Juma Duni Haji adai yeye na Lowassa walishinda Urais 2015

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,769
218,389
Screenshot_2024-02-11-18-42-59-1.png

Hii ni Taarifa ya kikakamavu aliyoitoa alipohojiwa na MwanaHalisi Digital , ikiwa ni sehemu ya Maombolezo ya Kifo cha Edward Lowassa aliyekuwa Mgombea Urais wa UKAWA

=======
Kwenye jambo hili mengi yamesemwa ikiwemo ofisi moja iliyokuwa Masaki ikiongozwa na watu watatu (majina yanahifadhiwa kwa muda hadi tuzike) , iliyotuhumiwa kuchakachua matokeo halali ya uchaguzi na kuweka matokeo ya mchongo ili kumbeba Mgombea wa ccm aliyedaiwa kuangukia pua


 
Ndio binadamu tulivyo mkuu ...
Na atakuwepo mstari wa mbele kbs kumuaga marehemuu
Labda kwakuwa hawakukutana barabarani basi walishayamaliza. Ila alimfanyia mwenzake ubaya na usaliti mkubwa sana!

Umemkata kwenye chama chako, bado amepambana akaaminiwa kwenye chama kingine,bado unaamua kuzizima ndoto zake na wewe umeshatimiza zako.

Nyuma ya kile kicheko kuna roho ngumu sana!
 
View attachment 2900999

Hii ni Taarifa ya kikakamavu aliyoitoa alipohojiwa na MwanaHalisi Digital , ikiwa ni sehemu ya Maombolezo ya Kifo cha Edward Lowassa aliyekuwa Mgombea Urais wa UKAWA
=======
Kwenye jambo hili mengi yamesemwa ikiwemo ofisi moja iliyokuwa Masaki ikiongozwa na watu watatu (majina yanahifadhiwa kwa muda hadi tuzike) , iliyotuhumiwa kuchakachua matokeo halali ya uchaguzi na kuweka matokeo ya mchongo ili kumbeba Mgombea wa ccm aliyedaiwa kuangukia pua
HILI LINAJULIKANA
 

Hili mbona lipo wazi sana?

Ila swahiba wake ana roho ngumu sana, unawezaje kumfanyia ubaya rafiki yako, aliyekusaidia ukatimiza ndoto zako ila wewe unapambana kukatisha zake?

Inajulikana wazi hao shetani waliofanya kazi ya kuchakachua matokeo, ni Januari Makamba na Nape Nnauye; nyuma yao alikuwa Jakaya Kikwete.

Tena waliwafanyia unyama wa hali ya juu ile timu ya Hayati Lowasa iliyokuwa inajumlisha matokeo. Walitumia polisi, wakawanyang'anya computers zao na kwenda kuwarundika mahabusu wakidai hawana mamlaka ya kumjulisha kura alizokuwa amepata Hayati Lowasa RIP.

Hawa ni mashetani, na siku yao itakapofika ya kuondoka Duniani, haya maovu yasikose kutajwa, wasindikizwe nayo.

Tunakuomba Mungu wa huruma umjalie pumziko jema ndugu yetu Edward Lowasa, nao waliodhulumu haki yake, laana ikawe juu yao.
 
View attachment 2900999

Hii ni Taarifa ya kikakamavu aliyoitoa alipohojiwa na MwanaHalisi Digital , ikiwa ni sehemu ya Maombolezo ya Kifo cha Edward Lowassa aliyekuwa Mgombea Urais wa UKAWA
=======
Kwenye jambo hili mengi yamesemwa ikiwemo ofisi moja iliyokuwa Masaki ikiongozwa na watu watatu (majina yanahifadhiwa kwa muda hadi tuzike) , iliyotuhumiwa kuchakachua matokeo halali ya uchaguzi na kuweka matokeo ya mchongo ili kumbeba Mgombea wa ccm aliyedaiwa kuangukia pua
hivi kumbe huyu Mzee ndio alikuga Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi eee🐒

kidogo nimsahau aise,
kitambo sana nilikutanaga nae kwenye daladala Gongolamboto bana dah 🐒

R.I.P Laigwanan comrade EL
 
Hayo hayana uthibitisho ni chai kama zilivyo Chai nyingine, ila hakika ni kuwa kupitia uchaguzi wa 2015 tulishuhudia kupata mmojawapo wa Rais Bora zaidi kuwahi kumpata kwenye historia ya nchi hii tokea uhuru na atasalia kudumu hivyo kwa vizazi vingi vijavyo
 
Inajulikana wazi hao shetani waliofanya kazi ya kuchakachua matokeo, ni Januari Makamba na Nape Nnauye; nyuma yao alikuwa Jakaya Kikwete.

Tena waliwafanyia unyama wa hali ya juu ile timu ya Hayati Lowasa iliyokuwa inajumlisha matokeo. Walitumia polisi, wakawanyang'anya computers zao na kwenda kuwarundika mahabusu wakidai hawana mamlaka ya kumjulisha kura alizokuwa amepata Hayati Lowasa RIP.

Hawa ni mashetani, na siku yao itakapofika ya kuondoka Duniani, haya maovu yasikose kutajwa, wasindikizwe nayo.

Tunakuomba Mungu wa huruma umjalie pumziko jema ndugu yetu Edward Lowasa, nao waliodhulumu haki yake, laana ikawe juu yao.
Amen.
 

Hii ni Taarifa ya kikakamavu aliyoitoa alipohojiwa na MwanaHalisi Digital , ikiwa ni sehemu ya Maombolezo ya Kifo cha Edward Lowassa aliyekuwa Mgombea Urais wa UKAWA

=======
Kwenye jambo hili mengi yamesemwa ikiwemo ofisi moja iliyokuwa Masaki ikiongozwa na watu watatu (majina yanahifadhiwa kwa muda hadi tuzike) , iliyotuhumiwa kuchakachua matokeo halali ya uchaguzi na kuweka matokeo ya mchongo ili kumbeba Mgombea wa ccm aliyedaiwa kuangukia pua

View attachment 2901016
Inaweza kuwa kweli
 
Back
Top Bottom