lako ijumaa hii.

•𝐔𝐭𝐚𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐡𝐚𝐛𝐚𝐫𝐢 𝐦𝐛𝐚𝐲𝐚 𝐥𝐞𝐨 𝐧𝐚 𝐲𝐚𝐭𝐚𝐤𝐮𝐭𝐨𝐤𝐞𝐚 𝐦𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐡𝐮𝐳𝐮𝐧𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐧𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐮𝐬𝐢𝐤𝐢𝐭𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐢𝐤𝐢𝐰𝐞𝐳𝐞𝐤𝐚𝐧𝐚 𝐋𝐞𝐨 𝐮𝐬𝐢𝐭𝐨𝐤𝐞 𝐚𝐮 𝐮𝐬𝐢𝐞𝐧𝐝𝐞 𝐡𝐮𝐤𝐨 𝐮𝐧𝐚𝐩𝐨𝐩𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐮𝐝𝐡𝐢 𝐦𝐚𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚.

★MSHALE– SAGITTARIUS 🏹 (November 22– December 21)

ijumaa hii huenda ukapata pesa ya gafla ongea na watu vizuri sikiliza ushauri wa watu wako wa karibu huenda ukapata jambo usilo litegemea .

•Punguza ubabe na ujeuri katika mahusiano ya kimapenzi msikilize mwenza wako usimfanye ni mtu wa kulia kilasiku kwani endapo utaendelea hivyo penzi lako litakufa muda si mrefu.

★MBUZI– CAPRICORN 🐐 (December 22– January 20)

Usiendelea kuteseka kwa mapenzi maana mpenzi ulie nae hana muelekeo wowote amekuwa msumbufu sana katika maisha yenu tafuta suluhishi ili uweze kuepukana na tabu ulio nayo.

•𝐒𝐚𝐟𝐚𝐫𝐢 𝐳𝐚𝐤𝐨 𝐧𝐢 𝐧𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐣𝐢𝐡𝐚𝐝𝐡𝐚𝐫𝐢 𝐧𝐚 𝐮𝐨𝐧𝐠𝐨 𝐤𝐰𝐚𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐤𝐚𝐨𝐤𝐮𝐭𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐚𝐨 𝐋𝐞𝐨 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐮𝐨𝐧𝐢 𝐰𝐚 𝐦𝐛𝐚𝐥𝐢 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐡𝐢𝐬𝐢𝐚 𝐤𝐚𝐥𝐢 𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐨𝐧𝐚 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐢𝐤𝐢𝐚.

★NDOO– AQUARIUS 🏺 (January 21– February 19)

ijumaa hii mambo yapo sawa sana utapata ushauri kutoka kwa mtu wako wa karibu ili kuweza kutekeleza majukumu yako ulio Nayo nivyema zaidi ukafuata ushauri huwo ili usije ukatetereka kiuchumi.

•𝐒𝐚𝐟𝐚𝐫𝐢 𝐳𝐚𝐤𝐨 𝐬𝐢𝐨 𝐧𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐋𝐞𝐨 𝐮𝐭𝐚𝐟𝐮𝐦𝐰𝐚 𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐒𝐚𝐟𝐚𝐫𝐢 𝐲𝐚 𝐒𝐢𝐫𝐢 𝐧𝐚 𝐲𝐚𝐭𝐚𝐡𝐚𝐫𝐢𝐛𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐞𝐧𝐠𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐲𝐚𝐤𝐨.

★SAMAKI– PISCES 🐟 (February 20– March 20)

ijumaa hii kibiashara ipo vizuri fuatilia Ahadi mbali mbali ulizo ahidiwa na watu wako utafanikiwa kuwa mpole katika kudai madeni huenda ukafanikiwa kulipwa deni usilolitegemea.

•𝐒𝐢𝐤𝐮 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐥𝐞𝐨 𝐢𝐭𝐚𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐲𝐚 𝐮𝐭𝐮𝐥𝐢𝐯𝐮 𝐟𝐮𝐫𝐚𝐡𝐚 𝐧𝐚 𝐟𝐚𝐫𝐚𝐣𝐚 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐡𝐚𝐬𝐰𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐚𝐡𝐮𝐬𝐢𝐚𝐧𝐨 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐧𝐝𝐨𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐚𝐮 𝐦𝐚𝐩𝐞𝐧𝐳𝐢 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐦𝐭𝐮 𝐰𝐚𝐤𝐨 𝐰𝐚 𝐤𝐚𝐫𝐢𝐛𝐮 𝐚𝐭𝐚𝐤𝐮𝐟𝐮𝐫𝐚𝐡𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐧𝐚 𝐚𝐧𝐚𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐤𝐮𝐩𝐚 𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐲𝐚 𝐯𝐢𝐭𝐮 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐧𝐚𝐦𝐧𝐚 𝐮𝐬𝐢𝐲𝐨𝐢𝐭𝐚𝐫𝐚𝐣𝐢𝐚 𝐚𝐮 𝐚𝐤𝐚𝐤𝐮𝐩𝐚 𝐦𝐚𝐧𝐞𝐧𝐨 𝐲𝐚 𝐟𝐚𝐫𝐚𝐣𝐚 𝐤𝐰𝐚𝐤𝐨.

★PUNDA– ARIES 🐏 (March 21– Aprili 20)

Pamoja umekuwa karibu na mpenzi wako au mkeo wa zamani mpenzi Mpya usimuache kwani safari yako na mpenzi au mke uliemrudia bado haiyeleweki na hainamaana kwako lakini kumbuka mpenzi Mpya ulie nae ninuru kwako na nimuangaza wa maisha yako endelea kufurahia matunda unayo yapata kwake.

•𝐊𝐚𝐳𝐢 𝐳𝐚𝐤𝐨 𝐳𝐢𝐭𝐚𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐡𝐨𝐯𝐲𝐨 𝐡𝐨𝐯𝐲𝐨 𝐳𝐢𝐝𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐢𝐛𝐚𝐝𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐨𝐦𝐛𝐢 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐤𝐮𝐩𝐮𝐧𝐠𝐮𝐳𝐚 𝐦𝐚𝐤𝐚𝐥𝐢 𝐲𝐚 𝐕𝐢𝐭𝐚 𝐧𝐚 𝐮𝐚𝐝𝐮𝐢 𝐮𝐧𝐚𝐨𝐬𝐡𝐚𝐦𝐛𝐮𝐥𝐢𝐚 𝐧𝐣𝐢𝐚 𝐳𝐚𝐤𝐨 𝐳𝐚 𝐤𝐢𝐩𝐚𝐭𝐨 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐮𝐧𝐚 𝐧𝐠𝐮𝐯𝐮 𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐮𝐚𝐝𝐮𝐢 𝐡𝐮𝐨.

★NG'OMBE– TAURUS 🐂 (Aprili 21– May 20)

Unapenda lakini una wasi wasi na mtu unaempenda unahisi anaenda jia tafauti ambazo huzielewi nivyema ukamuambia ukweli kuliko kuendelea kuvumilia na kuumia moyoni ukweli wako kwake huenda ikawa Dawa lakini mshauri huku ukimuonyesha mahaba na mapenzi usikunje sura kama unavyo Fanya siku zote.

•𝐌𝐚𝐬𝐰𝐚𝐥𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐲𝐚 𝐤𝐢𝐤𝐚𝐳𝐢 𝐲𝐚𝐭𝐚𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐧𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐢𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐤𝐚𝐳𝐢 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐚𝐮 𝐛𝐢𝐚𝐬𝐡𝐚𝐫𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐢𝐭𝐚𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐧𝐚 𝐟𝐚𝐢𝐝𝐚 𝐚𝐮 𝐦𝐚𝐭𝐮𝐧𝐝𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐲𝐚𝐨𝐧𝐚.

★MAPACHA– GEMINI ♊ (May 21– Juni 20)

Fuatilia nyota yako pia upate ushauri kwa wataalamu wa mambo ya nyota ili uwepukane kuachana na wapenzi kwa maana hata tawi uliloshikilia linaweza kuanguka saa yoyote.

•𝐊𝐚𝐳𝐢 𝐳𝐚𝐤𝐨 𝐳𝐢𝐭𝐚𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐧𝐚 𝐦𝐢𝐩𝐚𝐧𝐠𝐨 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐢𝐭𝐚𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐡𝐚𝐬𝐰𝐚 𝐢𝐥𝐞 𝐦𝐢𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐲𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐟𝐚𝐢𝐝𝐚 𝐤𝐰𝐚𝐤𝐨.

•𝐒𝐚𝐟𝐚𝐫𝐢 𝐳𝐚𝐤𝐨 𝐧𝐢 𝐧𝐳𝐮𝐫𝐢.

★KAA– CANCER 🦀 (Juni 21– Julai 22)

ijumaa hii jitahidi sana kuwa karibu na biashara yako ama ajira yako huenda ukapata faida kubwa kutokana na biashara yako ama ajira yako lakini ukaribu wako ndio itakuwa neema kwako.

•𝐒𝐚𝐟𝐚𝐫𝐢 𝐳𝐚𝐤𝐨 𝐧𝐢 𝐧𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐣𝐢𝐭𝐚𝐡𝐢𝐝𝐢 𝐮𝐬𝐢𝐠𝐡𝐚𝐢𝐫𝐢 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐤𝐡𝐞𝐫𝐢.

★★★★★★★★★★★★★★★
Kwa ushauri na mengineyo wasiliana na maalim,niwatakie siku njema na mafanikio mema

MAALIM DOGOLI KINYAMKELA 💀 ☠️ MTABIRI WA NYOTA NA MTAALAM WA MAMBO MBALI MBALI YANAYO HUSIANA NA NYOTA ZENU.
IMG-20250629-WA0012(37).jpg
 
KILA NYOTA NA TABIA YAKE KATIKA ULIMWENGU WA KIMAPENZI▫️
Unaweza ukamuchukia mwezi wako au ukamuacha kumbe ndiyo alivyo.

(DOGOLI KINYAMKELA 💀 ☠️ (Dr)


Watu wengi huuliza kuhusu kuendana kwa nyota na kuogopa huenda mahusiano ya nyota zisizoendana kuwa hayatodumu. Nimeamua kuwaandikia hili chapisho ili ulinganishe mwenyewe uone nini kimekosekana au chakuongezea ili muwe sambamba. Ni furaha yangu kwenu kwamba mtaelewa ni nini mnapaswa kufanya.
#NYOTA_YA_PUNDA;: 🦓
Ni mtu mwenye msukumo. Hutenda jambo na kufikiria baadae. Hupenda changamoto,enye hamu na vichaa wa matukio. Huenda moja kwa moja na wanapenda kushinda . Hawapokei ushauri vizuri kwahiyo kwepa hili Kama hutaki migogoro nao. Kama unauwezo wa kuyajaza maisha yako hisia, unaweza kuwa na mahusiano yenye nguvu na watu wenye nyota hii.

# NYOTA_YA_NG'OMBE ;: 🐄
Ni watu wenye moyo wa ukarimu ingawaje wanaweza kuwa na wivu na kutochukua.Ukiwa na mtazamo wa utulivu na ucheshi na kutowapa presha kuhusiana na maswala ya mapenzi, kwasababu hawapendi kuwa na mawazo na haraka. Hawapendi mabadiliko ya ghafla, hivyo hujipatia mpenzi Katika mzunguko wao wa karibu. Wanapenda kupokea zawad na kushirikiana kimawazo mipango yao tofauti tofauti, na hili Ni jambo la furaha Sana kwao. Ili kuhusiana nao kuwa mtu wa vitendo utawafanya wakuone kuwa muaminifu,mtiifu na kutamanisha. Ukitaka kuendana nae vyema maishani bhas ifuate akili take.

# NYOTA_YA_MAPACHA ;:♈
Hugundulika kwa utu wao Mara mbili. Wakizikataa hisia na hali za kimahaba. Kama hutowapa kipaumbele na kuamua kuanza shughuli zako nyingine huboreka (huchoka) haraka Sana. Kama ukifanikiwa kuwashawishi watakufuata milele. Wanapenda majadiliano na mikutano, kupokea zawad na misaada.

# NYOTA_YA_KAA;:🦀
Ni wapenzi wenye Hari katika familia zao. Huishi maisha yao kwa uaminifu na utiifu. Kuna mda huwa wagumu (wanamudi mbaya yenye nguvu Sana), pia huwa nyororo, hali inayowafanya wasitabirike katika jambo flani. Ni watendaji, wanahisia,wapenda Sanaa. Ni wabunifu. Ni muhimu kuwachochea na kuwaridhisha njaa yao ya kisanii.

# NYOTA_YA_SIMBA;: 🦁
Watu wenye hamu/shauku,kujiamini,na walionyooka katika kuonyesha hisia zao. Ni waaminifu kwa wapenzi wao, ingawa sio waaminifu kwa hali ya juu katika alama za kinyota. Hufurahia kuongoza ,kujisifu na kuongoza mahusiano yao. Kama wakikupuuza na kusumbua usibishane nao au kuwafikiria vibaya.

# NYOTA_YA_MASHUKE;:
Wanajua kupenda na wanapenda kusikia wanahitajika. Sio wenye hamu/shauku Ila Ni wapenzi wazuri. Wanapenda kuishi maisha yao katika mipangilio. Wanapenda usalama na kutoyumbishwa. Ukitaka kumpata sharti uwe bora na wathamani kulingana nae.kupendeza,kumpatia zawad, kuonyesha ubora na ladha ya uzuri wako kitu ambacho wanathamini Sana.

# NYOTA_YA_MIZANI;: ⚖️
Ni watu wanaoangalia usawa, maelewano na mahusiano yatakayowapa utulivu wanaoutaka wao. Wanapenda kukaa vikundi na hao watakao wasapoti(kuwatia nguvu)na kuwaelewa. Ni wadadisi na wenye mahaba viwango viwili ambavyo unaweza ukawashangaza. Wanapenda maongezi mazuri ambayo yatashibisha vitabu vyao na kitu kingine cha kisanaa anachokipendelea. Ni wakimya na wavumilivu Katika kuzifuata dosari za wapenzi wao. Ni wacheshi wanaladha nzuri au ubora , hasaa fahari na vitu vizuri maishani.

# NYOTA_YA_NG'E;: 🦂
Watu wenye hisia Kali,hamu na kutamanika. Wivu Kama ukiwapa sababu za kuwakera. Mahusiano na urafiki na wapenzi wao Ni kitu muhimu. Wanapenda uaminifu,kunyooka, wanapenda watu wazuri (smart). Kama ukimpata bhas utakua umempata mtu mwaminifu na mkweli milele.

# NYOTA_YA_MSHALE ;:🏹
Watu wenye hamu aushauku,kujielezea na dhati. Kama wakipata mahusiano mazuri huwa wazuri, ingawa haitokuwa rahisi kupunguza matukio yao na Uhuru. Usimkataze bali mpe nafasi anayoihitaji, ili kuiondosha hasira yao mbaya. Kama ukiwasaliti wanaweza kufanya vitu vya ukichaa. S*x na kupenda vimeunganika kwao, Ingawa pia wanapenda ucheshi.

# NYOTA_YA_MBUZI ;: 🐐
Huchukulia mahusiano Kama jambo rahisi, taratibu na kuangalia usalama wa hatua zao.
Huwawia vigumu kuzieleza hisia zao, huzihifadhi na pia wanatamaa kidogo. Kama ukimpatia usawa katika maisha yao utawafanya waweke wazi walioyaficha. Wanamamlaka na wanataka kila kitu kikae chini yao. Kuwa mvumilivu na makini Kama unahitaji kumpata mtu huyu.

# NYOTA_YA_NDOO;:
Ni watu wasio tabirika kwa muda,ingawa wanapendeka,wasomi na wanaopenda undugu na wengne. Ni vigumu kupenyeza katika hisia zao. Wanahitaji muda wakutosha wakuweka wazi mambo yake na kumwamini mtu. Ni bora kumpata katika njia nyingine kulikoni kielimu na ubora. Wanapenda ukweli na uaminifu, kitu ambacho ni ufunguo wa kila sehemu ya mahusiano. Huchukia kweli kweli Ni watu wasio samehea uzinzi(ukafiri).

# NYOTA_YA_SAMAKI ;: 🐬
Watu wenye mahaba. Wanapendwa,wakarimu, wanahisia za ndani na shauku tulivu. Ndoa Ni bora kuliko mahusiano ya kimapenzi. Sio watu wa usiku mmoja (one-night stand), Wala mahusiano ya muda mfupi. Kama unataka mahusiano nae lazma umpeleke mpaka ardhini kwa mafumbo na kumuondoa katika mantiki. Ni watu wenye msisitizo. Hivyo kama unataka kumpata kubaliana na jukumu la kuwa mwadhirika wa mpenzi yake ili kumpa msisitizo ili akupatie nafasi


Kwa msaada wa tiba ya nyota, maisha, uchumi, mahusiano na magonjwa, wasiliana nasi
☎️📞
DOGOLI KINYAMKELA 💀 ☠️ (Phd) , mtafiti na mkufunzi wa maswala ya kiroho
 
MAAJABU YA NYOTA yako jinsi inavyoendana na jua pamoja na mwezi na kukupa utajiri.

Dr DOGOLI
☎️📞

Awali ya yote jifunze haya kuhusu nyota.

Kila nyota ina bahati lakin baadhi zina bahati zaidi na katika mzunguko wa nyota 12 za zodiac basi nyota ya mshale ndiyo huongoza kwa bahati katika nyota zote.

Sagittarius ama mshale inatawaliwa na Jupiter, hii ndiyo nyota yenye bahati kuliko nyota yoyote.

Nyota ambazo mara nyingi watu wake wakiapia jambo fulani hutokea vile vile ni (punda, simba na mshale) hawa watu viapo vyao vikali sana

Nyota ambazo watu wake wanaoongoza kwak urogwa na kuchafuliwa ni Mizani, Ng'ombe na Ng'e.

Watu wa nyota ya Ng'ombe, kwa uvumilivu wao na tabia thabiti, hufaulu katika kujenga utajiri kupitia mapato thabiti na uwekezaji wa busara.

Watu walio na nyota ya Mbuzi pia ni nyota ya kitajiri zaidi; wanajulikana kwa tamaa yao na nidhamu.

Katika utazamaji wa nyota ambapo nyota hutazamwa kupitia kiganja cha mhusika basi kuna baadhi ya mambo huzingatiwa kama vile kutazama kiganja kupitia jua ama kupitia mwezi.

Jua ni nafsi, mwezi ni hisia, na kupanda kwako ni jinsi unavyokaribia maisha.

Utazamaji wa nyota ni jambo muhimu kwa mwanadamu na umuhimu wake ni kwamba anajijua yeye ni nani na wapi anakwenda na uzuri wa nyota husema kila kitu ndani yetu.

Nyota ya Ng'e ndiyo nyota yenye nguvu kuliko nyota zote sababu ina nguvu kiroho na kimwili na watu wake wanazo nguvu kiroho na kimwili. Ikiwa nyota yako ni Ng'e wewe una nguvu unahitaji kuamshwa kwa pete maalum ya ng'e.

Watu wa nyota ya mbuzi mara nyingi huwa wamiliki wa mali ama wakurugezi katika makampuni makubwa. Ikiwa nyota yako ni mbuzi unahitaji kuamshwa kiroho sasa na utafanikiwa zaidi ...whatsapp 0764674481

Moja ya watu matajiri ambaye ni nyota ya Mbuzi ni Bill Gates lakini Elon Musk ni nyota ya Ndoo.

IKIWA MWANAMKE UNATAFUTA MWANAUME BASI MWANAUME ANAYETOKA KATIKA NYOTA HIZI ANAKUFAA.

Hebu tuangalie nyota ambazo mara nyingi huonekana kuwa nzuri sana kupata mume bora.

Kaa, Mashuke, Mizani, Ng'e, Mbuzi, na Samaki

Wanaume wanaotoka katika hizo nyota ni watu wa mfano sana na wenye haiba pia wakisisitiza upendo, uaminifu, na mawasiliano. Utangamano na kumjali mwenzi wako ni muhimu kwa ndoa imara na yenye furaha.

Mfalme wa zodiac ni nini? ama mfalme wa nyota ni nani?

Leo ama Simba

simba inachukuliwa kuwa mfalme wa nyota zote kwasababu ya sifa zake za uongozi, haiba, na kujiamini. Nyota ya Simba inatawaliwa na Jua, Simba huwavutia watu lakini watu wa nyota ya simba wanaweza kuonekana kuwa wabinafsi kwa sababu ya hitaji lao la kuangaliwa wao kwanza. Uwezo wao wa kuhamasisha watu na ukarimu huwatofautisha.

Ikiwa unatoka ugomvi ni nyota gani ama watu wa nyota gani watashinda?

Mapacha, Ng'e, Simba na Mbuzi wanaweza kushinda pambano lolote sababu ya kuwa na sifa zinazohitajika kama vile ujasiri, mawazo ya kimkakati, na kimwili.

Watu wa nyota ya Ng'ombe hutawaliwa na sayari ya Venus, hii ni sayari ya utajiri na uzuri.

Watu wa ng'ombe wana njia ya msingi ya pesa. Kwa ustadi wa mali isiyohamishika, mitindo, sanaa, na fedha, ishara za nyota hii mara nyingi hugeuza shauku zao kuwa ubia wa faida. Asili yao ya vitendo inahakikisha wanajilimbikiza mali ambayo hudumu maisha yote.

TUTAENDELEA.......
By Dr DOGOLI KINYAMKELA 💀 ☠️
 
NYOTA YAKO LEO JUMAMOS AGOSTI 02/2025:

UKIWA NA SHIDA YOYOTE YA KINYOTA NA TIBA, NIPO MOROGORO MJINI NAPATIKANA KILA SIKU OFISINI KWANGU FOREST KILEKA KUANZIA SAA 12 ASUBUHI MPAKA SAA 12 JIONI.

MAALIM ANAPATIKANA MUDA WOTE.



★SIMBA LEO 🦁 (Julai 23– Agosti 22)

jumamos hii haitakuwa nzuri sana kwani umeandamwa na madeni sana na nivema uwache kazi ya kuhadaa watu wakupe fedha kwani unaweza kujiongezea matatizo zaidi.

•Pia Safari zako ni nzuri na mipango yako mingi ina manufaa mazuri na haja zako zitatimia kwa wepesi mkubwa na moja ya watu wako wa muhimu watakufanyia jambo zuri au watakupa taarifa nzuri.

★MASHUKE– VIRGO ♍ (Agosti 24– September 23)

Jumamos hii ni nzuri kiasi kwako jaribu kufuatilia madeni unayo dai utapata ingawa sio yote kuwa mkweli unapo ahidiana na mtu nivyema ukatimiza kwani inaonekana ahadi nyingi hutimizi na hiyo inakuwa sababu kubwa ya kipato chako kushuka.

•Waheshimu walio juu yako au waliokuzidi umri ili kuruhusu bahati kuvwa zaidi kuwa na wewe.

Safari zako ni nzuri.

★MIZANI– LIBRA ⚖️ (September 24– Oktoba 23)

jumamos hii ni nzuri kwako kama upo katika kazi ya kuajiriwa umefanya kazi kiuwadilifu lakini Yale ulioyategemea kuhusu fedha utaipata lakini haitakidhi matarajio yako kama unafanya biashara jumamos hii utafanya biashara sana lakini pia kutakuwa na upotevu wa fedha.

•Mahusiano yako yatakuwa na vurugu za hapa na pale ila yanapita safari zako ni nzito leo panga siku nyingine.

★NG'E– SCORPION 🦂 (Oktoba 24– November 21)

mambo yako jumamos hii yatakaa sawa ingawa sio kwa kiasi kikubwa lakini tegemea kupata fedha ya ghafla itakusaidia matatizo ulio nayo kwa kiasi fulani.

•Unaishi unacheka unapendeza lakini huna furaha kwani mapenzi yamekuwa mwiba kwako unao kuchoma kila kukicha hilo nitatizo kwako la kutokupa wapenzi waadilifu jaribu kutulia kutana na wakuzi wa mambo ya nyota kuna uwezekano mkubwa wakakusaidia.

★MSHALE– SAGITTARIUS 🏹 (November 22– December 21)

tarajia jumamos hii kupata wateja wengi katika biashara yako pia utakutana na watu wapya katika shukhuli zako na marafiki zako wa zamani watakukumbuka sana ingawa jumamos hii ilio isha hukuwa na hali nzuri ya kifedha ila leo hii tegemea mambo mazuri na uzidishe dua huenda ukapata fedha kubwa ambayo huhaitegemea.

•Mahusiano yako yapo vizuri na ikiwa una mgonjwa atakuwa sawa

Safari zako ni nzuri.

★MBUZI– CAPRICORN 🐐 (December 22– January 20)

Mpenzi ulie nae anakutesa migogoro haishi kila kukicha kunajambo jipya hali ya kimapenzi kwako sio nzuri umebaki na swali bila jibu unashauriwa uchukue uwamuzi unao uwona unakufaa hali yako kimapenzi itakaa vizuri.

•Kazi zako zitaenda vizuri na watu wataonyesha ushirikiano mkubwa na wewe kwenye mambo yako na utatangazwa kwa mazuri zaidi.

★NDOO– AQUARIUS 🏺 (January 21– February 19)

jumamos hii ni nzuri kwako unaweza kuanzisha biashara unayo ifikiria pia utapata safari ya ghafla kipato chako kitaongezeka lakini pessa hutaiyona kwakuwa umekuwa ukipoteza fedha katika mazingira ya kutatanisha.

•Tegemea kupata matumaini makubwa na mazuri mno Leo kwakuwa mipango yako mikubwa ya muda mrefu itaanza upya kufunguka na kabla ya robo tatu hii ya mwaka kuisha kuna mengi mazuri mno yatakutokea kwenye maisha yako.

★SAMAKI– PISCES 🐟 (February 20– March 20)

jumamos hii una mambo mengi unayapanga juu ya bishara zako pia unapanga kusafiri una mengi lakini usiogope kutekeleza majukumu ulio nayo kwani nyota yako inaonyesha una nafasi kubwa ya kufanikiwa.

•Leo kama kuna mtu unamdai basi mtafute atakupa haki yako na asipokupa atapatwa na pigo baya.

★PUNDA– ARIES 🐏 (March 21– Aprili 20)

jumamos hii sio mbaya kwako tegemea kupata wageni wa ghafla ambao watakuwa na faida kwako watakuwa ndo njia ya kipato chako kuongezeka nivyema jumamos hii usidharau mtu.

•Safari zako ni nzuri jihadhari na uongo kwakuwa utakaokutana nao Leo wanauoni wa mbali wanahisia kali za kuona na kusikia.

★NG'OMBE– TAURUS 🐂 (Aprili 21– May 20)

Jumamos hii unashauriwa usikurupuke katika kufanya maamuzi juu ya penzi linalo kupa shida kaa tafakari kwa umakini juu ya uwamuzi unaotaka kuuchukuwa endapo utakurupuka kufanya mamuuzi utajuta.

•Kazi zako zipo vizuri ni upepo tu unapita mambo yatakuwa mazuri baada ya muda jitahidi upunguze marafiki wasio na msingi kwako.

★MAPACHA– GEMINI ♊(May 21– Juni 20)

jumamos hii tarajia mambo mazuri lakini epukana na makundi ya watu unaweza kupata matatizo mtu atakae kuita ghafla usiende kwani kuna uwezekano mkubwa jumamos hii wewe kutapeliwa.

•Utapata mpenzi mpya au mchumba mpya au mshirika mpya wa maisha au mahusiano yako na atakuwa mwenye matunda mema kwako na atakufunza mengi licha ya kuwa umemzidi vingi.

★KAA– CANCER 🦀 (Juni 21– Julai 22)

jumamos hii unaweza kupata safari ya ghafla au unaweza kupata kazi ya ghafla ugomvyi utakao uwona mbele ya macho yako usiwiingilie kwani unaweza kukuletea matatizo kuliko hata hawo wagomvyi wenyewe nivyema uwe na tahadhari.

•Safari zako sio nzuri Leo utafumwa ikiwa Safari ya Siri na yataharibika mengi katika mambo yako.

★★★★★★★★★★★★★★★
Kwa ushauri na mengineyo wasiliana na maalim,niwatakie siku njema na mafanikio mema

MAALIM DOGOLI KINYAMKELA 💀 ☠️ MTABIRI WA NYOTA NA MTAALAM WA MAMBO MBALI MBALI YANAYO HUSIANA NA NYOTA ZENU.
IMG-20250629-WA0012(38).jpg
 
NYOTA YAKO LEO JUMAPILI AGOSTI 03/2025:

UKIWA NA SHIDA YOYOTE YA KINYOTA NA TIBA, NIPO MOROGORO MJINI NAPATIKANA KILA SIKU OFISINI KWANGU FOREST KILEKA KUANZIA SAA 12 ASUBUHI MPAKA SAA 12 JIONI.

MAALIM ANAPATIKANA MUDA WOTE.



★SIMBA LEO 🦁 (Julai 23– Agosti 22)

Inaonekana ni mtu ulie umesha jikatia tamaa katika MAPENZI omba sana dua kwa mungu pia inaonekana jumapili hii utapata mtu atakupatia ufumbuzi katika Yale MAPENZI yanayo kukosesha furaha.

★MASHUKE– VIRGO ♍ (Agosti 23– September 23)

jumapili hii utafanya vizuri katika shuhuli zako pia tegemea kulipwa deni usilo litegemea.

•Epukana na watu watakao kuambia habari zozote kuhusu mpenzi wako kwani inaweza ikakuzidishia mfarakano baina yako na mwenza wako.

★MIZANI– LIBRA ⚖️ (September 24– Oktoba 23)

jumapili hii utafanya vizuri katika kazi zako lakini epuka kumpa mtu pesa usiamini mtu maana kuna uwezekano mkubwa wa kutapeliwa.

•Mthamini yule anae kuthamini kabla hajakukimbia kwakuwa umeonekana kujisahau kuna mwenza mwingine anakushuhulisha na kukufanya usahau familia yako nivyema ukawa na maamuzi kwani unaweza kupata mitihani usio itarajia.

★NG'E– SCORPION 🦂 (Oktoba 24– November 21)

jumapili hii kaa mbali na makundi ya watu kwani inaonekana kuna watakutafuta kutokana na madeni ulio nayo na kwasasa huna uwezo wa kulipa kutoka na vifungo vilivyo tawala kwenye Nyota yako.

•Mahusiano yako yatakuwa na kelele safari zako leo ni nzito.

★MSHALE– SAGITTARIUS 🏹 (November 22– December 21)

jumapili hii nzuri kwa biashara unayotaka kuifanya ni vyema ukatimiza malengo yako ulio Nayo sasa.

•Ingawa huna uhakika na MAPENZI ya kweli kutoka kwa mwenza wako unashauriwa usipende kushiriki ngono hovyo hovyo kwani endapo utaendelea hivyo heshima yako inaweza kushuka na kukuletea vifungo katika mambo yako.

★MBUZI– CAPRICORN 🐐 (December 22– January 20)

jumapili hii mambo yako yataenda sawa ingawa sio vile ulivyo tegemea lakini pia utegemee ushauri mzuri kwa mtu wako wa karibi
Nivyema sana.

•Unashauriwa uwe karibu na mpenzi wako au mumeo kwani wewe ni mtu muhimu sana kwake ukimuacha sana mbali unaweza kuondoa uwamimifu alio nao kwako.

★NDOO– AQUARIUS 🏺 (January 21– February 19)

jumapili hii ondoa shaka kwani kuna uwezekano mkubwa wa Ahadi yako ya kupata kiasi fulani cha fedha endapo utafuatilia vigezo ulivyo pewa nivyema ukapnyesha ushirikiano katika hilo.

•Ingawa kuna mtafaruku wa kutoelewana baina yako na mwenza wako unashauriwa kutosimulia watu mambo yako ya kimapenzi kwani ukifanya hivyo unaweza ukazidisha matatizo kati yako na mwenza wako.

★SAMAKI– PISCES 🐟 (February 20– March 20)

jumapili hii unaweza ukapata simu nzuri kwako atakae kupigia simu anafaida na wewe kwani mnaweza mkafanya jambo Fulani ukspata fedha isio itegemea au ukapata mgeni atakae kuletea kazi yenye faida kwako.

•Pia kuna kitu chako kizuri kitaharibika au utakiharibu mwenyewe tegemea kupoteza kitu muhimu.

★PUNDA– ARIES 🐏 (March 21– Aprili 20)

jumapili hii biashara yako haitaenda vile unavyo tarajia nivyema ukafanya bajeti ili pesa ulio nayo kwasasa uweze kuitumia vizuri.

•Fanya ufanyalo lakini usije ukamuacha ulie nae maana mpya uliempata sio muadilifu anaweza kukuletea mayatizo makubwa.

★NG'OMBE– TAURUS 🐂 (Aprili 21– May 20)

jumapili hii unaweza kusafiri kikazi au kupata mgeni wa ghafla lakini usiogope anaweza kuja na jambo nzuri lenye manufaa katika shuhuli zako.

•Usimtegemee sana mpenzi wako kwa Yale mlio ahidiana huenda asikutimizie kwakuwa Mara nyingi sio mkweli kwako.

★MAPACHA– GEMINI ♊ (May 21– Juni 20)

jumapili hii sio mbaya kwako kibiashara au kazi yoyote ingawa utaiyanza vibaya ucijali kwani mwisho utapata matunda.

•Unashauriwa jumapili hii uweze kutimiza malengo mliowekeana na mwenza wako usipo Fanya hivyo unaweza ukaingia mtafaruku baina yenu.

★KAA– CANCER 🦀 (Juni 21– Julai 22)

jumapili hii itakuwa nzuri kwako ingawa kuna madeni unadiwa lakini utalipa ingawa sio yote
Faraja unayo ipata kwa ulie nae ni nzuri nivyema ukasema kile unachotaka kukisema kwani ndio wakati wake unaweza ukampa furaha ya ghafla mpenzi wako.

•Utapata msaada mkubwa kwenye mambo yako na bahati zako kubwa zitafunguka kwa kasi zaidi tegemea mazuri na chochote nafsi yako inakusukuma ufanye kifanye usijali gharama wala muda ila kila kitu chako kinaonekana kipo vizuri na haja zako zitatimia.

★★★★★★★★★★★★★★★
Kwa ushauri na mengineyo wasiliana na maalim,niwatakie siku njema na mafanikio mema

MAALIM DOGOLI KINYAMKELA 💀 ☠️ MTABIRI WA NYOTA NA MTAALAM WA MAMBO MBALI MBALI YANAYO HUSIANA NA NYOTA ZENU.
IMG-20250629-WA0012(39).jpg
 
FAIDA YA KUWA NA MTU AMBAYE NYOTA ZENU ZINAENDANA NA KITU GANI KITAWAFANYA MPATE MAFANIKIO

DOGOLI (Dr)
☎️🔥

MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILI, NYOTA NA TIBA JITAHIDI KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU

KATIKA maisha ya ndoa ama mapenzi yapo mambo mengi ambayo yanafanya ndoa kuwa nyepesi na mafanikio yakapatikana. Na yapo mambo yakiingia ama kukosewa tangu mwanzo basi kutakuwa na ghasia ndani ya hiyo ndoa na maisha yatakuwa magumu utafutaji utakuwa wa shida na hatimae ndoa kuvunjika.

Katika nyota kuna makundia yanayoendana nankuna nyota zinazoendana. Bimaana yapo makundi mkioana mnaendana ila hakutakuwa na mafanikio ila kuna nyota zikioana mafanikio yatapatikana kwa wepesi. Kuna nyota zikikutana huwa kuna uadui mkubwa unajengwan. Kuua nguvu za mtu kushusha ufalme wa mtu na kuchukiwa na watu.

FAIDA ZA KUOANA NA MTU UNAYEENDANA NAYE NYOTA

Maisha yenu yatakuwa mepesi sana katika utafutaji. Uadui utakuwepo ila hautakuwa na nguvu sababu asili zenu haitakuwq zikipihana. Uzazi utakuwa mwepesi na watoto watakuwa na muonekano mzuri afya na akili timamu. Ushawishi kwa watu utakuwa mwepesi hata ukitaka kukopa kuazima kitu ama mashirikiano na watu yanakuwa mepes.

NYOTA ZINAZOENDANA NI ZIPI KATIKA MAFANIKIO

KUNA tabia nne kuu kama nilivyoeleza hapo juu na kama ifuatavyo

MOTO punda, Simba,Mshal
MAJI Ng’e, Samaki, Kaa
UPEPO Mapacha, Mizani, Ndoo
UDONGO Ng’ombe,Mashuke,Mbuzi

Kundi la MOTO linaendana na kundi la UPEPO ila kuna mmoja wao ndiyo anayeandana nae haswaa kimafanikio. Watu wa MAJI wanaendana na kundi la UDONGO ila kuna nyota ambazo ndizo zinaendana kidhati kimafanikio haswaa. Huu ni mfano wa nyota zinazoendana lakini ukiangalia juu kwenye tabia za nyota angalia nyota yako ipo kundi gani kisha angalia nyota nyengine ambazo upo nazo kundi moja au tabia nyengine ya nyota mnayoona au shabiina

nyota ya Punda inaoana na Mizani, Ng'ombe anaoana na Nge, KAA anaoana na Mbuzi, Simba anaoana na Ndoo wakati Mashuke anaoana na Samaki na Mapacha inaoana na Mshale.

DALILI ZA KUWA UMEINGIA MLANGO MBAYA WA NDOA

kabla ya ndoa ulikuwa mtu wa bahati sana kazi nzuri pesa haikupigi chenga baada ya ndoa tu maisha yakabadilija kila kitu kikapotea. Ulkuwa na afya njema ila baada ya ndoa unaandamwa na maradhi yasiyoisha. Ulikuwa na utulivu wa nafsi lakini upo ndoani roho na nafsi hazina furaha. Ulikuwa mtu wa kutoka kwenda kutafuta ila ni mtu wakukaa tu ndani hapo pia inaingia hali ya wewe kufungwa na hapa huambatana na kuchukia ndugu zako ama wewe mwenyewe kuchukiwa.

UNAPOKUTANA NA HALI YOYOTE KATIKA NDOA AMA MAHUSIANO USIHUKUMU KILE KINACHOONEKANA. FANYA UTAFITI KILICHOLETA HICHO KINACHOOBEKANA NDICHO KIFANYIWE MATIBABU.

MWANAMKE AKITOKA AKIINGILIWA NA MWANAUME MWENGINE AUTOMATIC ANAUA UFALME WAKO UNAKUWA ZOBA TU SABABU ZILE MBEGU ZAKE ALIZOZIACHA ZINAWEZA KUKUATHIRI PAKUBWA SANA.

USHAUR WANGU KABLA YA KUOA NEDNA KWA WATAALAM WAANGALIE NYOTA WAANFALIE FALME ZENU ILI UPATE KUJUA KABISA MTAISHI VIPI NA KAMA MTAINGIA KWENYE MAHUSIANO AMA NDOA NI NI I KIREKEBISHWE. NASISITIZA KABLA YA KUOA JITAHIDI UCHUNGUZWE NA WATAALAM ZAMANI WAZEE WALIKUWA WANAITA KUANFALIA MANAZIL NDO UNAKUTA UNAAMBIWA WEWE UTAOA JUMATATU USIKU ILA ATAENDA MTU KUKUOLEA KISHA ALHAMISI KACHUKUE MKE HAWAKUWA WAJINGA WALIKIWA WAKIANGALIA MAMBO KWA USAHIHI.

UNA SWALI LOLOTE ULIZA HAPA CHINI UTAJIBIWA. NAANZA KULIJIBU SWALI HILI KAMA TAYAR UMESHAOA AMA UMEOLEWA NA MAMBO HAYAEND NINI UFANYE JIBU LAKE NEDNA KWA WATAALAM WA NYOTA KARIBU NAWE WAHADITHIE WATAANGALIA WATAKUPA MAJIBU WATAKACHOKIONA NA NJIA GANI ZA KUNASUA KITAJACHOONEKANA.

MWENYE KUTAKA KUANGALIWA NA OFIS NAMBA ZIMEWEKWA UKICHUKUA NENDA NENDA MOJA KWA MOJA KWENYE POINT HII SIO NAMBA YA KUCHATI


Kwa msaada wa tiba ya nyota, maisha, uchumi, mahusiano na magonjwa, wasiliana nasi

DOGOLI KINYAMKELA 💀 ☠️ (Phd) , mtafiti na mkufunzi wa maswala ya kiroho
 
NYOTA YA MAPACHA INAPATA NGUVU KUTOKA KWA NYOTA YA MSHALE


NYOTA INAYOIPA NGUVU:
Mshale:
Mapacha ni nyota ya fikra na mawasiliano ya binafsi. wenye nyota hii ni watu wenye uwezo mkubwa wa kujieleza na kuweza kufikisha/kulazimisha maono yao kwa wengine kimaongezi.

Mshale kwa upande mwingine ni nyota ambayo ni kinyume na mapacha, ambapo mshale ni nyota inayotawala asili ya falsafa na mpanuko wa akili.

Watu wenye nyota ya Mshale huwa wanasikiliza kwa makini na usahihi mawazo ya watu wenye kupenda ubinafsi na kuyatanua zaidi.
Na kuwatoa katika hali ya ubinafsi wa mazungumzo wenye nyota ya mapacha, hivyo ni tofauti na mapacha ambao huishi kwa kufuata watu wanasema nini juu yao.

Na wao kuwarekebisha katika kuishi bila kufuata ya watu na kila kinachoshindikana kwa mapacha basi msaada wake hupatikana kwa Mshale kama nyota yako ni Mapacha na una mwenza ambaye ni Mshale basi jua mnaendana kwa 92%.
 
SUN-DAY (Sunday - siku ya Jua,
Watu wa nyota ya SIMBA -LEO , hii nyota ya utawala, na leo ni siku yenu ya bahati-kiroho,

Wakristo wote huenda jumapili kusali, kwasababu kristo alikuwa nyota ya simba- Simba wa kabila la Yuda, (mtawala)
Ndio maana alipozaliwa wale MAMAJUS wanajimu wa nyakati hizo walitoka mashariki (nchi za mbali) wakaja kumuona YESU,
(Tusome, Mathayo 2:10 *Nao walipoiona ile nyota, walifurahi furaha kubwa mno .
11 Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mamaye, wakaanguka wakamsujudia; nao walipokwisha kufungua hazina zao, wakamtolea tunu; dhahabu na uvumba na manemane.*

Hapo tunaona walimutea tunu, uvumba-mafusho, dhahabu-VITO, hivyo walivyo vileta ndo vinatumika kusafisha na kuongeza nguvu ya mvuto kwa nyota ya simba.
Kwa hiyo YESU alitumia VITO na mashusho kama sehemu wa kukuza uwezo wake na kuongezea MVUTO kazi yake.
Kwa wale tunasoma elimu ya nyota, JUA ndio sayari ya nyota ya SIMBA -LEO

Wakristo wengi hawaamini elimu ya nyota, wanahisi- ni uganga 😀


NB: elimu ya nyota ni pana.
Endelea kujifunza,

Iwe Biblia, quran, elimu Dunia, vyote vimestiwa kwenye elimu ya nyota.

Nawapenda,
HAPPY - SUN DAY
 
NYOTA YA SIMBA IKO KWENYE UTAWALA KWA SASA,

Kama wewe ni nyota ya simba, waza kitu cha kufanya,
Pia kipindi hiki fanya rituals ya kifalme, ,
Ili ujivutie Mihela na mafanikio makubwa
 
ELIMU YA UTAMBUZI (ENLIGHTENMENT DOCTRINE)

(DOGOLI KINYAMKELA 💀 ☠️ (Dr)
☎️📞

Mafundisho yangu ninayofundisha kimsingi, sio ya kidini, ni ya kujitambua.

Nataka nijibu swali la baadhi ya watu ambao wamekuwa wakiniuliza dini yangu na mafundisho yangu.
Nawajibu kwamba mimi sina dini, sifundishi elimu ya dini; bali ni msafiri katika safari ya utambuzi (enlightenment journey)
Miiko yangu pekee ni Universal Laws.
Naishi kwa kuziheshimu na kuzizingatia Kanuni za maumbile ili kupata kila ninachokihitaji na kuwa ninavyotaka kuwa.

Sasa kujitambua maana yake ni nini?

Kujitambua ni kujifahamu KIMWILI, KIAKILI, KIHISIA na KIROHO.
Hizi ni components zinazomuunda binadamu.

Kujitambua ni kujifahamu wewe mwenyewe.
Wewe mwenyewe ni components hizo nne.

Kwa hiyo kujitambua ni kujifahamu kimwili, kiakili, kihisia na kiroho.

Unapojifahamu kupitia components hizo nne, unajifahamu tofauti kabisa na ulivyokuwa unajifahamu hapo awali.

Kwa hiyo, kujitambua ni SAFARI inayoanzia NJE YAKO kwenda NDANI YAKO.
Maana inaanzia MWILINI kisha AKILINI, kisha kwenye HISIA, kisha ROHONI.
Kwa hiyo ni safari ya KUTOKA NJE KUELEKEA NDANI, ni safari ya utambuzi wa kiroho (spiritual enlightenment journey)

Unapokuwa katika kituo cha awali kabisa, yaani kwenye huu mwili, unajifunza kuhusu mwili wako mzima, kiungo kwa kiungo, mfumo kwa mfumo, anatomy na physiology ya mwili wako wote.

Unatakiwa uufahamu mwili wako vizuri, kiungo kwa kiungo, nature yake, utendaji wake nk.

Mathalani, kiungo chako chochote cha mwili kinapokuwa normal kikoje na kinapokuwa abnormal kikoje.
Hapa ndipo unatakiwa kufahamu magonjwa mbalimbali yanayoshambulia mwili na jinsi ya kujiponya.
Unajifunza jinsi ya kuutunza mwili wako mzima, kiungo kwa kiungo na jinsi ya kuishi in a normal life bila ku-suppress mwili wako, yaani kuunyima matakwa yake muhimu kama vile kula, kunywa, kuvaa, kupumzika, kufanya tendo la kujamiiana, kulia, kucheka nk.
Unajifunza faida za kula chakula fulani, kunywa kinywaji fulani na kufanya sex kwa faida ya mwili wako.

Watu wengi sana wanafanya SEX, lakini hawajui jinsi ya kufanya SEX kwa faida, hawajui hata kama kuna kinachoitwa
Sexual variations!

Kwenye safari ya kujitambua, inayoanzia kwenye kituo cha huu mwili, unajifunza jinsi ya kujipokea na kujikubali jinsi ulivyo.
Sasa watu wengi hawajipokei na kujikubali jinsi walivyo na hawataki kuwakubali wengine jinsi walivyo.
Mfano una kichwa kikubwa unalalamika; na yule
ana kichwa kidogo unamcheka!
Which is which?

Kwenye hiki kituo cha mwili, unatakiwa utambue mwili wako ulitokea wapi; na hapo lazima usome mada kama Abiogenesis, Evolution na Cosmology.

Ukitoka kwenye kituo hiki cha mwili unasafiri kwenda mpaka kwenye kituo cha akili.
Unaanza kugundua mawazo yako, namna nzuri ya kufikiri, Conscius mind na Unconscious mind. Unagundua kumbe Unconscious mind ina nguvu ya kutengeneza mazingira yoyote unayoyataka, unashangaa kumbe naweza kuwa hivi au vile, kufanya hiki au kile nk.
Unajicheka kwamba kumbe muda wote nilikuwa naomba Mungu nikijua ndiye anajibu maombi kumbe hapana; maombi ni njia ya kuichochea unconscious mind ifanye kazi kwa haraka; ndio maana kila binadamu anaweza kuomba na akapokea kile alichoomba endapo ashajua jinsi ya kuitumia Unconscious au Subconscious mind yake, haijalishi ana dini au hana dini!

Sasa unaanza kujifunza jinsi ya kuichochea Unconscious mind yako kufanya kazi kuliko mwanzo na mambo yanaanza kutokea in a very simple way!
Unajifunza takriri za kukiri (confessional affirmations)
Unajifunza Universal Laws, hasa The Universal Law of Attraction & Vibration na utendaji wake katika kukuletea mahitaji yako yote. Unajifunza imani ni nini na jinsi ya kuitumia kuvuta vitu unavyohitaji nk. nk. nk.

Ukitoka kituo cha akili unasafiri kwenda kituo cha hisia.
Unagundua kuna akili na kuna hisia.
Kuna wakati unaahidi ukiwa umefurahi, furaha ikiisha unatoweka na ahadi zako; kumbe akili yako haikuahidi, kilichoahidi ni hisia zako na sasa zimetoweka.
Hisia huja haraka na kuondoka haraka pia.
Unakasirika, unatukana sana, kisha baadaye hasira zikiisha unaona aibu. Unajiuliza nani alikuwa anatukana na nani anaona aibu sasa?
Je si ni wewe huyo huyo?
Ni kweli, ni wewe; lakini nani alikuwa in charge?

Aliyetukana ni hisia, anayeona aibu ni akili (wote hao ni mtu mmoja, ni wewe)

Kwa hiyo sasa unajifunza jinsi ya kuishi na hisia zako bila kuathiri maisha yako na ya wengine.

Wala hukemei hisia zako zitoweke kwa sababu tayari hapa unakuwa ushagundua kwamba hisia zinaharakisha imani ya muda mfupi na karibu kwenye maisha ya kila siku tunahitaji imani ya fasta, ili kuondosha vichangamoto vya dharula!

Wale mitume na manabii, wanaoombea wagonjwa wakaponywa, wanatumia mwili huu wa hisia.
Wanachofanya ni kuwachochea kwanza watu wao (kwa 'neno la Mungu/ la kinabii'), hisia za imani zinaongezeka, ndipo miujiza inaanza kutokea (uponyaji wa miujiza) kwa sababu imani ikiwepo lazima miujiza iwepo.
Lakini sio imani ya akili,ni imani ya hisia.
Kwa hiyo unajifunza kushinikiza hisia zako, hisia zinabadilisha unconscious mind, unconscious mind inatengeneza mazingira unayohitaji.

Ukitoka kwenye hiki kituo cha hisia, unasafiri kwenda kituo cha roho.
Unagundua kwamba kumbe siku zote uwa una kitu kingine cha ziada ndani yako, ambacho huwa kinakunong'oneza.
Wengine wanakiita Roho Mtakatifu, kumbe ni Super Conscious mind yako!Super Conscious mind inaona kila kitu, inajua kila kitu, inafahamu kila kitu, inashauri kila kitu, inafundisha na kuelekeza kila kitu nk.
Unapokuwa na uwezo wa kuisikiliza Super Conscious mind yako, itakuongoza katika njia ya heri.
Super Conscious mind inatibu stress zote, kwa sababu inaleta amani isiyo na kikomo (amani ipitayo akili zote na hisia zote)
Super Conscious mind huwa tunaiendea na kuigusa kupitia meditation.
Ndio sababu meditators muda wote huwa wamejawa na furaha, amani na upendo. Ni watu wa haki.
Ndio maana falsafa inayoongoza masomo yetu ni HAKI, UPENDO na AMANI (HUA)
Wale ambao tumesoma na tunafanya meditation kila siku, kama SEHEMU ya maisha yetu, mtakubaliana nami kwenye hili.

Lakini pia Super Conscious mind huwa inazalisha nguvu zinazopita uwezo wa kawaida kwa kuishinikiza unconscious mind kufanya muujiza wowote.
Wale mliosoma ile mada ya Paranormal abilities bila shaka mtakubaliana nami kwamba hakuna mtu ambaye ataishinikiza super Conscius mind yake kufanya miujiza na ikashindikana hususani wale wenye nguvu za ziada kwenye hilo eneo.

Kwa hiyo sasa tunaweza tukasema kwamba maana pana ya neno kujitambua ni kukua kimwili, kiakili, kihisia na kiroho.
Ni kuachana na
mazoea, kuachana na akili ya kupewa (inayokuumiza au inayowaumiza
wengine), kuwa na akili yako (isiyokuumiza na isiyowaumiza wengine)

Kujitambua ni kuishi kwa kufuata sauti yako ya ndani inavyokuambia na kuacha kufuata watu wengine wanavyokuambia.

Hapo sasa ni muhimu sana.
Kuishi kwa kujisikiliza wewe, kusikia maoni yako kutokea ndani badala ya kuwa mtumwa wa maoni na mawazo ya watu wengine.

Sasa hiyo ndiyo imani yangu, ndiyo dini yangu, ndiyo maisha yangu; ndiyo safari yangu endelevu.

Nakaza mwendo.

Dr. DOGOLI (PhD),
☎️
Mtafiti na Mkufunzi wa masuala ya kiroho.
Kwa changamoto yeyote wasiliana na mimi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom