Naona unajaribu kuzuia gharika kwa mikono,
Unachotakiwa kujua watu walikuwa hawapigi kura,uchaguzi huu vijana ndo waliopiga kura,sasa basi jua kwamba vijana wameridhia kujiandikisha na kupiga kura mkuu.
Pia jua kabisa utaratibu wa BVR utaleta matatizo mengi sn..ni heli tutumie mfumo wa zamani katika hali ya usahihi kabisa.
gharika la mitandaoni kwa CHAMDOMO ni kawaida, tumewazoea