Benaire
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 1,962
- 312
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).
Nape huwa sina shida na wewe....kwa sababu wewe hufanya siasa....na wala hutumii uovu kufanya siasa!
Big up mwana jimbo la ubungo mwenzangu but different political colors.