Chuma Chakavu
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,523
- 653
huna hoja wewe! kazi kuleta viingereza pori na dead english.<br />
<br />
Mkuu usipoteze muda wako kubishana na hawa Endelea na kazi mimi nawatosha tu mkuu.
huna hoja wewe! kazi kuleta viingereza pori na dead english.<br />
<br />
Mkuu usipoteze muda wako kubishana na hawa Endelea na kazi mimi nawatosha tu mkuu.
hiyo hapo mkuumkuu; badala ya kutusaidia, umeongeza utata. Hebu tupatie ukweli kwa vielelezo kama picha n.k. Vielelezo vina nguvu na hukanusha louder than maneno matupu mkuu.
<br />Na haya yote ni matunda ya CCM
Chama cha demokrasia ya maandamano mbona mnapepeta mdomo sana kama mabinti wa saloon! Mda wa kazi huu sio maneno tena,kutabiri mambo kwa kutumia makalio ni ujinga!
<br />We jamaa,umekosa maneno ya kutumia kama mtu ambae yuko fit mentally.Hivi tukisema wewe unatumia masaburi kufikiri,tunakosea? Ustaarabu kitu muhimu.Afu nyie watu mnaotetea magamba humu JF Mna maslahi fulani huko kwa sababu katika hali ya kawaida haiwezekani ukawa mshabiki wa "the Cursed CCM"
The story is purely apocryphal although the booboisie might find it veracious and some of ninnyhammers will even dare to award it many thanks. The reality is CCM have landed Igunga by storm, the crowd was astonishing and jubilant populace waved the party's flags as a clear harbinger of, as usual, a landslide victory.
MkuuMtarajiwa,Taso,
Kuna vitu ukishakuwa kiongozi unapaswa kuvifanya wewe kama wewe na huitaji kupewa msaada na mtu mwingine. Kuna vitu ni aibu sana kupewa msaada kama nchi na kama kiongozi wa nchi, Vinakudhalilisha. Kwa mtazamo wako, ikitokea Mwanamume ana mnunulia CHUPI mkeo utafurahi kwasababu ujatumia pesa yako? What a shame?
The story is purely apocryphal although the booboisie might find it veracious and some of ninnyhammers will even dare to award it many thanks. The reality is CCM have landed Igunga by storm, the crowd was astonishing and jubilant populace waved the party's flags as a clear harbinger of, as usual, a landslide victory.
duu, kijukwaa utadhani ki barn cha kukamulia ng'ombe kilivyoungwa ungwa na waya na vijiti! CHADEMA wakichua nchi hawa kweli wataboresha hii nchi au yatakuwa yale yale? Nawafagilia kwa kwenda mbele lakini sometimes mmmh... reality check hits you hard.Kwa hisani ya MZITO KABWELA
The story is purely apocryphal although the booboisie might find it veracious and some of ninnyhammers will even dare to award it many thanks. The reality is CCM have landed Igunga by storm, the crowd was astonishing and jubilant populace waved the party's flags as a clear harbinger of, as usual, a landslide victory.
Kwa maana hiyo wewe unakubali kuwa CCM wamefanya kazi yao?Wewe zuzu, haya ni matunda ya kodi zetu Watanzania, na hii sio hisani bali ni wajibu wa serikali yoyote ile.