Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Kichwa cha habari chajieleza.
Ukweli ni kuwa hakuna tutachoambulia zaidi ya wabunge viti maalumu wapatao 19.
Kubaki tunapiga kelele kuwa uchaguzi ulivurugwa haiwezi kutusaidia.
Kilichobaki tujitathimini tutaweza kusimama tena?
Nani alisababisha tukapoteza nanma hii? Atupishe haijalishi kama ni Mbowe au nani.
Huu ni ujumbe mujarabu kwa chama changu CHADEMA.
Ukweli ni kuwa hakuna tutachoambulia zaidi ya wabunge viti maalumu wapatao 19.
Kubaki tunapiga kelele kuwa uchaguzi ulivurugwa haiwezi kutusaidia.
Kilichobaki tujitathimini tutaweza kusimama tena?
Nani alisababisha tukapoteza nanma hii? Atupishe haijalishi kama ni Mbowe au nani.
Huu ni ujumbe mujarabu kwa chama changu CHADEMA.