Uchafu wa watu hawa, hovyoooo sana!

itakua kuna mtu umemtokea wa makabila tajwa kakupiga chini ndio unaleta mahasira yako huku jf

huko kwenye uzinzi kumefikaje hapa? mtu mzinzi muda wote huwaza, hutenda na kuongea kizinzizinzi
 
Weka hapa makabila ya watu unaojua ni wasafi tuone! Nenda asubuhi kwa wala mishikaki pale k/koo uone nyama zilivyoharibika hadi zinaonekana za blue, nenda kwa mama ntilie wa dar cheki na misosi yao yenye kuzingirwa na nzi, tumia usafiri wa daladala dar, angalia wasafiri wanavyobanana, na mijasho na vikwapa vyao, kumbuka miwa inayopandwa dar kando ya mabafu na vyoo, usisahau bustani za mboga za majani na kumwagiliwa maji mchafu ya viwandani, kuna ile mnaita kutapisha vyoo wakati wa mvua, vipi siku hizi k/koo mvua ikiwa kubwa mmepata chujio la kutenganisha maji ya mvua, vinyesi vyenu na maji machafu?? Kile kiwanda cha mbu (namaanisha mosquitoes, siyo memba wa Jf) kinachoitwa muhimbili, kinaendelea na kuzalisha mbu?! Hivi madampo ya dar si huwa yako ktkt ya makazi ya watu?! Halafu nasikia mizoga ya mbwa na paka mnaowagonga barabarani wauza nyama na wachoma mishikaki wanawamixia na nyie kwa 'usafi' wenu mnajinoma tu uongo?! Heeheeheee! Dar iliongoza lini kwa usafi hapa Tanganyika?! Sasa njoo hapa udanganye kuwa wewe kwenu/kwako masaki sijui mikocheni utwambie ni kina nani wanaojisaidia haja ndogo na kubwa baharini! Kidogo nisahau wanyeji/wakazi wenzako wanaokojoa kwenye vyupa vya maji uhai......subiri hapohapo am kaming meeeeen!
 
Kuna ukweli lakina si makabila yote ya wafugaji, nadhani ni tatizo la mtu mmojammoja.
 
Acha uongo bibie dk 25 chakula gani kitalika pale, mambo yote ndani baada ya kununua pale chini. Tena wengine huwa wanatoka na ugali wao wa kuotsha toka kigoma hadi dar. Wakiwa ndani ndo huwa wanaanza kurundumla chakula baada ya kukinunua chini
ule ugali wa kigoma unajua unavyoandaliwa?Ndo wanakulia chooni?
 
Weka hapa makabila ya watu unaojua ni wasafi tuone! Nenda asubuhi kwa wala mishikaki pale k/koo uone nyama zilivyoharibika hadi zinaonekana za blue, nenda kwa mama ntilie wa dar cheki na misosi yao yenye kuzingirwa na nzi, tumia usafiri wa daladala dar, angalia wasafiri wanavyobanana, na mijasho na vikwapa vyao, kumbuka miwa inayopandwa dar kando ya mabafu na vyoo, usisahau bustani za mboga za majani na kumwagiliwa maji mchafu ya viwandani, kuna ile mnaita kutapisha vyoo wakati wa mvua, vipi siku hizi k/koo mvua ikiwa kubwa mmepata chujio la kutenganisha maji ya mvua, vinyesi vyenu na maji machafu?? Kile kiwanda cha mbu (namaanisha mosquitoes, siyo memba wa Jf) kinachoitwa muhimbili, kinaendelea na kuzalisha mbu?! Hivi madampo ya dar si huwa yako ktkt ya makazi ya watu?! Halafu nasikia mizoga ya mbwa na paka mnaowagonga barabarani wauza nyama na wachoma mishikaki wanawamixia na nyie kwa 'usafi' wenu mnajinoma tu uongo?! Heeheeheee! Dar iliongoza lini kwa usafi hapa Tanganyika?! Sasa njoo hapa udanganye kuwa wewe kwenu/kwako masaki sijui mikocheni utwambie ni kina nani wanaojisaidia haja ndogo na kubwa baharini! Kidogo nisahau wanyeji/wakazi wenzako wanaokojoa kwenye vyupa vya maji uhai......subiri hapohapo am kaming meeeeen!

hahahahahaaaa! Watu wa dasilamu hao........sijui ndyoko anaishi mitaa ipi!!!
 
ule ugali wa kigoma unajua unavyoandaliwa?Ndo wanakulia chooni?

hapana ule huwa wanakulia chini ya viti vya magari mbako kuna kuku na bata ambao ni zawadi kwenda mjini dar, teteteteteeeeeeeeeeeee!
 
Haahaahaaa! ndyoko ameingia mitini...! ndyoko rudi hapa ueleze unaishi mtaa gani tukupe 'dawa' inayokustahili.
 
Back
Top Bottom