Uchaguzi ndani ya CHADEMA lini?

Uchaguzi ndani ya CHADEMA lini?

We Ritz-a.k.a Ridhiwan,Unashadadia yasiyokuhusu Baba yako tangu ameingia madarakani amesafiri nje ya nchi mara ngapi?anaenda kufanya nini mbona safari zake hazina tija kwa taifa?Naomba mungu huyu mzee 2015 ifike haraka aondoke maana hakuna anachokifanya,tutamjengea nyumba Air port.
 
Wadau katika hali isiyo ya kawaida leo nikiwa naenda Ibadani nimeonana na Mzee Ndesambulo.

Alikuwa akiongea na mzee Mmoja ambaye simjui. Alipo ulizwa na yule bwana amepokeaje kauli ya Slaa juu ya uchaguzi kutofanyika, amesema tunafkiri uchaguzi ufanyike 2015 kwa kuwa viongozi hawa bado wanamoyo wa kufanya kazi. Tukifanya uchaguzi tutavurugana.
 
tatzo la cdm ni moja tu,inaongozwa na mbowe na mkwe wako,kila ciku wana ahirisha uchaguz,na lengo ni kumbakiza mbowe kweny uenyekiti,nawaonea huruma sna hao wengne ni sawa na msafar wa kenge kwnye mamba,watakimbia kivuli cha zitto cijui mpaka lin
 
Ben Saanane, Makene na wengine mlio jikoni hebu wekeni kumbukumbu sawa
 
Tumaini Makene ebu tufafanulie,,maana kama hii habari ni kweli bas kuna tatizo kubwa sana uko zaidi ya CCM...hivi uchaguzi wa mwisho chadema ulifanyika lini??
 
Last edited by a moderator:
3d za hivi zinaharibu sana hadhi ya jf.Ndesa ni nani cdm? kina mnyika si wapo? ya nini kuokoteza maneno ya uongo mtaani?
 
Mods,toeni huu utumbo wa post.la sivyo mpostiaji atuthibitishie madai yake.hiki si kijiwe cha wanywa viroba bana au fb.
 
Tumaini Makene ebu tufafanulie,,maana kama hii habari ni kweli bas kuna tatizo kubwa sana uko zaidi ya CCM...hivi uchaguzi wa mwisho chadema ulifanyika lini??

Halafu kinachochekesha zaidi mnaolalamika ni magamba, sie Chadema, tulii!!!
 
Last edited by a moderator:
kwani katiba inasemaje kwa nini tuhangaikie katiba ya nchi wakati hizi za vyama tu hazifuatwi?
 
Halafu kinachochekesha zaidi mnaolalamika ni magamba, sie Chadema, tulii!!!
teh teh teh teh. . . . . .hv km timu inafanya vizuri kwenye dimba, unataka kuibadilisha ili iweje, halafu wanaotaka ibadilike ni wapinzani wako! teh teh teh teh. . . . . .
 
Baba mkwe wa Mbowe akisema ufanyike leo hii utafanyika na akisema usifanyike haufanyiki.
 
Kitu ambacho sikielewi ni kwanini wanaccm wanashinikiza sana uchaguzi ufanyike CHADEMA? is there something fishy going on?
 
Tumaini Makene ebu tufafanulie,,maana kama hii habari ni kweli bas kuna tatizo kubwa sana uko zaidi ya CCM...hivi uchaguzi wa mwisho chadema ulifanyika lini??

Bahati mbaya sana wanaotaka uchaguzi wa chadema ufanyike siyo wanachadema, bali CCM ndiyo wanalazimisha CHADEMA wafanye uchaguzi.

CHADEMA wapo makini kuliko hao wanaolazimisha uchaguzi ufanyike.

Hiki chama hakiendeshwi kwa hisia za washenzi na wapumbavu, bali kwa maslahi ya umma wa nchi hii.
 
Halafu kinachochekesha zaidi mnaolalamika ni magamba, sie Chadema, tulii!!!


watu wa chadema mnapenda mpaka mnakuwa vipofu,,,,yani mimi kuuliza maswala ya msingi nimeshakuwa gamba???
aya nyie endeleeni kuwapigia makofi kwa kila kitu.
 
Pilipili usio ila! Wanataka watumie uchaguzi kuingiza chochoko zao. Ya ngoswe mwachieni ngoswe.
 
Wadau katika hali isiyo ya kawaida leo nikiwa naenda Ibadani nimeonana na Mzee Ndesambulo.

Alikuwa akiongea na mzee Mmoja ambaye simjui. Alipo ulizwa na yule bwana amepokeaje kauli ya Slaa juu ya uchaguzi kutofanyika, amesema tunafkiri uchaguzi ufanyike 2015 kwa kuwa viongozi hawa bado wanamoyo wa kufanya kazi. Tukifanya uchaguzi tutavurugana.

very good ideas!
 
Back
Top Bottom