Meshacky Gallatone
New Member
- Jul 22, 2022
- 2
- 0
Aaah mkuu nmekuelewaaaa sanaaaa we mkalii
Kuna mambo ndiyo maana tunapata majibu kwanini tunazidi kurudi nyuma. Kaa hata wanapokuwa vijana watano sikiliza maongezi yao utagundua kitu kikubwa Sana.Saaana. Na nashangaa kwa masaa 20 wachamgiaji hawajafika 50, wabongo tumelaaniwa aisee. Asante sana boss kwa uzi makini, nimepata guidance ya watoto wangu
Miaka miwili.Hivi diploma ya computer science mtu wa form six(PCM) anatumia miaka mingap?
Aisee, ni ukweli mtupuKwa vyuo vyetu vya technical hususan Must Na Dit siwezi shangaa kabisa hata wakianzisha kozi za mapishi waweke somo la hesabu, Ni vyuo ambavyo bado havijapevuka kwenye upangaji wa masomo.
Chuo kama MUST diploma wanasoma masomo 14 kwa muhula, What is this ? wao wanasifia kwamba chuo inabidi kiwe kigumu masomo yawe mengi ndio kinamuivisha mtu, Upuuzi mtupu huu.
Hao Arusha Tech nao upangaji wa kozi zao ni shagala bagala, yani hio information technology ni kama vile wame copy na ku paste kutoka modules za computer science, huu kwanini nao nisiuite upuuzi, kuna haja gani kufundisha vitu nje ya taaluma ?? chuo chenyewe hiki hata prospectus yao hawana online ndio unagundua kwamba hata department zao za IT ni bure kabisa.
Itabidi nimstue alieandika hio maada niliyo copy alicheki hili swala maana watoto wa watu wanaweza kwenda machonjo kwa upuuzi upuuzi wa baadhi ya vyuo vyetu.
hiyo mitaala imepitishwa na TCU.Aisee, ni ukweli mtupu
Mimi nilisoma Engineering na sasa kazi yang imekuwa inaiingiliana sana na IT Networking na Cyber Security. na kuanza kufanya kazi kwa ukaribu na IT Department yetu.
Huku nimekutana na wakali wa Network Engineering na Cyber security wengine wananiambia, hesabu ndio zilizowafanya wasisomee Engineering. kwa maana hiyo hiyo huko walikosomea hakukuwa hesabu zisizohusiana na fani yao. sio kama bongo unalishwa tu mihesabu migumu hata kwenye kozi ya mapishi
Na kweli nimeona hiyo Arusha Tech, hizo kozi mbili ni zilezile lakini majina tofauti. ndio ujue ma lecturers wa kibongo wengine ni vichwa maji😂
Sawa..hiyo mitaala imepitishwa na TCU.
Angalia mtaala wa MIT
Exacttly, nakuunga mkono...Sawa..
Point yangu ni hivi hata hao TCU ni vichwa maji...
Ndio maana watu wengi waliobahatika kusoma nje ya nchi wanaukosoa huu mfumo wa TCU ni utopolo
Kwani hao tcu ndio hawakosei, Hebu tazama utopwinyo walioupitisha Chuo cha Arusha tech kwenye kozi za Computer science na IT, unaweza kudhani ni kozi zilizotofautiana majina tuhiyo mitaala imepitishwa na TCU.
Angalia mtaala wa MIT
Leta mitaala ya vyuo bora duniani uone wanavyosoma huko.Kwani hao tcu ndio hawakosei, Hebu tazama utopwinyo walioupitisha Chuo cha Arusha tech kwenye kozi za Computer science na IT, unaweza kudhani ni kozi zilizotofautiana majina tu
Lete mitaala ya vyuo unavyoviamin kwa tech duniani uone IT wanasoma nin sio opinion zako tu.Kwani hao tcu ndio hawakosei, Hebu tazama utopwinyo walioupitisha Chuo cha Arusha tech kwenye kozi za Computer science na IT, unaweza kudhani ni kozi zilizotofautiana majina tu
Kwani hao tcu ndio hawakosei, Hebu tazama utopwinyo walioupitisha Chuo cha Arusha tech kwenye kozi za Computer science na IT, unaweza kudhani ni kozi zilizotofautiana majina tu
Hawa ni wenzetu wa dunia ya kwanza angalia masomo ya IT wanayojifunzaWhat are subjects in information technology?
Answer (1 of 15): Hello Everyone!!! I’ve listed only the important subjects present in B.E./B.Tech. Information Technology course. It has been done so that readers may get an idea about what the course structure is like. In the first two semesters, the general set of Engineering subjects are pr...www.quora.com
Hii ni link ya Quora unaweza kupitia kujifunza zaidi
https://www.ue.edu.ph/mla/p/curriculum.php?c=CIT2019 Hiki chuo kipo Ufilipino masomo ya IT hayo hapo. Arusha Tech na wasimamizi wa elimu kama TCU, NACTE na wengineo wapo sahihi. Labda wewe ungeonesha chuo, kozi na masomo yanayohitajikaKwani hao tcu ndio hawakosei, Hebu tazama utopwinyo walioupitisha Chuo cha Arusha tech kwenye kozi za Computer science na IT, unaweza kudhani ni kozi zilizotofautiana majina tu
Curriculum | Information Technology Undergraduate Program | Eastern Mediterranean University (EMU), Cyprushttps://www.ue.edu.ph/mla/p/curriculum.php?c=CIT2019 Hiki chuo kipo Ufilipino masomo ya IT hayo hapo. Arusha Tech na wasimamizi wa elimu kama TCU, NACTE na wengineo wapo sahihi. Labda wewe ungeonesha chuo, kozi na masomo yanayohitajika
BTech IT Syllabus and Subjects 2022 - Semester WiseMfumo wa masomo japo juu unafuatwa na vyuo hivi :-BSc IT (Information Technology) Subjects, Admissions, Syllabus & Colleges
Know everything about BSc IT Subjects including syllabus, curriculum, duration, job prospects, eligibility, fees, top colleges, and best universities for semester-wise Bsc IT Subjects.leverageedu.com
University of Derby, University of Kent, Middlesex University, University of Huddersfield, University of Auckland