Nguruvi3,
Kwa kiasi fulani nakubaliana nawe kwamba low turn out might be in favour of chadema lakini kuna maangalizo muhimu:Kwanza, as we speak, sehemu nyingi in the electorate (kama mikoa, sio miji) ni aidha green column au too close to call; na kwa dynamics zilivyo, katika maeneo mengi, a low turn out itakuwa ni ushindi kwa ccm kuliko chadema, na hii itachangiwa na hoja yangu ya pili kwamba ccm is in a better position kuhakikishia wapiga kura wao ulinzi hivyo kuwahamasisha wajitokeze kwa wingi 2015; unless chadema nao kupitia mfumo wao mpya wa ulinzi they manage to gain that trust ya umma, otherwise low turn out katika most of the voting areas itakuwa ni ushindi kwa ccm in my humble view;
Chadema wanaweza to put up a good fight at the ballot box iwapo watafanya haya matatu kwa pamoja tena kwa UFANISI wa hali ya juu: Kwanza, kuhamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi kwenda kupiga kura; Pili, Kuhakikishia wapiga kura wao usalama (aidha kupitia polisi au utaratibu utakaokubalika) kwa siku kadhaa kabla ya uchaguzi lakini muhimu zaidi, siku ya uchaguzi wanapotoka kwenye makazi yao kwenda kupiga kura na kurudi; na tatu ndio lije suala la kulinda masanduku ya kura; Vinginevyo bila ya kuhakikishia wapiga kura wao usalama, low turn out will prevail na wengi wa hawa itakuwa ni wale watakao hisi usalama wao upo, na wengi ya hawa watakuwa ni wana ccm, hence kuipa ccm ushindi kwa low turn out advantage;
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums