Uchaguzi wa 2020, Kukumbuka shuka kumekucha, is it too little too late kwa CHADEMA or better late than never?

Wanabodi,

Unapotoa ushauri fulani ukapuuzwa, katika ushauri huo ukashauri the right thing to do na matokeo ya kutofuatwa kwa ushauri huo, halafu baada ya kupata matokeo, sasa ndio wanaamka, wanakumbuka shuka kumekucha, na sasa ndio kuanza kujipanga, japo ni kwa kuchelewa lakini ile kujitambua tuu pekee, inastahili pongezi, hivyo hili ni bandiko la pongezi kwa Chadema, the input ya JJ.MNYIKA inakwenda kuonekana.

Nimemuona Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe akitembelea jimbo lake na kuhutubia, japo ni kweli kabisa kwa Tanzania, kitendo cha Wenyeviti wa vyama vingine vyote wakizuiliwa kuhutubia wanachama wao national wide, kufuatia ile marufuku batili ya shughuli za kisiasa national wide, wakati ni Mwenyekiti wa chama kimoja tuu, akizunguka nchi nzima na kulihutubia taifa mubashara kwa ile kofia yake nyingine, lakini wabunge wote waliruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye majimbo yao throughout a year, walikuwa wapi siku zote, hadi huu mwaka wa uchaguzi ndio tunawaona wakipishana majimboni, isn't this too little too late, or just better late than never, bora chelewa ufike?.

Jana nimesoma, mkakati wa JJ.Mnyika kuandaa ilani mzuri ya Uchaguzi wa 2020.

John Mnyika, Kibadili chama kutoka chama lalamishi na andaa ilani iliyobebwa na ajenda zenye maslahi kwa watu

This is a good, hatimaye Chadema sasa imeanza kusikia, ingekuwa inasikia tangu enzi zile, saa hizi Chadema zamani ingekuwa Ikulu.
Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

Watu tumeanza kuishauri Chadema tangu 2010...
CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

Tukashauri
CHADEMA MUST now Reform and Restructure!

Tukashauri
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili! - Kuepusha Shari, Kubalini Kosa!

Tukashauri
Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!

Tukashauri
CHADEMA ni sikio la kufa? Iambiwe vipi ili isikie? Masha ana hoja za msingi, zisikilizwe, zizingatiwe, zisipuuzwe!

Tukashauri
CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena!

Tukashauri
Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?!

Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?!.

Hatimaye sasa ndio Chadema inasikia japo kwa kukumbuka shuka kumekucha, Chadema inastahili pongezi za dhati, swali linabaki will this help kwa uchaguzi wa 2020?, or it's too little too late?.

Kwa wenzetu wa ibada nawatakia Ijumaa Kareem Njema,
Kwa sisi wengine, nawatakia Furahi Dei Njema.

Paskali

Paskali acha kuambatanisha hayo mabandiko yako ya zamani, ambatanisha hata mistari ya vitabu vitakatifu, bila tume huru ya uchaguzi hakuna mtu anayejitambua atashiriki huo ushenzi. Siku kukiwa na tume huru ya uchaguzi ndio uje na haya mapamphlet yako kwa cdm.
 
Wanabodi,

Unapotoa ushauri fulani ukapuuzwa, katika ushauri huo ukashauri the right thing to do na matokeo ya kutofuatwa kwa ushauri huo, halafu baada ya kupata matokeo, sasa ndio wanaamka, wanakumbuka shuka kumekucha, na sasa ndio kuanza kujipanga, japo ni kwa kuchelewa lakini ile kujitambua tuu pekee, inastahili pongezi, hivyo hili ni bandiko la pongezi kwa Chadema, the input ya JJ.MNYIKA inakwenda kuonekana.

Nimemuona Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe akitembelea jimbo lake na kuhutubia, japo ni kweli kabisa kwa Tanzania, kitendo cha Wenyeviti wa vyama vingine vyote wakizuiliwa kuhutubia wanachama wao national wide, kufuatia ile marufuku batili ya shughuli za kisiasa national wide, wakati ni Mwenyekiti wa chama kimoja tuu, akizunguka nchi nzima na kulihutubia taifa mubashara kwa ile kofia yake nyingine, lakini wabunge wote waliruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye majimbo yao throughout a year, walikuwa wapi siku zote, hadi huu mwaka wa uchaguzi ndio tunawaona wakipishana majimboni, isn't this too little too late, or just better late than never, bora chelewa ufike?.

Jana nimesoma, mkakati wa JJ.Mnyika kuandaa ilani mzuri ya Uchaguzi wa 2020.

John Mnyika, Kibadili chama kutoka chama lalamishi na andaa ilani iliyobebwa na ajenda zenye maslahi kwa watu

This is a good, hatimaye Chadema sasa imeanza kusikia, ingekuwa inasikia tangu enzi zile, saa hizi Chadema zamani ingekuwa Ikulu.
Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

Watu tumeanza kuishauri Chadema tangu 2010...
CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

Tukashauri
CHADEMA MUST now Reform and Restructure!

Tukashauri
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili! - Kuepusha Shari, Kubalini Kosa!

Tukashauri
Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!

Tukashauri
CHADEMA ni sikio la kufa? Iambiwe vipi ili isikie? Masha ana hoja za msingi, zisikilizwe, zizingatiwe, zisipuuzwe!

Tukashauri
CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena!

Tukashauri
Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?!

Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?!.

Hatimaye sasa ndio Chadema inasikia japo kwa kukumbuka shuka kumekucha, Chadema inastahili pongezi za dhati, swali linabaki will this help kwa uchaguzi wa 2020?, or it's too little too late?.

Kwa wenzetu wa ibada nawatakia Ijumaa Kareem Njema,
Kwa sisi wengine, nawatakia Furahi Dei Njema.

Paskali
Hebu acheni kutuchekesha Ikulu wataendaje ili hali Dola inailinda chama cha Kijani
 
Acha upotoshaji maana haikusaidii!Miaka yote CDM inakuwa na sera zake!Na mbona zimetolewa mara nyingi tu,nakumbuka hata mwaka juzi kama sio jana zilitolewa na media mbalimbali za CDM ikaziwasilisha!
Huu ni muendelezo wako wa kuinanga CDM,acha unafiki!
Ilani ya Chadema 2015 tuliambiwa tuasome kwenye tovuti sababu walichelewa kuichapisha, baada ya uchaguzi ikasahaulika kabisaaa. Wenye simu ya vitochi ikala kwetu, Mwenzetu uliiona wapi?
 
Wanabodi,

Unapotoa ushauri fulani ukapuuzwa, katika ushauri huo ukashauri the right thing to do na matokeo ya kutofuatwa kwa ushauri huo, halafu baada ya kupata matokeo, sasa ndio wanaamka, wanakumbuka shuka kumekucha, na sasa ndio kuanza kujipanga, japo ni kwa kuchelewa lakini ile kujitambua tuu pekee, inastahili pongezi, hivyo hili ni bandiko la pongezi kwa Chadema, the input ya JJ.MNYIKA inakwenda kuonekana.

Nimemuona Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe akitembelea jimbo lake na kuhutubia, japo ni kweli kabisa kwa Tanzania, kitendo cha Wenyeviti wa vyama vingine vyote wakizuiliwa kuhutubia wanachama wao national wide, kufuatia ile marufuku batili ya shughuli za kisiasa national wide, wakati ni Mwenyekiti wa chama kimoja tuu, akizunguka nchi nzima na kulihutubia taifa mubashara kwa ile kofia yake nyingine, lakini wabunge wote waliruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye majimbo yao throughout a year, walikuwa wapi siku zote, hadi huu mwaka wa uchaguzi ndio tunawaona wakipishana majimboni, isn't this too little too late, or just better late than never, bora chelewa ufike?.

Jana nimesoma, mkakati wa JJ.Mnyika kuandaa ilani mzuri ya Uchaguzi wa 2020.

John Mnyika, Kibadili chama kutoka chama lalamishi na andaa ilani iliyobebwa na ajenda zenye maslahi kwa watu

This is a good, hatimaye Chadema sasa imeanza kusikia, ingekuwa inasikia tangu enzi zile, saa hizi Chadema zamani ingekuwa Ikulu.
Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

Watu tumeanza kuishauri Chadema tangu 2010...
CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

Tukashauri
CHADEMA MUST now Reform and Restructure!

Tukashauri
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili! - Kuepusha Shari, Kubalini Kosa!

Tukashauri
Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!

Tukashauri
CHADEMA ni sikio la kufa? Iambiwe vipi ili isikie? Masha ana hoja za msingi, zisikilizwe, zizingatiwe, zisipuuzwe!

Tukashauri
CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena!

Tukashauri
Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?!

Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?!.

Hatimaye sasa ndio Chadema inasikia japo kwa kukumbuka shuka kumekucha, Chadema inastahili pongezi za dhati, swali linabaki will this help kwa uchaguzi wa 2020?, or it's too little too late?.

Kwa wenzetu wa ibada nawatakia Ijumaa Kareem Njema,
Kwa sisi wengine, nawatakia Furahi Dei Njema.

Paskali
Bora kuchelewa kuliko kukosa kabisa, kidogo naweza kuwaona wakirudi kwenye njia ile aliyokuwa anawaongoza dr. Slaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwana Paskali nataka kukuhakikishia kuwa
kwa mwandishi kama wewe unapaswa kutumia kalamu yako kuelemisha jamii,badala ya kutia jamii hofu.
Mkuu Nanyaro, karibu mitaa hii uone jinsi nilivyoitumia kalamu yangu vizuri kuishauri Chadema.
Wanabodi,

Unapotoa ushauri fulani ukapuuzwa, katika ushauri huo ukashauri the right thing to do na matokeo ya kutofuatwa kwa ushauri huo, halafu baada ya kupata matokeo, sasa ndio wanaamka, wanakumbuka shuka kumekucha, na sasa ndio kuanza kujipanga, japo ni kwa kuchelewa lakini ile kujitambua tuu pekee, inastahili pongezi, hivyo hili ni bandiko la pongezi kwa Chadema, the input ya JJ.MNYIKA inakwenda kuonekana.

Nimemuona Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe akitembelea jimbo lake na kuhutubia, japo ni kweli kabisa kwa Tanzania, kitendo cha Wenyeviti wa vyama vingine vyote wakizuiliwa kuhutubia wanachama wao national wide, kufuatia ile marufuku batili ya shughuli za kisiasa national wide, wakati ni Mwenyekiti wa chama kimoja tuu, akizunguka nchi nzima na kulihutubia taifa mubashara kwa ile kofia yake nyingine, lakini wabunge wote waliruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye majimbo yao throughout a year, walikuwa wapi siku zote, hadi huu mwaka wa uchaguzi ndio tunawaona wakipishana majimboni, isn't this too little too late, or just better late than never, bora chelewa ufike?.

Jana nimesoma, mkakati wa JJ.Mnyika kuandaa ilani mzuri ya Uchaguzi wa 2020.

John Mnyika, Kibadili chama kutoka chama lalamishi na andaa ilani iliyobebwa na ajenda zenye maslahi kwa watu

This is a good, hatimaye Chadema sasa imeanza kusikia, ingekuwa inasikia tangu enzi zile, saa hizi Chadema zamani ingekuwa Ikulu.
Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

Watu tumeanza kuishauri Chadema tangu 2010...
CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

Tukashauri
CHADEMA MUST now Reform and Restructure!

Tukashauri
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili! - Kuepusha Shari, Kubalini Kosa!

Tukashauri
Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!

Tukashauri
CHADEMA ni sikio la kufa? Iambiwe vipi ili isikie? Masha ana hoja za msingi, zisikilizwe, zizingatiwe, zisipuuzwe!

Tukashauri
CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena!

Tukashauri
Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?!

Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?!.

Hatimaye sasa ndio Chadema inasikia japo kwa kukumbuka shuka kumekucha, Chadema inastahili pongezi za dhati, swali linabaki will this help kwa uchaguzi wa 2020?, or it's too little too late?.

Kwa wenzetu wa ibada nawatakia Ijumaa Kareem Njema,
Kwa sisi wengine, nawatakia Furahi Dei Njema.

Paskali
P
 
Too late,kwa sasa mnavuna mlichopanda kwa miaka mitano.
Mkuu Kishina cha Mshahara, kwanza naomba kukiri, ninaheshimu mawazo yako, ila kwenye uchaguzi, ni kweli kuna mtu amefanya the right timing na mtu ni too late too little!.

Niliwahi kuuliza hivi humu
Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?!.

Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au ni Magufuli tu?!.

Uchaguzi wa 2020, Kukumbuka shuka kumekucha, is it too little too late kwa CHADEMA or better late than never?

Majibu ya swali hili ni tarehe 28 October,
Kuna mtu atalia na kuna mtu atacheka!. He who cries last cries most, and he who laughs last laugh most!.
P
 
Mkuu Kishina cha Mshahara, kwanza naomba kukiri, ninaheshimu mawazo yako, ila kwenye uchaguzi, ni kweli kuna mtu amefanya the right timing na mtu ni too late too little!.

Niliwahi kuuliza hivi humu
Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?!.

Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au ni Magufuli tu?!.

Uchaguzi wa 2020, Kukumbuka shuka kumekucha, is it too little too late kwa CHADEMA or better late than never?

Majibu ya swali hili ni tarehe 28 October,
Kuna mtu atalia na kuna mtu atacheka!. He who cries last cries most, and he who laughs last laugh most!.
P
Pascal Mayalla Huyo Ni mshabiki Lia Lia wa chadema Ni ngumu kukuelewa kwa wakati Huu hizo Ni hasara ya kutanguliza maahaba badala ya akili.
 
Wanabodi,

Unapotoa ushauri fulani ukapuuzwa, katika ushauri huo ukashauri the right thing to do na matokeo ya kutofuatwa kwa ushauri huo, halafu baada ya kupata matokeo, sasa ndio wanaamka, wanakumbuka shuka kumekucha, na sasa ndio kuanza kujipanga, japo ni kwa kuchelewa lakini ile kujitambua tuu pekee, inastahili pongezi, hivyo hili ni bandiko la pongezi kwa Chadema, the input ya JJ.MNYIKA inakwenda kuonekana
Hatimaye sasa ndio Chadema inasikia japo kwa kukumbuka shuka kumekucha, Chadema inastahili pongezi za dhati, swali linabaki will this help kwa uchaguzi wa 2020?, or it's too little too late?.

Kwa wenzetu wa ibada nawatakia Ijumaa Kareem Njema,
Kwa sisi wengine, nawatakia Furahi Dei Njema.

Paskali
Tayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali

Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa sasa CHADEMA ndio inayotoa viongozi wa Nchi

# HATUTANII
This is good, chelewa ufike, hili lilipaswa kufanyika toka 2010 ili 2015 Chadema ichukue nchi, japo sasa its already too little too late, but something is better than nothing.

P
 
Back
Top Bottom