Wacha wagombee si ni watanzania na wana haki ya kugombea kama watanzania wengine bora watimize vigezo vinavyotakiwa, acha kuwabania.Yaleyale kama Zanzibar. Kuna kuchaguana basi nchi hii? Mgombea binafsi wa nini wakati huu? Hata kutafuta mchumba tu hauwi mgombea binafsi! Mnataka akina RA, EL, Mzee Mengi, Manji, Mtume na Nabii Mwigira, Kakobe, Sheikh Ponda, Prof Majimarefu, Dr Remmy Ongara, .....wagombee Urais?