ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Eti ni kweli watu kutoka makabila ambayo kwa asili ni wafugaji usafi kwao sio issue sana. Kumuona mama akitumia ganda la mua kumsafishia mtoto haja kubwa ni kitu cha kawaida sana. Kwamba hata kuoga kwao haijalishi sana, kwani wao wako bize na ng'ombe eti ni heri mifugo ipate maji kuliko yeye kuoga na mifugo ife kwa kiu.
Kwamba tatizo liko wapi mtu kukaa kwenye choo cha behewa la treni toka kigoma, tabora kupitia singida hadi dar na ikibidi unakula chakula humo humo huku pembeni kwenye sinki la choo kuna haja kubwa na ndogo inatoa harufu kali. Kwa wahusika yote ni shega tu. Unapojaribu kuhoji why wao nao wanakushangaa na kukuona wakuja kweli. Na wakifika mjini eti wanajiona wajaaaaaaaaaaaaaanja! Hvi kwa nini hao watu wako hivi jamani?
Nimeogopa kutaja makabila husika, isije ikaleta udadisi bureeeeeeeee!
Kwamba tatizo liko wapi mtu kukaa kwenye choo cha behewa la treni toka kigoma, tabora kupitia singida hadi dar na ikibidi unakula chakula humo humo huku pembeni kwenye sinki la choo kuna haja kubwa na ndogo inatoa harufu kali. Kwa wahusika yote ni shega tu. Unapojaribu kuhoji why wao nao wanakushangaa na kukuona wakuja kweli. Na wakifika mjini eti wanajiona wajaaaaaaaaaaaaaanja! Hvi kwa nini hao watu wako hivi jamani?
Nimeogopa kutaja makabila husika, isije ikaleta udadisi bureeeeeeeee!