Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Mkuu mtanzania,
Hapo umemaliza. Kwanza kabisa mbunge anayetaka kugombea bila yeye mwenyewe kuwa na maslahi hafai.Lazima awe na maslahi ila maslahi yasiathiri ustawi wa jamii inayomzunguka au uwakilishi wa jamii inayomzunguka
Inategema na tabia ya mtu kwa CCM ni biashara kwanza wito baadae, kwa upinzania wito, kutumikia wananchi na biashara ya mwisho, Inategemea mtu, CHAMA, Malengo na Tabia binafsi, Katiba , na muda
ni personal interests ndo always zinawasukumu kwenye ubunge.nothing else uchungu sidhani kama upo na kama upo ni kwa wachache sana.kwa nini wengine huwa mwanzo wa bunge la kwanza mpaka la mwisho huwa hawachangii hata kitu kimoja achilia mbali kutembelea wananchi wao kwenye majimbo? Pia ni kwa nini huwa wanalala kwa waganga wa kienyeji wakati wa uchaguzi?? mimi naamini kabisa ni personal interests japo kuna wenye kuitumia vizuri hii chance here i mean mtu kama mo dewji ni mbunge mfano kwa wote kwa sababu anasaidia sana kule singida japo hata yeye im sure in one way or another kuna njia ananufaika ikizingatiwa kuwa huyu ni entrepreneur mkubwa sana nchini.
PESONAL INTERESTS and wealth lust is a driving force in their damn move!
Hawana jipya hawa!
Aibu mchana kweupe!
ubunge ni deal la kibiashara
Kama ubunge kuhudumia wanachi waambie wagombee udiwani uone??au waambie wabunge wanaonaje wabadilishe sheria sifa ya MBUNGE ni lazima awe amekuwa DIWANI.
Yes kama ni kusaidia wananchi katika level ya udiwani ndio wanachi walipo.
hahhahah
Mtanzania umeongea vizuri kuwa kila mtu ana interests zake lakini kwa swala la ubunge sidhani kama suala la personal interests linapewa uzito zaidi hasa upande wa kuisaidia jamiiBongolander,
Hata motives za watu kuamua kufanya jambo fulani zinatofautiana sana lakini kisichopingika ni kwamba katika kila jambo analofanya mwanadamu kunakuwa na motive ya aina fulani mbele yake. Kitu kigumu ni kujua kama huyo mtu kweli yuko motivated na kusaidia jamii au kuna mambo mengine ya siri yaliyojificha nyuma yake.