Uchaguzi CUF: Prof. Lipumba ambwaga Prof. Safari

CUF ni chama muflis. Huu uchaguzi wa leo, si lolote, si chochote ni zuga tuu ili kutimiza matakwa ya katiba yao. Wameweka wapinzani zuga ili umma uone CUF kuna demokrasia, hakuna demokrasia yoyote ndani ya cuf ni udikteta, umujahidina na usultani wa kisiri siri.

Seif Sharif Hamad anasemekana ni mwana haram wa Sultan Jamsid. Hii ni siri kubwa ya ndani. Akishika uongozi Zanzibar, anayakana Mapinduzi Matukufu ya Januari 64. Analivunja Baraza la Mapinduzi na kuutambua rasmi uhuru wa Zanzibar wa Desemba 63. Anatoa msamaha kwa kwa ukoo wa Kisultani na kurudisha Usultani Zanzibar maana yeye mwenywe ni Sultan kisiri siri. Usultan utakaorejeshwa sio wa utawala tena bali ceremonial tuu. Nasaba ya mwisho ya Sultan wa Persia ni Mfalme wa Brunei. Ukoo wa Ottoman Empire katika kujitanua, wanamfalme walisambaa maeneo mbalimbali, wale waliokuwa watiifu kwa Mfalme Baba yao, waliposhika visiwa walijitangaza ma Sultan chini ya Falme ya Persia na ndivyo alivyofanya Seyyid Said Bin Barghash alipoitwaa pwani ya Afrika Mashariki toka Sofala mpaka Lamu, na visiwa vyote na eneo lakilomita kumi/20 la bara toka usawa wa bahari. Nduguye alitwaa visiwa vya Brunei baada ya kukuta utajiri mkubwa wa mafuta, akauvua Usultani na kujitangazia ufalme.
Ni nasaba hii ya Kisultani ndio inamfanya mfalme huyo kuwa mfadhili mkubwa wa CUF kupitia kwa Seif Sharrif Hamad. Viongozi wa CUF Zanzibar wanalielewa hili ndio maana hawathubut kumpinga Seif hata chembe.

Sio siri CUF ina viongozi wazuri, waadilifu, wenye uwezo wa uongozi na upeo wa kuona mbali ka Juma Duni na Hamad Rashid, wana CUF wanajua Seif 'kwishney' hana uwezo wowote kwa sasa zaidi ya fedha za Mfalme lakini hakuna wa kukohoa kwa sababu ni Sultan.

Seif ana siasa za jazba, chuki, hasira na dalili za kulipiza kisasi ndio maana anautaka urais wa ZnZ kwa udi na uvumba, na siku zote huwa anashinda, lakini kamwe hapewi nchi, wenye nchi wayajua hayo yalijificha moyoni mwake.
Hata uchaguzi Zanzibar ukiitishwa kesho, Seif anashinda sio kwa sababu ni mahiri, bali anapendwa na wote waliolizwa na Mapinduzi. Hata asipopiga kampeni yoyote, bado atashinda kwa sababu Wapemba hawakushiriki Mapinduzi na Washirazi na masalia ya Sultan ndio watakao mchagua.
Kama CUF wangekubali kumsimamisha Juma Duni ama Hamad Rashid urais wa Zanzibar, nawahakikishia mpaka wana CCM wataichagua CUF na wenye nchi wataikabidhi nchi.

Lipumba nae hana jipya, ni nyimbo zile zile. Huyo mgombea Mkristu ameweka hapo boya tuu ili kufuta hisia za udini huku bara na watampa vijikura vya kuzugia ili demokrasia ionekane kumbe ni kiini macho.

Prof. Safari ndio hafai, hafai kabisa, kama Lipumba asipochaguliwa na akachaguliwa Safari, basi hiyo itakuwa ni kazi ya Seif kamtosa Lipumba.

Prof. Safari alinifundisha sheria pale Mlimani, hakuna ubishi ana uwezo mkubwa kiakili, ni mwanasheria mahiri na high convincing power. Tatizo jamaa ana ulimi wa upanga, Jamaa ni Mujahidina na Muslim Fundamentalist ambaye akiishika CUF, wakipokwa ushindi, jamaa atawaconvince wale Blue Guard wajitoe muhanga.
Kama Seif ni moto na Safari ni moto, kitakachofuatia ni mlipuko tuu. Wote wana jazba, seif ana kauli za ukali, Safari ana mdomo mchafu na anachukia ukiristo akiwaita Makafir.
Mikutano ya CUF itakuwa nu upanga wa makali kuwili.

Naona nisiseme sana hebu tusubiri matokeo.

Wewe mdomo wako ni mchafu na hujui ulisemalo wana huna uhakika nalo,unaposema Seif ni mtoto wa haramu fahamu kuwa umekwenda mbali sana maana mama yako hadi hii leo hajakuhakikishia nani baba yako.si uongo ni kweli au vipi ?

Chama cha CUF kuwa ni cha kisultani,kiarabu,kifalme kidini basi kwa yote hayo hakijaishinda CCM na bado CCM ipo mbali sana maana ni mafia ,na hao masultani huwachiwa milango wazi wakawinda mpaka wakachoka na wanyama wengine kuondoka nao,hao watawala wako hakuna anaesema kwin'yoo,watawala wako wameuza rasilimali ya nchi hii kama mali yao binafsi.

Baraza la Mapinduzi litaondolewa na Serikali ya Mapinduzi itaondolewa maana dunia ya leo hakuna serikali ya Mapinduzi kuna serikali zinazochaguliwa na wananchi upo ? Hivyo hilo si la CUF ni la kila anependa demokrasia ,natumai unaelewa isemwapo serikali ya Mapinduzi !

Inaonyesha Usultani unakupa shida na pengine hujui wapi katika dunia ya leo wapo hawa au kwa lugha nyengine wanaitwa King na Queen,tawala au nchi zenye kutumia vyeo hivyo zipo nyingi tu labda jamaa watakuelimisha ,ila kwa Zanzibar hilo halipo wala halitorudi maana watu wanahitaji maendeleo si sultani au malkia ,huyu sultani aliekuwepo ,Sultani CCM ameshawatosha ,ikiwa unaelewa maana ya sulutani.

Zaidi unaonyesha mawazo duni uliyokuwa nayo ,Seif au CUF imeshasema wazi matu yeyote ataruhusiwa kushitaki hata kama tatizo lilitokea zamani sana ,uhuru huo utakuwa wazi lakini sio kwa serikali kulipiza kisasi au kumkamata mtu hizo ni siasa za CCM na utawala wake.
Kama unakumbukumbu ulizia ni msichana gani aliekamatwa kwa nguvu na hawa akina Karume na kushindiliwa Chupa kwenye sehemu za siri na baadae kupoteza maisha ,gazeti la dira liliwahi kuandika hayo ,hivyo wazee wa mtoto na ndugu wapo na mashahidi wapo siku yeyote wanaweza kupeleka mashitaka ,siku utakapopatikana utawala wenye kujali sheria na haki za Binadamu ,memngine na kama hayo hayatafanywa na CUF kama Chama bali ni mambo binafsi ambayo yatasikilizwa kwenye vyombo vya sheria vitakavyowajibika kutekeleza haki.Seif hatafuti madaraka maana alisshafika mpaka Uwaziri kiongozi anachokitafuta Seif ni kikubwa zaidi ya hayo madaraka ,kiongozi kama Seif si rahisi kupatikana ,hilo ulielewe maana ni mtu asiekuwa na muhali,hakuonei wala hakudhulumu anakupasulia wazi na kukupa uhuru wa kujitetea wala hana urafiki wa huyu ni mwenzetu au mwenzangu ,haogopi kukueleza ukweli na ameonekana kwenye viriri na majukwaa mbalimbali hana utani kwenye kuitetea haki ,mmeona alivyomripua Kikwete ambae mpaka leo hajakaa sawa ,maana anamjua vilivyo Seif Sharif ni mtu wa aina gani katika mambu ya siasa,siasa inasomwa na kufanyiwa kazi ,katika mapambano ya siasa hakuna kuzubaa au kulaza damu ,wanasema unajibu mapigo na ndio hivyo mapigo ya Raisi wenu yamejibiwa kwa vile ilivyopigwa.
Jamaa ndie huyo ameshitangazia kuwa hana mpinzani naona mmeanza kutetemeka.
 
Well done Pasco endelea kutuhabarisha upande wa pili wa shilingi. Kuna mengi hatuyajui.
 
.
Jamaa ndie huyo ameshitangazia kuwa hana mpinzani naona mmeanza kutetemeka.
Sawa. Anasubiriwa 2010. Lakini muache kuleta visingizio visivyo na msingi. Mkishindwa katika game mkubali mmeshindwa -huo ndio uungwana.
 
Prof. Safari ndio hafai, hafai kabisa, kama Lipumba asipochaguliwa na akachaguliwa Safari, basi hiyo itakuwa ni kazi ya Seif kamtosa Lipumba.

Prof. Safari alinifundisha sheria pale Mlimani, hakuna ubishi ana uwezo mkubwa kiakili, ni mwanasheria mahiri na high convincing power. Tatizo jamaa ana ulimi wa upanga, Jamaa ni Mujahidina na Muslim Fundamentalist ambaye akiishika CUF, wakipokwa ushindi, jamaa atawaconvince wale Blue Guard wajitoe muhanga.
Kama Seif ni moto na Safari ni moto, kitakachofuatia ni mlipuko tuu. Wote wana jazba, seif ana kauli za ukali, Safari ana mdomo mchafu na anachukia ukiristo akiwaita Makafir.
Mikutano ya CUF itakuwa nu upanga wa makali kuwili.

Chama cha CUF ni chama ambacho kimepeta mafanikio makubwa ya kujijenga kwenye grassroots kuliko chama chochote cha upinzani, thanks to uongozi wa Lipumba na kamati kuu. Pamoja na upungufu uliopo kwenye chama hicho, bado Lipumba ni mtu mwenye personality (sizungumzii elimu au oratory power ambayo Prof Lipumba hana) ya kuongoza chama kama hicho. Safari akishinda uchaguzi ujue ndio mwisho wa CUF, na ndio CUF watakuwa wameingia kwenye mtego wa CCM. Hakuna aisyejua kuwa Safari ni fundametalist na anachukia wakisto na kudharau wasio waislamu. Anaona system yote ni ya kikristo polisi, mahakama, bunge, shule, jeshi, uslama vyote ni idara za kikrist na ziko pale kuserve interests za wakristo. Mtu kama huyo atawasadia sana CCM
 
Chama cha CUF ni chama ambacho kimepeta mafanikio makubwa ya kujijenga kwenye grassroots kuliko chama chochote cha upinzani, thanks to uongozi wa Lipumba na kamati kuu. Pamoja na upungufu uliopo kwenye chama hicho, bado Lipumba ni mtu mwenye personality (sizungumzii elimu au oratory power ambayo Prof Lipumba hana) ya kuongoza chama kama hicho. Safari akishinda uchaguzi ujue ndio mwisho wa CUF, na ndio CUF watakuwa wameingia kwenye mtego wa CCM. Hakuna aisyejua kuwa Safari ni fundametalist na anachukia wakisto na kudharau wasio waislamu. Anaona system yote ni ya kikristo polisi, mahakama, bunge, shule, jeshi, uslama vyote ni idara za kikrist na ziko pale kuserve interests za wakristo. Mtu kama huyo atawasadia sana CCM

Bongolander;

Huo ndio mtazamo wako kwa Prof. Safari, ila ninahakika sio watu wote wenye mtazamo km huo.

Tusubiri hiyo kesho, maana taarifa nilizonazo huo uchaguzi utafanyika kesho.

Thnx
 
3303164267_54cebee579.jpg

3303173575_dece57b10d_m.jpg
3303900420_9711fb698b_m.jpg

3303069657_e27532e806_m.jpg
3302441895_325f19c0aa_m.jpg
 
Tanzania imeridhia utoaji Mimba na CUF wanategemea kutangaza rasmi itikadi yao ya ULIBERALI, kwa mujibu wa Jussa.
 
CHAMA cha Wananchi (CUF), leo kinachagua viongozi wapya katika ngazi ya taifa ambapo upinzani mkali unatarajiwa kuwepo kwa wagombea nafasi ya Mwenyekiti Profesa Abdallah Safar, Profesa Ibrahim Lipumba na Steven Masanja.


Akizungumza na Mwananchi jana, Steven Masanja alisema, kutokana na kampeni alizopiga ana imani kubwa ya kushinda uchaguzi huo na kushika usukani ya kukiongoza chama hicho kwa kipindi cha miaka mitano.


“Nisingependa kutaja asilimia ngapi ya kura ambazo nitapata katika uchaguzi wa kesho (leo), ila kwa kawaida ndani ya uchaguzi wa CUF, ushindi ni zaidi ya asilimia 50” alisema Masanja.


Kwa upande wake profesa Lipumba alisema, kazi yote anawaachia wajumbe wa mkutano mkuu ili waamue nani wa kuongoza lakini hana wasiwasi.


“Haki ya kupiga kura ni ya wajumbe wa mkutano mkuu, kwa hiyo waache watumie haki yao na mimi ni kusubiri tu kuona maamuzi yao yatakuaje” alisema Lipumba.


Licha ya kuwa na wagombea watatu katika nafasi ya mwenyekiti lakini upinzani mkubwa unatarajiwa kwa maprofesa wawili Lipumba na Safar.


Katika hatua nyengine jana kulizuka tetesi za kuwepo kwa vijarida na vipeperushi vilivyoandaliwa kwa lengo la kukichafua Chama cha Wananchi na Mwenyekiti wake profesa Lipumba katika uchaguzi huo.


Habari hizo pia zilithibitishwa na Mkurugenzi wa Blue Guards na Kikosi cha Ulinzi cha CUF, Mazee Rajab Mazee.


Alipoulizwa Mazee alisema, ni kweli kuna tetesi za kuwepo kwa vipeperushi na vijarida vyenye lengo la kumchafua mgombea profesa Lipumba na chama cha CUF.


“Nimesikia kuwa nakala 3,000 za vijarida zimeandaliwa na mgombea mmoja wa wagombea wa nafasi ya mwenyekiti wa chama, lakini nimeshaongea na vijana wangu kuvisaka vijarida hivyo na kuvikusanya” alisema.


Mazee alisema, wameimarisha ulinzi katika kona zote za ukumbi wa Diamond Jublee ili kuhakikisha kuwa hakuna mtu atakaepenyeza aina yoyote ya kampeni chafu ndani ya chama chao.
Source: Gazeti la Mwananchi
 
Mimi namshauri sana HUYU Prof safari angeanzia kwenye Umakamu wa Mwenyekiti....au ujumbe wa Kamati kuu ili ajipange na kupikika..ili aweze kugombea Mwenyekiti akiwa tayari anajuaa ndani nje ya siasa hasa za Upinzani na hasa CUF maana fitna zipo nyingi sana inabidi azijue kwanza kabla ya kuamua kugombea maana mmmm...haya.....labda wanajuana wenyewe kwa wenyewe hao...
 
Mimi namshauri sana HUYU Prof safari angeanzia kwenye Umakamu wa Mwenyekiti....au ujumbe wa Kamati kuu ili ajipange na kupikika..ili aweze kugombea Mwenyekiti akiwa tayari anajuaa ndani nje ya siasa hasa za Upinzani na hasa CUF maana fitna zipo nyingi sana inabidi azijue kwanza kabla ya kuamua kugombea maana mmmm...haya.....labda wanajuana wenyewe kwa wenyewe hao...

Hata profesa Lipumba alianzia chini then kina Mloo wakamuona kijana ni lulu, atawasaidia ckuza usoni.
 
Mkuu Mwiba
tuhabarishe, mimi channel zangu bado hazijakamata network. Kila nimtafutae cm haipatikani
 
Taarifa niliyoipata hivi punde inasema kuwa Prof.Lipumba amamshinda Prof/mwenzake kwa kura nying sana .

Lipumba amepata kura 644, wakati Safari akiambulia kura 6 na Koplo masanja akipata kura 10.

Demokrasia ya vyama vyetu bwana?

Si angeteuliwa tuu kama wa CCM?

Mbatia aliwekwa na mshindani hewa ambaye wala hakuwepo kwenye mkutano husika sasa Lipumba kashinda kama vile hakuwa na mpinzani ngoja tumsikie Safari atatoa kauli gani.
 
Ama kweli!!!! Ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni

haya tuangalie mabadiliko yatakayoletwa na mzee meko kwatika huo uhai wake uliobaki [maana ni rais wa maisha wa cuf]

lol
 
Ama kweli!!!! Ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni

haya tuangalie mabadiliko yatakayoletwa na mzee MEKO katika huo uhai wake uliobaki [maana ni rais wa maisha wa cuf]

lol
 
LIPUMBA aja na kura za CHINA!
UKIMPIGIA safari zinahamia kwa lipumba, ni teknolojia inayotumika katika chaguzi tata! mshindi anaweza pata ushindi hata aslimia mia mbili (200% win) (JOKE...!)
 
LIPUMBA aja na kura za CHINA!
UKIMPIGIA safari zinahamia kwa lipumba, ni teknolojia inayotumika katika chaguzi tata! mshindi anaweza pata ushindi hata aslimia mia mbili (200% win) (JOKE...!)

Hahahaa....

Umenikumbusha mbali sana haswa CUF walipotangaza kuwa wameunda timu kwenda kufanya utafiti CHINA kuwa karatasi zilizotumika 2005 uchaguzi mkuuu zilikuwa ukimpigia Lipumba zinahama na kwenda kwa JK .

Safari naye aunde kikosi kazi kwenda kufuatilia zilikotengenezwa karatasi zilizotumika kwenye uchaguzi leo.
 
Hivi hang'atuki huyu, hasemi basi sasa? Jipya lake ni lip? Au ameazima ukurasa wa viongozi wa CCM? Kuna masilahi binafsi anayoogopa kuyakosa? Hebu angalia: Visiwani CUF inaibiwa kura kila uchaguzi, huku Bara chama polepole kinapoteza umaarufu kwa Chadema. Muafaka umekwama. Jee, ameweka wazi mbinu zake mpya za kuyashinda/kuyageuza haya niliyotaja?
 
Back
Top Bottom