mwangukule
Senior Member
- Aug 15, 2013
- 131
- 7
Baki CCM!... Kila miaka miwili katibu mkuu mpya![/C][na ndio demokrasia coz hii tanzania sio moroko]
Baki CCM!... Kila miaka miwili katibu mkuu mpya![/C][na ndio demokrasia coz hii tanzania sio moroko]
Wanapiga kelele kumbe kibanda kinawaka moto?!
Baki CCM!... Kila miaka miwili katibu mkuu mpya![/C][na ndio demokrasia coz hii tanzania sio moroko]
Hahaha hahaha tena ccm sio uchaguzi ni uteuzi wa kikwete. .Hahaha
wana jf
mwanzoni mwa mwaka huu kulikuwa na tetesi kwamba uchaguzi wa ndani wa
viongozi wa chadema utafanyika kuanzia mwezi wa nne 2013, cha ajabu hivi
sasa ni mwisho wa june lakini kimya na hakuna kinachoendelea.
Demokrasia iko wapi ndani ya chadema??? kuna rafiki yangu nlikuwa
naongea naye kuhusu hili akasema uchaguzi wa nini wakati viongozi wapo??
je hilo jibu ni sahihi kwamba mfumo wa kifalme umerudi Tanzania?
Tumezoea kumsikia Augostino Lyatonga Mrema akiwa mwenyekiti wa TLP tangu
ahamie chama hicho miaka zaidi ya 15, John cheyo wa UDP na Prof Lipumba
ni mwenyekiti wa kudumu wa CUF.
Je hivi vyama ni wale wale??
Chadema kufanya uchaguzi wa ndani ya chama baada ya 2015
Uchaguzi ni mpka pale mzee Mtei na Mbowe watakapoamua...Hivi kwa mujibu wa katiba yao wanatakiwa wafanye uchaguzi lini? Kamanda Molemo Kamanda Mwita Maranya uchaguzi ndani ya chama ni lini nataka nami nirushe karata yangu kwenye moja ya kata hapa Dar.
Mnataka wajikusanye wote hasa wale wanaowakosesha usingizi, ili muwatupia bomu?
hee hawa jamaa wanafanya TAMBIKO nini?Huu hapa ulikuwa wa haki?
View attachment 99863
Mi muuwaji wa Tembo wetu na mfadhili wa Alshabab. Lakini cha ajabu bado sisi ni bora ni Katibu wa Magamba. Kinana Rudi Kwenu Somalia
Mi muuwaji wa Tembo wetu na mfadhili wa Alshabab. Lakini cha ajabu bado sisi ni bora ni Katibu wa Magamba. Kinana Rudi Kwenu Somalia