Watanzania wengi wenye msimamo wa dhati na amabao si wachagga hawaitaki chadema.
Kumbuka hilo.
Kanisa katoliki bado hatujalisikia likisema "chaguo la Mungu" safari hii ni nani?
Makulio hebu tuambie sasa hii 'movement' inamanufaa gani kwa mtanzania bila kuwa na sera ? Wakishaiondoa hio CCM then what? au ndio hapo wataanza kuulizana kuhusu sera? Wakati huo Lowasa ameshakua Rais, Amiri Kuu wa Jeshi n.k. TOO POWERFUL TO LISTEN TO ANYBODY.
Watanzania wengi wenye msimamo wa dhati na amabao si wachagga hawaitaki chadema.
Kumbuka hilo.
Kanisa katoliki bado hatujalisikia likisema "chaguo la Mungu" safari hii ni nani?
Mm nasema watu wa kusini watapigia kura za hasira kwenda ukawa jinsi walivyo pigwa mabomu na viboko na ccm juu ya gesi kwenda bagamoyo,machinga kibao watapigia ukawa kutokana na ccm kuwanyang'anya Mali zao na kupigwa sana ,wafanyabiashara nao wamenyanyasika sana na madereva wote watapigia ukawa mwaka huu maana wamenyanyasika sana na ccm sasa ni muda mwafaka wa kulipa kisasi kwa ccm hakuna kuwachagua ccm, vipi walimu bado hawajitambui ?kama wamejitambua hawata chagua ccm kamwe?mwaka huu maana wamedanganywa sana. Vipi wazee wastaafu wa africa mashariki mtachagua ccm tena vipi pesa yenu mmelipwa? Chagueni ukawa ,vipi wakulima wa korosho mtachagua ccm maana mlizurumiwa korosho zenu?sasa ndo pakulipa kisasi msichague ccm kabisa mwaka huu,vipi wakulima wa mahindi mmelipwa pesa zenu?kama hamjalipwa sasa lipeni kisasi msichague.Huko mpanda,ruvuma,mbeya tafadhali tusichague ccm pamoja na iringa.umaskini
Unamuonea Askofu Malasusa, aliyetoa kauli hiyo ni Askofu Methodius Kilaini wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam. Wakati huo Malasusa wala hajulikani wala hakuna Askofu Mkuu wa KKKT.Aliyetoa kauli ya chaguo la Mungu halikuwa kanisa Katoliki. Alikuwa ni Malasusa ambaye tumefahamu baadaye alipewa hela na Kikwete.
wakati unazaliwa lazima ulitanguliza miguu na ulipokuwa mkuba ulichungulia wazazi wako ndio maana huna adabu mkabila na mdini mkubwa sheitwan wa mguu mmoja wewe
Ukawa walifikiri wantengeneza kumbe wanamboa.
Slaa yuko wapi?
Lipumba yuko wapi?
Asante kwa sahihisho. Ni Kilaini, rafiki ya Kikwete. Aliyepokea mshiko kutoka kwa Kikwete.Unamuonea Askofu Malasusa, aliyetoa kauli hiyo ni Askofu Methodius Kilaini wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam. Wakati huo Malasusa wala hajulikani wala hakuna Askofu Mkuu wa KKKT.
Utasubiri sana.
Watanzania wengi wenye msimamo wa dhati na amabao si wachagga hawaitaki chadema.
Kumbuka hilo.
Kanisa katoliki bado hatujalisikia likisema "chaguo la Mungu" safari hii ni nani?
Watanzania wengi wenye msimamo wa dhati na amabao si wachagga hawaitaki chadema.
Kumbuka hilo.
Kanisa katoliki bado hatujalisikia likisema "chaguo la Mungu" safari hii ni nani?
Uongo wako hauna mashiko kabisa yani kitu kilikua live bila chenga jiandae kisaikolojia.Makulilo, uko marekani hapa hamna kitu, picha unazoziona ITV ni za kutengeneza, wanachukua taarifa za matukio ya nyuma na kuzifanya zimetokea leo, wanatengeneza picha kama filamu za kanumba.