Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Watu wamechagua Kiongozi ambae anaheshimika ndani ya Nchi na nje ya Nchi yaani wamemchagua kiongozi ambae ujuzi alionao unawasaidia watu wa ulimwengu wa Kwanza huko maulaya ,hivi hili halitoshi ,kuwaonyesha WaTanzania walio wengi ,unajua kutokana na methali ya kiswahili ile isemayo Kila mdharau chake hakika amepotoka, hivyo tukubali kuwa wale wanaomuona Lipumba si lolote si chochote ,wajue wanaingia katika kundi hilo la waliopotoka ,sasa hapa kuna kisa ambacho walimwengu walitushangaa tumemtupa Salim Ahamed kwa sababu ni muarabu au sijui alikuwa hizbu,unajua hata walimwengu walimshangaa sa na Baba yenu wa Taifa ,alipomwacha Salimu na kumuweka Mkapa na juzi walimwengu walitushangaa walipomuwacha Salimu na kumuweka mpiga filimbi wa melini Kikwete ,mjue watu wanatucheka na haya yanayotrokea ni mambo ambayo tumejitakia ,hatukuweza kuchagua na kama tumechagua tulishindwa kulinda.
Msifanye mchezo katika kuchagua viongozi ,hili nawasihi sana wenzangu waTanzania jambo la kucheza na jazba na kiburi ndilo linalotufikisha pabaya sana na ndipo tunapopoteza dira ,kama tunahitaji shida na mchezo mchezo katika kuwapiga vita viongozi wanaoheshimika basi mjue tutabaki kupiga makelele na mayowe ya njaa.
Kuna wafinyu wa fikra ambao wanahoji eti amelifanyia au amefanya nini huko kijijini kwake ? Mnasahau kuwa wanaofanya mambo huko vijijini ni mafisadi tu ,hakuna jingine wizi mtupu ,ndio maana yake ,kiongozi aliesafi hatizami pale kijijini anapotoka bali huitazama Tanzania nzima kwa ujumla ,ukagombee sijui ubunge kijijini ili iwe nini ? Kama si kufanya ufisadi katika nyanja za serikalini ili uonekane unaimani na kijijini kwenu ,au sio ,wabunge wengi matajiri ni wala rushwa na watoa rushwa wakubwa katika mikoa yao ,hawa ndio wanaowalishia polisi na vyombo vingine ili wapate ulaji, hakuna chochote walichonacho cha kuwapatia fedha kihalali ni wizi tu,wizi mtupu.Tena nini kama si wizi ?
Viongozi hawa akina Lipumba au Salim watakapoweza kutwaa au kuchaguliwa kihalali kabisa na wananchi mi nawahakikishieni mageuzi ya kweli lazima yatatokea hapa Tanzania ,tusifanye masihala , ni watu ambao uongozi wao hauonekani kuwa na mbia na mtu yeyote wabia wao ni mtazamo wa wananchi wa Tanzania kwa ujumla bila ya kujali itikadi zao ,hebu fikiria tokea jamaa Kiwete afanye ziara Pemba hadi leo hakuna umeme wala hakutoki maji ,mtu ajiulize huyu alikwenda kufanya nini Pemba ,maana amerudi na chuki ,iweje hadi leo hakuna umeme ,Pemba hawana mawasiliano kabisa ,ndio hata simu huwezi kuwapigia ,yaani hata kuchaji simu zao hawajui wafanye nini ,halafu mnasema CCM ndio baba ,ni kosa la kutolinda ushindi baada ya kuhakikisha kuwa aliepewa ushindi sie alieshinda na matokeo yake ndio haya ya kuogopana na kucheleweshana ,vipngozi wanaoingia kwa wizi hawana nguvu za kuongoza nchi,hilo tukubali ,tunamuona Kikwete ,tunamuona Karume tunawaona na wengine hawawezi kusema kitu ni woga,wanaogopa kutobebwa tena katika chaguzi zijazo ,ila wananchi lazima waamshwe kama ni vita na wanaowabeba viongozi hawa mapepe basi ni bora viwepo vita kuliko kuendeshwa kibabe na kuonyeshana meno kama wanaotangaza tangazo la dawa za mswaki.
Msifanye mchezo katika kuchagua viongozi ,hili nawasihi sana wenzangu waTanzania jambo la kucheza na jazba na kiburi ndilo linalotufikisha pabaya sana na ndipo tunapopoteza dira ,kama tunahitaji shida na mchezo mchezo katika kuwapiga vita viongozi wanaoheshimika basi mjue tutabaki kupiga makelele na mayowe ya njaa.
Kuna wafinyu wa fikra ambao wanahoji eti amelifanyia au amefanya nini huko kijijini kwake ? Mnasahau kuwa wanaofanya mambo huko vijijini ni mafisadi tu ,hakuna jingine wizi mtupu ,ndio maana yake ,kiongozi aliesafi hatizami pale kijijini anapotoka bali huitazama Tanzania nzima kwa ujumla ,ukagombee sijui ubunge kijijini ili iwe nini ? Kama si kufanya ufisadi katika nyanja za serikalini ili uonekane unaimani na kijijini kwenu ,au sio ,wabunge wengi matajiri ni wala rushwa na watoa rushwa wakubwa katika mikoa yao ,hawa ndio wanaowalishia polisi na vyombo vingine ili wapate ulaji, hakuna chochote walichonacho cha kuwapatia fedha kihalali ni wizi tu,wizi mtupu.Tena nini kama si wizi ?
Viongozi hawa akina Lipumba au Salim watakapoweza kutwaa au kuchaguliwa kihalali kabisa na wananchi mi nawahakikishieni mageuzi ya kweli lazima yatatokea hapa Tanzania ,tusifanye masihala , ni watu ambao uongozi wao hauonekani kuwa na mbia na mtu yeyote wabia wao ni mtazamo wa wananchi wa Tanzania kwa ujumla bila ya kujali itikadi zao ,hebu fikiria tokea jamaa Kiwete afanye ziara Pemba hadi leo hakuna umeme wala hakutoki maji ,mtu ajiulize huyu alikwenda kufanya nini Pemba ,maana amerudi na chuki ,iweje hadi leo hakuna umeme ,Pemba hawana mawasiliano kabisa ,ndio hata simu huwezi kuwapigia ,yaani hata kuchaji simu zao hawajui wafanye nini ,halafu mnasema CCM ndio baba ,ni kosa la kutolinda ushindi baada ya kuhakikisha kuwa aliepewa ushindi sie alieshinda na matokeo yake ndio haya ya kuogopana na kucheleweshana ,vipngozi wanaoingia kwa wizi hawana nguvu za kuongoza nchi,hilo tukubali ,tunamuona Kikwete ,tunamuona Karume tunawaona na wengine hawawezi kusema kitu ni woga,wanaogopa kutobebwa tena katika chaguzi zijazo ,ila wananchi lazima waamshwe kama ni vita na wanaowabeba viongozi hawa mapepe basi ni bora viwepo vita kuliko kuendeshwa kibabe na kuonyeshana meno kama wanaotangaza tangazo la dawa za mswaki.