anderson rweyemamu
Member
- Sep 19, 2013
- 57
- 8
Mi nasema nyie watoto wa lumumba mnamatatizo!
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
chama cha kidicteta, kikabila, kikanda na kidini hakiwezi kufanya uchaguzi wa kidemokrasia. wanasubiri tu 2015
Hawa wanateuana tu hakunaga uchaguzi
matarajaio yenu ni kuona uchaguzi ukifanyika na wale viongozi wote wanaitoa jasho ccm hawachaguliwi, uchaguzi upo na muda utafika, chama hakiwahusu kelele lundo nyie watu mna matatizo sana eeeh
Democracy inaanza nyumbani, Democracy is respected choice through ballot na walio wengi ndio wanapewa haki. Nyinyi mnataka nchi iwe na democracy / uchaguzi , muwe na haki ya kuandamana lakini wale ndugu zetu wa moshi hawataki uchaguzi ndani ya chama wala mtu mwingine yeyote asiye na asili ya kilimanjaro anashika hatamu ya chama. Tujiulize hivi sasa nini kinachoendelea kati ya Dr Slaa na Mbowe ndipo tutapata jibu. Uongozi wa chadema hautavuka familia ya mtei ila kwa mtutu wa wanachama wa mikoa mingine kudai haki yao.
wacha umbulula, chukua historia ya ccm iliongozwa na mtu mmoja kwa miaka mingapi? :A S angry:
mkuu kwanini usitoa hoja ya maana badala ya kutoa matusi?? ccm ni taasisi na imeundwa kisheria na ndio imekabidhiwa dola. unapoitukana ina mana unawatukana watz wote.Ukiwa ccm lazima uwe na kaupungufu ka akili
chadema ni Non Governmental Organisation, kama IPP ndio mana mwenyekiti wake daima ni Reginald Mengi, AZZAM ambayo mkurugenzi wake ni BAKHRESA kwa hiyo ukitaka uchaguzi wa chadema ufanyike ina mana unataka kuua kampuni yetuViongozi wa Chadema ni viongozi wa kudumu wala hawana mpango wa kubadili viongozi.
hujajibu hoja ya msingi kwamba ni lini chadema itafanya uchaguzi wake wa ndani??Mi nasema nyie watoto wa lumumba mnamatatizo!
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Unalalamikia tetesi? Uchaguzi hufanywa kwa mujibu wa katiba na sio tetesi you dope
Viongozi wa Chadema ni viongozi wa kudumu wala hawana mpango wa kubadili viongozi.
Angalia huyu muongo katibu mkuu Dr. Slaa amesema mwenyewe kwenye majibu kuwa hatua ya uchaguzi bado, je hao jimbo la njombe wanatumia katiba ya chama gani?Mbona uchaguzi unaendelea hadi sasa,kwa mfano ktk jimbo la Njombe Kaskazini ngazi ya misingi na matawi tumeshamaliza na kuanzia tarehe 27/09/2013 tunaanza ngazi ya kata na majimbo,kumbuka hizi ngazi za chini za chama zinasimamiwa na kanda na ratiba zinatofautiana kila kanda ,lkn uchaguzi unaendelea sehemu mbalimbali .haya swali lingine