Kamanda karibu tena jamvini...
kwa kweli kumekucha
sasa tunaangalia kwa makini mrithi wa nafasi hio na nani ambae ataeweza kukabiliana na hali halisi ya sasa
'Suala la wizi wa kura kwa chaguzi za visiwani huwa si la kujadiliwa ama kuumiza vichwa sana, kwani linatambulika. Na mpaka kesho sijajua wale jamaa waliokimbia na maboksi ya kura mwaka 2000 na kwenda kubadili matokeo porini wamechukuliwa hatua gani!Tungepata ufumbuzi wa hili suala tata nadhani tungekuwa na nafasi nzuri zaidi ya kuchambua suala hili. Mlio na taarifa za suala hili tunaziomba.'
IDIMI umenifanya nicheke saaana mkuu. Lile changa la macho tu, kuonyesha jamaa wapo makini na uchanguzi, jamaa ni wao wenyewe na walipanga nao. Watu wale wapo mitaani kama kawaida hawaijui Jela wala Rumande. (kinyume chake wanasifiwa kwa kufanikisha kazi waliyotumwa).
kwa kweli kumekucha
sasa tunaangalia kwa makini mrithi wa nafasi hio na nani ambae ataeweza kukabiliana na hali halisi ya sasa
Ibrahim Lipumba kwa sababu Seif Shariff Hamad ameshajaribu mara tatu (1995, 2000, 2005) bila mafanikio ingawaje mimi naamini alishinda miaka yote hiyo lakini CCM waliiba kura na pia kupeleka wapiga kura toka bara ili wakaongeze idadi ya wapiga kura wa CCM. Pia ningependa kuona Dr Slaa ndiye mgombea wa Urais 2010 toka CHADEMA.
Ibrahim Lipumba kwa sababu Seif Shariff Hamad ameshajaribu mara tatu (1995, 2000, 2005) bila mafanikio ingawaje mimi naamini alishinda miaka yote hiyo lakini CCM waliiba kura na pia kupeleka wapiga kura toka bara ili wakaongeze idadi ya wapiga kura wa CCM. Pia ningependa kuona Dr Slaa ndiye mgombea wa Urais 2010 toka CHADEMA.
Natafakari tuu haya yanayotokea Zanzibar na hiki nilichoandika mwaka 2008!.Maalim Seif ana siasa za jazba na chuki,
Maalim Seif anautaka urais wa Zanzibar kwa jazba, nguvu na usongo akiamini urais wa Zanzibar ni kama kitumbua chake alichopokwa kabla hakijaafika mdomoni ili hali ana njaa ya kufa mtu. Nadhani ni kweli siku zote anashinda uchaguzi Maalim ila nani atakubali kumpa urais mtu mshari mwenye kila dalili ya kulipiza kisasi na hata kuuvunja muungano hivyo hata akisimama mara mia hapewi dola ng'o labda adhikr ....
Tatizo jingine la Maalim Seeifu ni nasaba na sultan aliyepinduliwa,mpaka sasa mfadhili mkuu wa Maalim ni Sultan wa Brunei ndiye anayempa kiburi cha kuishi hotelini hapa bara kwa siku zote, sijui sasa. Sultani wa Brunei ni ukoo -ule ule wa Sultani wa Oman na ndio unaomgharimia Sultan wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar, Sultan Jamsed kuishi London mpaka sasa. Kwa vile Maalim ni ukoo huo, anahofiwa ataurudisha usultani na kuyakana mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyouwa ndugu zake na labda ndio maana jamaa ana hasira na usongo.
Tatizo kubwa la baadhi ya washabikiwa CUF ni mafanatik wa siasa za jino kwa jino huwaelezi kitu wao wanaangalia sura na sharubu sio uwezo wa mtu.
Natafakari tuu haya yanayotokea Zanzibar na hiki nilichoandika mwaka 2008!.
Pasco