Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 373
Kibunango
Unayajua jaya ama unabisha kwa kuandika kwa kuwa una access na muda wa kuandika ?
Kibunango
Mimi sina haja ya kumfitini mtu kama Karume .Unajua mnapenda kubisha tu.Naomba wasiliana na Watanzania wa Ujerumani waulize kuhusu huu mkasa . Nilikuwepo mwenyewe sikuambiwa na mkutano huo ulifanyika Stuttigart .Nilete majungu ili iweje ? Mtu ambaye hadi anaondoka Berlin hakuwahi kusimamisha bendera ta Tanzania Ubalozini ? Unajua kwamba wakati wa kubadili PP ilibidi watu waenda Brussels kupewa huduma ambako kulionekana nafuu kiasi fulani ?Hadi watu wana anza process ya kupoea PP Ujerumani Karume alisena hakuwa na habari maana hakuwa na barua na akawa anaendelea kulamba ulanzi ? Unayajua jaya ama unabisha kwa kuandika kwa kuwa una access na muda wa kuandika ?
Naona umeshikia bendera hili, aidha kwa taarifa tu, Amani alianza kuonjesha nia ya kugombea urais wa zenj tokea mwaka 1995, miaka kumi baadae yaani 2005 ndio akaibuka Ali, tena akitaka kugombea uprezi wa Muungano huko kwa wenye vichwa...Sasa kauli za kukebehi na kama kitu hujui ni kujitusi mwenyewe.Kumrudisha hawawezi kwa kuwa ana mavurugu analilia madaraka ya urais toka kwa Kaka yake .Kuna madai kwamba wote ni watoto wa Karume lakini yeye ndiye haswa na Amani ni mtoto wa nje ya ndoa si unawajua wa CCM na nyumba ndogo . So to keep him away lazima apewe Nchi tena anayotaka yeye .Hawana ujanja .Jamaa anaongea utadhani chizi gani . Balozi mzima anaongelea mambo ya Political Science leo ? Mmesema ana digrii ngapi vile ? Alizipata huko Zenji ama ?
Hapa umekusudia nini Kamanda? mapendekezo mengine ni sawa na kujitia kitanzi wewe mwenyewe... Manake zile kopi na kupataste sijui utalipia kwa kiasi gani...KB unaonaje tukianza kuwa na kautaratibu ka kununu credits za kuandika humu? Ka programu kaitwe AKU yaani Andika Kadri Ununuavyo . Hii itawafanya watu watumie maneno yao kwa uangalifu zaidi kama vile salio la simu.🙂
Kibunango kwa akili yako ilivyo maana waijua mwenyewe . Karume anaweza kuwa Rais wa watu kama sisi ? Hebu jiulize yaani Ali au Aman awe Rais wa watu kama mimi si itakuwa balaa . Nakataa . Oh kumbe ni mtoto wa Mama nje ya ndoa ? Siri hii najua anayo Mama na ndiyo Ali kila leo ni mavurugu na ni debe tupu . Kusoma digirr 3 ni kimoja na kuchukua cheti ukaacha akili kwa waalimu Chuoni ni jambo jingine .So alichukua makaratasi akili akamwachia mwalimu wake . Ali hafai hata huko Zanzibar kuwa rais hata mjumbe wa nyumba kumi . Kwanza msikilize then njoo tuseme.
Kwa jinsi JK anavyopenda serikali yenye wizara nyingi kwanini asituweke wizara maalumu kwa ajili ya vichekesho na Ali Karume awe waziri.
Digrii ya Kusonga Ugali
Hii thread ni fitina na majungu tu!
Mnataka Ali aondolewe ili wewe upewe ubalozi?
Hampewi ng'o!
"Msije mkafanya kosa kumchagua mtu mwenye sifa ya usomi, lakini kumbe kusomea kwenyewe ni kupiga kinanda au kwa mfano mtu kasomea kusonga ugali aje kuwa mgombea. Kwa nini asitafutwe mtu kama Balozi Karume aliyesomea Uchumi, Diplomasia na Utawala katika Biashara na kumpa nchi, kuliko kumtafuta dereva wa teksi," alibeza Karume.
Kigeugeu Re:
Hii thread ni fitina na majungu tu!
Mnataka Ali aondolewe ili wewe upewe ubalozi?
Hampewi ng'o!
Ndio maana huwa tunasema kuwa viongozi wetu ni reflection yetu sisi wananchi, maana kiongozi kasema kwanza halafu mwananchi anyetaka kutawaliwa naye kajibu hapo chini, kweli JF tuna kazi kubwa sana ya kuelimisha wananchi.
ES,
Ama kweli Tz we have a very long way to go! Kwani Karume alizaliwa awe balozi?