sunguti2009
R I P
- Aug 6, 2013
- 90
- 32
We Ritz-a.k.a Ridhiwan,Unashadadia yasiyokuhusu Baba yako tangu ameingia madarakani amesafiri nje ya nchi mara ngapi?anaenda kufanya nini mbona safari zake hazina tija kwa taifa?Naomba mungu huyu mzee 2015 ifike haraka aondoke maana hakuna anachokifanya,tutamjengea nyumba Air port.