Uchafu wa watu hawa, hovyoooo sana!

ndyoko

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
4,971
1,650
Eti ni kweli watu kutoka makabila ambayo kwa asili ni wafugaji usafi kwao sio issue sana. Kumuona mama akitumia ganda la mua kumsafishia mtoto haja kubwa ni kitu cha kawaida sana. Kwamba hata kuoga kwao haijalishi sana, kwani wao wako bize na ng'ombe eti ni heri mifugo ipate maji kuliko yeye kuoga na mifugo ife kwa kiu.

Kwamba tatizo liko wapi mtu kukaa kwenye choo cha behewa la treni toka kigoma, tabora kupitia singida hadi dar na ikibidi unakula chakula humo humo huku pembeni kwenye sinki la choo kuna haja kubwa na ndogo inatoa harufu kali. Kwa wahusika yote ni shega tu. Unapojaribu kuhoji why wao nao wanakushangaa na kukuona wakuja kweli. Na wakifika mjini eti wanajiona wajaaaaaaaaaaaaaanja! Hvi kwa nini hao watu wako hivi jamani?

Nimeogopa kutaja makabila husika, isije ikaleta udadisi bureeeeeeeee!
 
Eti ni kweli watu kutoka makabila ambayo kwa asili ni wafugaji usafi kwao sio issue sana. Kumuona mama akitumia ganda la mua kumsafishia mtoto haja kubwa ni kitu cha kawaida sana. Kwamba hata kuoga kwao haijalishi sana, kwani wao wako bize na ng'ombe eti ni heri mifugo ipate maji kuliko yeye kuoga na mifugo ife kwa kiu.

Kwamba tatizo liko wapi mtu kukaa kwenye choo cha behewa la treni toka kigoma, tabora kupitia singida hadi dar na ikibidi unakula chakula humo humo huku pembeni kwenye sinki la choo kuna haja kubwa na ndogo inatoa harufu kali. Kwa wahusika yote ni shega tu. Unapojaribu kuhoji why wao nao wanakushangaa na kukuona wakuja kweli. Na wakifika mjini eti wanajiona wajaaaaaaaaaaaaaanja! Hvi kwa nini hao watu wako hivi jamani?

Nimeogopa kutaja makabila husika, isije ikaleta udadisi bureeeeeeeee!

Du we kabila gani??.
 
Hawakulii chakula chooni bana,msosi wanapata pale saranda a.k.a sheraton.

Acha uongo bibie dk 25 chakula gani kitalika pale, mambo yote ndani baada ya kununua pale chini. Tena wengine huwa wanatoka na ugali wao wa kuotsha toka kigoma hadi dar. Wakiwa ndani ndo huwa wanaanza kurundumla chakula baada ya kukinunua chini
 
Ila hii mada inahusika vp na jukwaa hili japokuwa kuna ukweli kabisa chunguza makabila yafuatayo.Wamasai,wasukuma,wagogo,wanyamwezi na wajita kwa mbali.Nani anabisha?
 
Wanaosafiri toka kigoma bila shaka ni waha lakini hapohapo mtoa mada anazungumzia wafugaji na nielewavyo waha si wafugaji so nadhani kuna contradiction hapa
 
Ila hii mada inahusika vp na jukwaa hili japokuwa kuna ukweli kabisa chunguza makabila yafuatayo.Wamasai,wasukuma,wagogo,wanyamwezi na wajita kwa mbali.Nani anabisha?

Wakute watu vijijni kwao, ndo utajua kuwa hii issue si ya kabila flani!!!
note: nenda vijijini haswa na usiishie vijiji mjini.
 
Ila hii mada inahusika vp na jukwaa hili japokuwa kuna ukweli kabisa chunguza makabila yafuatayo.Wamasai,wasukuma,wagogo,wanyamwezi na wajita kwa mbali.Nani anabisha?

Kwa WANYAMWEZI si kweli!Sijui hayo makabila mengine labda.
 
Ila hii mada inahusika vp na jukwaa hili japokuwa kuna ukweli kabisa chunguza makabila yafuatayo.Wamasai,wasukuma,wagogo,wanyamwezi na wajita kwa mbali.Nani anabisha?

Ooohoooooooo! sasa we umetaja majina mi sijakutuma hayo, umeropoka mwenyewe mkuu! Ngoja wenyewe wakujibu ktk hili!
 
Wanaosafiri toka kigoma bila shaka ni waha lakini hapohapo mtoa mada anazungumzia wafugaji na nielewavyo waha si wafugaji so nadhani kuna contradiction hapa

Hilo la waha umetaja wewe, na ni kama umeongeza list mkuu
 
hawaon shega wafanyaje na ndo wanasheherekea miaka 50 kwa usafiri huo huo toka tumepewa na mkoloni , hakuna bingwa wa shida sema serikali ndi inawafanya we uwaone mabingwa
 
Eti ni kweli watu kutoka makabila ambayo kwa asili ni wafugaji usafi kwao sio issue sana. Kumuona mama akitumia ganda la mua kumsafishia mtoto haja kubwa ni kitu cha kawaida sana. Kwamba hata kuoga kwao haijalishi sana, kwani wao wako bize na ng'ombe eti ni heri mifugo ipate maji kuliko yeye kuoga na mifugo ife kwa kiu.

Kwamba tatizo liko wapi mtu kukaa kwenye choo cha behewa la treni toka kigoma, tabora kupitia singida hadi dar na ikibidi unakula chakula humo humo huku pembeni kwenye sinki la choo kuna haja kubwa na ndogo inatoa harufu kali. Kwa wahusika yote ni shega tu. Unapojaribu kuhoji why wao nao wanakushangaa na kukuona wakuja kweli. Na wakifika mjini eti wanajiona wajaaaaaaaaaaaaaanja! Hvi kwa nini hao watu wako hivi jamani?

Nimeogopa kutaja makabila husika, isije ikaleta udadisi bureeeeeeeee!
itakua kuna mtu umemtokea wa makabila tajwa kakupiga chini ndio unaleta mahasira yako huku jf
 
Back
Top Bottom