Agogwe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 2,745
- 2,987
Kama hutojali mkuu unaweza kutuwekea na CV zao?Waliojitokeza mapema kabisa kutia nia ni pamoja na Kamanda Elizabeth Mwakipesile ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Bawacha wa Mkoa wa Mbeya , Huyu yeye ametia nia kwenye nafasi ya Makamu Mwenyekiti Bara .
View attachment 1715034
Nako kwenye nafasi ya Mwenyekiti wa Bawacha Taifa amejitokeza mzito mwingine anayeitwa Aisha Luja , Huyu kamanda mpaka tunaingia mitamboni yeye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kati
View attachment 1715053
Taarifa zilizotufikia zinadokeza kwamba kuna Majina mazito zaidi na ya kushangaza sana yasiyotarajiwa kabisa ambayo yako mbioni kujitokeza kutia nia ya kuchukua uongozi wa Bawacha , endeleeni kutega sikio
Ikumbukwe kwamba mpaka hivi sasa Bawacha ndio Taasisi ya akina mama inayotajwa kuheshimika na kuwa bora zaidi barani Afrika .
Tutaendelea kuwaletea majina mengine ya watia nia wengine kwa kadri yanavyotufikia , endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika