GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Wadau niwadokeze tuu mtazamo wangu kama cdm ikishinda igunga kama inavyoelezwa na wadau kuna uwezekano mkubwa wa chama hiki kuchukua dola 2015. Upi mtazamo wenu?
Ni mtazamo finyu sana wa GT km ww, jimbo moja haliwezi ku represent sample ya majibo zaidi ya 290. Na population ya watu igunga ambao ni wapiga kura ambao hawazidi 300,000 haiwezi kuwa sample ya watanzania wapiga kura zaidi ya 15m. Siku nyingine usilete thread km hizi, unatudhalilisha wote humu ndani na kuonekana wajinga kumbe ni sababu ya mtu mmoja tu