Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Good riddance.You are such a baby and an idiot! You don't even have any idea of what you are talking about, goodbye!
Good riddance.You are such a baby and an idiot! You don't even have any idea of what you are talking about, goodbye!
Chadema wanasema uchaguzi wa Tanzania ni uchafuzi lakini hawana evidence ya kile wanachosema. Walishika kura na Zito Kabwe (kibaraka) akawa anatembea nazo mitaani na kuonyesha kila alikokuwa anakwenda lakini hana ushahidi wowote ule usiotia shaka wapi alizipata. Ukishika mali ya wizi unamkamata mwizi kama unaweza na kumpeleka polisi. Siku hizi unaweza kuchukua video kutoka simu yako ya mkononi na ku-present as evidence, ameshindwa kufanya hivyo. Then unaambiwa Halima Mndee wameshika kura kwenye bag na kuamua kuzichoma. Kwanini wasimshike mwenye bag na kumpeleka polisi?Wacha1
Sina uhakika kama tupo katika 'same page'' kuhusu hoja ya Mag3
Tunaongelea uchaguzi wa Marekani na jinsi ambavyo taasisi za nchi hiyo zilivyosimama imara katika kulinda masilahi mapana ya Demokrasia ya nchi yao.
Mfano, Trump kwa kutumia mamlaka yake alimteua mtu alichangisha pesa zake kuua shirika la Posta.
Kila state ina utaratibu wake wa uchaguzi na hivyo taratibu nyingine mbadala zilifuatwa.
Pamoja na hayo Mahakama kama Taasisi nyeti ililazimisha shirika la Post lihakikishe masanduku yanafika kwa wakati
Wakati huo huo postmaster general aliitwa na kamati ya Bunge chini ya kiapo na kuahidi kufanikisha uchaguzi
Rais Trump alitaka uchaguzi wa 'vote by mail'' ufutwe kabisa. Taasisi zikamwambia hiyo si kazi ya Rais
Juzi Jumatano , Rais Trump alikuwa na maongezi na Gavana wa Arizona na Georgia kuwashawishi. Walikataa
Hiyo ni mifano tu lakini uharibifu ni mkubwa sana hasa katika taasisi kama DOJ. Hata hvyo uimara wa Taasisi hizo bado upo licha ya uharibifu. Majuzi wakati Trump anashangilia Bus la Biden kuzingirwa na wahuni wake, FBI wamefungua uchunguzi bila kujali ukubwa wa Rais.
Miaka 4 iliyopita kulikuwa na maandamano ya kumpinga Trump.
Wote walioandamana waliambiwa hawana haki ya kumuondoa Trump, wasubiri miaka 4.
Miaka 4 baadaye wale wale walionyimwa haki sasa wanapewa haki ndiyo shamra shamra tunazoziona
Rais Trump alisema kulikuwa na 'fraud' katika kura za 2016 ndiyo maana Hillary alishinda kwa popular vote
Trump aliunda tume ambayo baada ya kuchunguza ilibaini hakuna tatizo na hivyo alishindwa kufanya lolote
Marekani kuna kamisheni ya uchaguzi, hata hivyo shughuli za uchaguzi zinaratibiwa katika ngazi za vitongoji ,miji, majiji n.k. kwa kufuata sheria za state husika.
Mfano, kuna state zina vote kwa mail tu hakuna kituo cha uchaguzi.
Kuna state zinaanza kuhesabu kura za posta kwanza, halafu za watu waliopiga na zingine ni kinyume
Ukifuatilia kwa ukaribu uchaguzi wa Marekani una matokeo makubwa matatu
Urais ni Biden
Senate itabaki kwa GOP
House itabaki kwa Dems
Chaguzi zote zimefanyika na kura kuhesabiwa kwa haki na uwazi ndiyo maana kuna tofauti hiyo.
Haya yanawezekana kwasababu uchaguzi wa Marekani si mali ya mtu au watu au kundi la watu.
Si mali ya GOP au Dems, ni mali ya wananchi. Hakuna mamlaka juu ya kura za watu.
Hatukuona mabomu, virungu au FBI wakibeba maboksi.
Hatukuona wagombea wakitiwa ndani ili kupisha hujuma zinazoratibiwa na vyombo vile vile vinavyopaswa kutoa haki na kusimamia haki.
Hoja hapa si personality, ni mifumo na kwamba wenzetu mifumo yao inaruhusu kujitawala kwa maana kwamba wananchi ndio wenye mamlaka.
Hii ni tofauti na nchi zinazoendelea ambako uchaguzi ni njia ya kujenga uhalali si mchakato wa kupata uhalali.
Hapa ni kuwa kwa nchi za kiafrika '' the end justifies the means''.
Kwa tulichokiona Marekani ni ''legitimacy derived from institutional procedure''
Ni kwa msingi huo Mag3 anasema kuna uchaguzi kama tulioona , halafu kuna vitu vingine vinavyofanana na uchaguzi yeye akiita uchafuzi
Na kiongozi akitoa tuhuma nzito kama wizi wa kura anahatarisha amani.Chadema wanasema uchaguzi wa Tanzania ni uchafuzi lakini hawana evidence ya kile wanachosema. Walishika kura na Zito Kabwe (kibaraka) akawa anatembea nazo mitaani na kuonyesha kila alikokuwa anakwenda lakini hana ushahidi wowote ule usiotia shaka wapi alizipata. Ukishika mali ya wizi unamkamata mwizi kama unaweza na kumpeleka polisi.
Kama video ya simu ni ushahidi jeshi la Polisi lingeshamuondoa OCD wa HaiSiku hizi unaweza kuchukua video kutoka simu yako ya mkononi na ku-present as evidence, ameshindwa kufanya hivyo. Then unaambiwa Halima Mndee wameshika kura kwenye bag na kuamua kuzichoma. Kwanini wasimshike mwenye bag na kumpeleka polisi?
Yeah! pesa za walipa kodi zinaliwa na wengi tu! hili nalo ni la kuzungumzia? Twende zetu kwenye V8 ya viyoyoziUjinga mtupu wa kulalamika na kula pesa za walipa kodi bila kunawa mikono.
Tuna miaka 60 ya Uhuru, muda kama Marekani lilikuwa limeshapiga hatua kubwa sana.BTW demokrasia ya USA ni more than 300 years huwezi ukalinganisha na Tanzania ya miaka 60 then kuna vibaraka ambao wanataka kujitajirisha kwa njia chafu.
Vyama vya upinzani Tanzania vina safari ndefu kwa sababu ya tamaa ya madaraka.
Tuchunguze tuhuma anazotoa Kibaraka Zito Kabwe, labda wewe humfahamu Zito, kwa sisi ambao tunamfahamu wala hatubabaishi. Ni tapeli wa kutupwa awaambie sasa wajinga wenzake daily maverick et al wamsaidie msaliti mkubwa. Ndiye huyu huyu alisema JPM yuko Germany hoi na amekufa. Kama unamwamini sana Mwajiri akufanyie kazi Watanzania wamesema No! Ni huyu huyu Zito ambaye alilia sana na tukamchangai alipokuwa Kenya na kulialia kwamba kuna watu wanataka kumuua wakati anajiunga JF. Kibaraka mkubwa!Na kiongozi akitoa tuhuma nzito kama wizi wa kura anahatarisha amani.
Ni wajibu wa Polisi kumfungulia mashtaka.
Kila mahali palipokuwa na mabegi ya kura feki hakuna aliyechukuliwa hatua na Polisi.
Lakini pia utampeleka 'mwizi' Polisi ili iweje? Polisi aliyetangaza matokeo kabla ya , OCD Hai unamplekea kesi ya wizi wa kura unategemea nini?
Kura feki zenye mhuri wa NEC zilipatikanaje na kama NEC hawahusiki walipaswa kuchukua hatua dhidi ya waliotoa tuhuma. Yule mwenye karatasi feki ndiye mwenye ushahidi si yule aliye kimya
Kama video ya simu ni ushahidi jeshi la Polisi lingeshamuondoa OCD wa Hai
IGP kasema wanachunguza video wewe unasema video inaweza kuwa ushahidi.!!!!
Yeah! pesa za walipa kodi zinaliwa na wengi tu! hili nalo ni la kuzungumzia? Twende zetu kwenye V8 ya viyoyozi
Tuna miaka 60 ya Uhuru, muda kama Marekani lilikuwa limeshapiga hatua kubwa sana.
Hatukupaswa kuwa hapa, tunafanya kazi kwa template ya wajanja.
Hakuna tunachovumbua hata kimoja, halafu eti tusubiri 300 yrs.
Tuna miaka 30 ya vyama vingi, kila mwaka tumepiga hatua, mwaka huu tumeanza upya.
Vyama vya upinzani havina tatizo, tuna tatizo na mfumo ndiyo maana CCM hawakubali yawepo mabadiliko.
Walikataa katiba yaWarioba kwasababu ingetupa tupa tume huru ya uchaguzi.
Mwenyekiti wa tume mstaafu mh Lubuva alisema tunahitaji tume huru.
Lubuva aliyesema hayo siku anastaafu kwasababu alimalizika muda wake.
Tume ya uchaguzi ambayo mwenyekiti wake Marehemu aligombea CCM!
Hatuhitaji miaka 300 kufikia Marekani.Ghana na Botwasana wanafanya chaguzi zao hadi unapata raha na ni template ya Afrika.Habari zao ni za kujivunia
Kwa hili la miaka 300 ni ujinga tu, tuna template kutoka kwingine ikiwemo Ghana.
Tatizo la nchi masikini na hasa Afrika, viongozi hawazijengi nchi zao kimifumo, wanajenga himaya zao.
Viongozi wa Afrika hawajali Taifa likauwaje kesho wanajali wanatawala vipi leo.
South Korea tulikuwa kundi moja, nchi masikini mwaka 1960, Korea ni first world. Hawakusubiri miaka 300
Mkutano wa nchi za kundi la 77 uliwahi kufanya Tanzania - Arusha.
China ilikuwepo leo ni second economy hawakusubiri upuuzi wa miaka 300
Wakati unataka tusubiri miaka 300 kuwa kama Marekani halafu tunaambiwa baada ya miaka 5 nchi itakuwa kama Ulaya. Hivi tunahitaji miaka 300 ya kusimamia uchaguzi !?
Mimi nakushauri tuangalie uchaguzi wa Marekani! huko ndiko kwenye uchaguzi
Umewahi kuwa msimamizi wa uchaguzi wa Tanzania au USA? Je, unaweza kutoa mapungufu ya chaguzi za Tanzania na za USA au nchi nyingine yeyote ambayo wewe umeshiriki? Je, umetumia vigezo vipi? kama hujawa Returning officer, poll clerk au Count clerk kwenye chaguzi unawezaje kusema hayo unayosema?Wacha1
Sina uhakika kama tupo katika 'same page'' kuhusu hoja ya Mag3
Tunaongelea uchaguzi wa Marekani na jinsi ambavyo taasisi za nchi hiyo zilivyosimama imara katika kulinda masilahi mapana ya Demokrasia ya nchi yao.
Mfano, Trump kwa kutumia mamlaka yake alimteua mtu alichangisha pesa zake kuua shirika la Posta.
Kila state ina utaratibu wake wa uchaguzi na hivyo taratibu nyingine mbadala zilifuatwa.
Pamoja na hayo Mahakama kama Taasisi nyeti ililazimisha shirika la Post lihakikishe masanduku yanafika kwa wakati
Wakati huo huo postmaster general aliitwa na kamati ya Bunge chini ya kiapo na kuahidi kufanikisha uchaguzi
Rais Trump alitaka uchaguzi wa 'vote by mail'' ufutwe kabisa. Taasisi zikamwambia hiyo si kazi ya Rais
Juzi Jumatano , Rais Trump alikuwa na maongezi na Gavana wa Arizona na Georgia kuwashawishi. Walikataa
Hiyo ni mifano tu lakini uharibifu ni mkubwa sana hasa katika taasisi kama DOJ. Hata hvyo uimara wa Taasisi hizo bado upo licha ya uharibifu. Majuzi wakati Trump anashangilia Bus la Biden kuzingirwa na wahuni wake, FBI wamefungua uchunguzi bila kujali ukubwa wa Rais.
Miaka 4 iliyopita kulikuwa na maandamano ya kumpinga Trump.
Wote walioandamana waliambiwa hawana haki ya kumuondoa Trump, wasubiri miaka 4.
Miaka 4 baadaye wale wale walionyimwa haki sasa wanapewa haki ndiyo shamra shamra tunazoziona
Rais Trump alisema kulikuwa na 'fraud' katika kura za 2016 ndiyo maana Hillary alishinda kwa popular vote
Trump aliunda tume ambayo baada ya kuchunguza ilibaini hakuna tatizo na hivyo alishindwa kufanya lolote
Marekani kuna kamisheni ya uchaguzi, hata hivyo shughuli za uchaguzi zinaratibiwa katika ngazi za vitongoji ,miji, majiji n.k. kwa kufuata sheria za state husika.
Mfano, kuna state zina vote kwa mail tu hakuna kituo cha uchaguzi.
Kuna state zinaanza kuhesabu kura za posta kwanza, halafu za watu waliopiga na zingine ni kinyume
Ukifuatilia kwa ukaribu uchaguzi wa Marekani una matokeo makubwa matatu
Urais ni Biden
Senate itabaki kwa GOP
House itabaki kwa Dems
Chaguzi zote zimefanyika na kura kuhesabiwa kwa haki na uwazi ndiyo maana kuna tofauti hiyo.
Haya yanawezekana kwasababu uchaguzi wa Marekani si mali ya mtu au watu au kundi la watu.
Si mali ya GOP au Dems, ni mali ya wananchi. Hakuna mamlaka juu ya kura za watu.
Hatukuona mabomu, virungu au FBI wakibeba maboksi.
Hatukuona wagombea wakitiwa ndani ili kupisha hujuma zinazoratibiwa na vyombo vile vile vinavyopaswa kutoa haki na kusimamia haki.
Hoja hapa si personality, ni mifumo na kwamba wenzetu mifumo yao inaruhusu kujitawala kwa maana kwamba wananchi ndio wenye mamlaka.
Hii ni tofauti na nchi zinazoendelea ambako uchaguzi ni njia ya kujenga uhalali si mchakato wa kupata uhalali.
Hapa ni kuwa kwa nchi za kiafrika '' the end justifies the means''.
Kwa tulichokiona Marekani ni ''legitimacy derived from institutional procedure''
Ni kwa msingi huo Mag3 anasema kuna uchaguzi kama tulioona , halafu kuna vitu vingine vinavyofanana na uchaguzi yeye akiita uchafuzi
Uzi huu ni wa uchaguzi wa Marekani. Hatujataja watu wa Tanzania na si kawaida yetu kujadili personality.Tuchunguze tuhuma anazotoa Kibaraka Zito Kabwe, labda wewe humfahamu Zito, kwa sisi ambao tunamfahamu wala hatubabaishi. Ni tapeli wa kutupwa awaambie sasa wajinga wenzake daily maverick et al wamsaidie msaliti mkubwa. Ndiye huyu huyu alisema JPM yuko Germany hoi na amekufa. Kama unamwamini sana Mwajiri akufanyie kazi Watanzania wamesema No! Ni huyu huyu Zito ambaye alilia sana na tukamchangai alipokuwa Kenya na kulialia kwamba kuna watu wanataka kumuua wakati anajiunga JF. Kibaraka mkubwa!
Kwa hiyo siku zote ni Chadema pekee ambao wanaibiwa kura? Wacheni kuchekesha watu JPM kapiga kazi hadi mabeberu wanaweweseka. Wale ambao walifikiri Tanzania ni shamba la bibi no more.
Mbowe aka Mlevi wa konyagi kawa mbunge kwa miaka mingapi Hai? Je, amefanya nini kwenye jimbo lake ambalo hata kidogo tu anaweza kujivunia? Zero sasa hapo unataka wamchague tena? watanzania sio wajinga! JPM alifanya kampeni na kuweka wazi kwamba kama wanahitaji maendeleo lazima wachague wawakilishi wa CCM na wananchi wameona kwa vitendo kazi iliyofanyika kwa miaka 5 sasa hapo unataka ushahidi gani?
BTW hamia USA kama unawapenda sana maana sisi na Tanzania yetu damu damu. Its a free world out there to be explored.
BTW unaongelea Botswana na nchi gani vile West Africa. I am sorry usilinganishe Tanzania na nchi zingine, Botswana kwa Tanzania ni kama mkoa moja tu. Kuna miji 2 au mitatu tu. Francis Town, Gaberone na mji moja mpakani na South Africa.
USA maendeleo yao ni kwa sababu ya kuwa na cheap labour mwanzoni (Kutegemea watumwa) na kuzikamua nchi masikini kwenye exchange rate mechanism. Hilo jambo hadi leo wanaliendeleza ndio sababu Wazungu wanaichukia sana Tanzania kwa sababu wanafahamu muziki wetu. Hizi hatua ambazo JPM anafanya hadi sasa zinawashitua na Watanzania kuwa watumwa kwenye nchi yao itakuwa mwisho na mwiko.
Unapoongelea China watu kama Zito, Tundu Lisu wangenyongwa hiyo ni fact sasa hapa kwetu si wanapeta. Kama unaona China wamefanya hivyo na wako hatua kubwa kwa nini JPM akifanya hivyo unalalamika? Maendeleo hayaji kwa kubembelezana, chunguza hao wezi ambao unawatetea utagundua ufedhuli wao.
Well, Marekani ilikomesha biashara ya utumwa karne nyingi tu. Ni Taifa la kwanza kuwa na Teknolojia za viwanda 'industrial revolution''. Ndio wagunduzi wa mitambo na hata hii JF ni kazi yao kupitia satelite.Sijasema usubiri miaka mia tatu nimesema Demokrasia iliyopo USA ni takriban 300 years ya kuwanyonya watu masikini na kuendeleza biashara ya utumwa. Sipo impressed na utajiri ambao umepatikana kwa dhuluma ya utumwa, na kunyonya nchi masikini za Afrika then kujisifia ati mmeendela ni ujuha na upumbavu wa kiwango cha lami. Hatua ambayo Tanzania inapiga ni kutokana na juhudi za wananchi wenyewe bila kunyonya na kufyonza kama mrija.
Hapana sijawahi hata siku moja.Umewahi kuwa msimamizi wa uchaguzi wa Tanzania au USA?
Ninaweza kutoa mapungufu ya uchaguzi, siwezi kutoa mapungufu ya uchaguzi na kitu kingineJe, unaweza kutoa mapungufu ya chaguzi za Tanzania na za USA au nchi nyingine yeyote ambayo wewe umeshiriki?
Kigezo ni kimoja, kuna mahali wanafanya uchaguzi. Kuna sehemu nyingine wana taratibu zinazofanana na uchaguzi.Je, umetumia vigezo vipi?
Hao ninawaona huko Marekani na UK. Hapa Afrika nimewaona Ghana , Kenya na South Afrika.kama hujawa Returning officer, poll clerk au Count clerk kwenye chaguzi unawezaje kusema hayo unayosema?
Vipi tofauti ya Tanzania 60 yrs na Kenya appr. 60yrsKwanza kabisa unaona tofauti iliyopo baina ya Tanzania 60yrs old na USA more than 300yrs.
Marekani haiwezi kuonea wivu Tanzania. Uchumi wa California ni moja katika ya chumi kubwa duniani.Then unaangalia tulipotoka na pale tunapotaka kwenda then unaaangalia taifa kubwa lenye uwezo mkubwa kama USA kulionea wivu taifa kama Tanzania?
Eeeh!I hope we are in the same page hususan ukiangalia mchango wa taifa dogo la miaka 60 jinsi lilivyokomboa Nchi zote za Southern Afrika na USA ambayo ndio inayadhulumu mataifa madogo kwa uonezi. Au tusema USA ni mshiriki mkubwa wa Belgium ambayo ni dhulumaji mkubwa wa utajiri wa Congo na USA ndio wafaidika wakubwa.
Mkuu Nguruvi3, unajadiliana na watu wajinga sijawahi kuona. Eti Tanzania iko kwenye vita ya uchumi...adui wanayepigana naye eti ni Marekani! Huu uchaguzi wa Marekani umeiacha uchi Tanzania kama nchi iliyojaa wanafiki na wajinga wengi labda kuliko taifa lolote lile duniani. Fikiria bado wanaoamini upuuzi wanaousoma mtandaoni kwamba Trump bado ana chake nchini humo...yaani huyo tapeli atikise misingi imara ya miaka zaidi ya mia tatu! Watu walikimbia nchi zao na kuhamia Marekani kuzikataa tawala za kifashisti na kifalme halafu leo atokee mhuni moja aliye-fluke uongozi awarudishe huko...acheni utani jamani!Marekani haiwezi kuonea wivu Tanzania. Uchumi wa California ni moja katika ya chumi kubwa duniani.
Meya wa New York anaendesha uchumi mkubwa kuliko wa Tanzania.
Jimbo la Texas linalingana na ukubwa wa Tanzania na kubwa zaidi kiuchumi.
Marekani haina sababu za kuionea Tanzania hata kwa bahati mbaya. Hakuna na hilo sahau kabisa.
Mkuu kuna kitu unakielewa '' social responsibility '' si kwa mantiki halisi lakini kitu kitu kinachofanana fanana na hicho, unanielewa nadhaniMkuu Nguruvi3, unajadiliana na watu wajinga sijawahi kuona.
Yeah! na wanaamini kwa dhati kabisa kuna vita ya uchumi kati ya US na Tanzania!Eti Tanzania iko kwenye vita ya uchumi...adui wanayepigana naye eti ni Marekani!
Department of Homeland Security(DHS) wanasema uchaguzi wa 2020 ulikuwa the most secured in American History.Huu uchaguzi wa Marekani umeiacha uchi Tanzania kama nchi iliyojaa wanafiki na wajinga wengi labda kuliko taifa lolote lile duniani. Fikiria bado wanaoamini upuuzi wanaousoma mtandaoni kwamba Trump bado ana chake nchini humo...yaani huyo tapeli atikise misingi imara ya miaka zaidi ya mia tatu! Watu walikimbia nchi zao na kuhamia Marekani kuzikataa tawala za kifashisti na kifalme halafu leo atokee mhuni moja aliye-fluke uongozi awarudishe huko...acheni utani jamani!
Highlighted basic things, utumwa USA haukutokomea karne nyingi kama unavyodai. USA wamekuwa ndio wezi wakubwa wa kisasa kuanzia rasilimali na kuua raia wengi wasio na hatia. Mfano jinsi walivyoshirikiana na Belgium kuitokomeza Congo (Zaire) na rasilimali zake.Well, Marekani ilikomesha biashara ya utumwa karne nyingi tu. Ni Taifa la kwanza kuwa na Teknolojia za viwanda 'industrial revolution''. Ndio wagunduzi wa mitambo na hata hii JF ni kazi yao kupitia satelite.
Kama walivyogundua vitu vingi duniani , leo tena wana ugunduzi wa chanjo ya COVID-19
US ni next level
Lakini basi tujiulize, kwanini sisi tupo nchi masikini sana duniani miaka 60 baada ya Uhuru na chini ya CCM?
Kwanini si Kenya, majirani zetu? Tujiulize kwanini Korea kusini tuliokuwa nao miaka ya 60 si wenzetu tena?
Kwanini Botswana si katika kundi letu?
Haya ndiyo maswali unayotakiwa uyajue na ujiulize mbele ya keyboard kabla ya' rant'
Hao akina Zitto hawajawahi kutawala leo unawabebeshaje zigo la Umasikini la miaka 60 ya CCM?
Kama wanafanya hivyo ni kwa msaada wa Waafrika. Mobutu alimuua LumumbaHighlighted basic things, utumwa USA haukutokomea karne nyingi kama unavyodai. USA wamekuwa ndio wezi wakubwa wa kisasa kuanzia rasilimali na kuua raia wengi wasio na hatia. Mfano jinsi walivyoshirikiana na Belgium kuitokomeza Congo (Zaire) na rasilimali zake.
Hatujui kama ni tatizo au la, hatuna takwimu wala hatujui nini kinaendelea. Tuendelee na maisha ya nchi masikiniCovid-19 ipo USA sio tatizo la Tanzania.
Magonjwa mbali mbali ni yapi? Covid ni Pandemic na wala haukuanzia Magharibi. Yapi mengine unayoongelea?Nchi kubwa ambayo inaeneza magonjwa mbali mbali na baadaye inajisifia kupata chanjo ni ya ajabu na aibu.
Exchange rate inawahusu wao na wenye chumi zinazofungamana. Sisi Tanzania uchumi wetu upo tu haufungamani na uchumi wowote kwa maana kwamba uchumi wetu ukianguka huko dunia hawajui kimetokea nini. South Africa wanaweza kunena wakasikilizwa, si TanzaniaKama USA pamoja na washirika wao hawazionei nchi changa kwa nini wanang'ang'ania ''Exchange Rate Mechanism'' (ERM) ambayo inawapendelea?
Kuna sababu za kufanya hivyo! Trump ana malalamiko ya kuibwa kura hana ushahidi, sasa hivi anatufuta kitu chochote cha kuthibitisha madai yake. Kwa namba zilivyo hakuna kitakachobadilika.
Katika mazingira ya kawaida Trump alitakiwa kufanya transition na kumwezesha Biden kuanza kuunda serikali.
Madai ya kwamba uchaguzi umeibwa si mageni. Mwaka 2016 alikuwa na madai kama hayo kabla ya uchaguzi.
Na ndivyo pia kwa Team Biden: "Whatever happens, do not concede", alisikika Mdemokrati mwandamizi akimwambia Biden.Kama ilivyokuwa 2016, mwaka 2020 amekataa kusema tayakubali matokeo.
Maswali ya kujiuliza, Rais Trump ndiye mwenye vyombo vya usalama ikiwemo DOJ.
Kwanini basi hachukui hatua dhidi ya taarifa zozote za uhalifu? Hakuna aliykamatwa au kushtakiwa
...
Pili, ni wapi kumekuwa na fraud kubwa ya kuweza kubadili matokeo ya uchaguzi?
Jumla ya kura zilizomwingiza WH 2016 ni chini ya 80,000. Jumla ya kura alizoshindwa Michigani pekee ni 100K+.
Tatu, Kama kuna fraud kwanini iwe katika urais na si useneta au uwakilishi? Katika senate bado Republican wanaongoza, na katika House Dems wanaongoza ingawa wampoteza viti. Kwanini huko hakuna fraud?
Trump anaipeleka Marekani katika level ya chini sana.
Hii ni kwa mambo mengi tu, kuanzia norms and tradition hadi sheria.
Masikini Mlenge, nilitaka sana kujibu hoja zako lakini nimeshindwa kwani ni hoja za nguvu mno. Kuzijibu kunahitaji ujasiri usio wa kawaida ambao kusema kweli sina.Kwa sisi wapenzi watazamaji tusio na upande wowote, senema ya uchaguzi huu wa Marekani imefikia patamu: Stelingi wala Kubwa la Maadui hawajulikani nani ni nani.