Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,196
Wakuu tunapoelekea 2010, kuna kauli ambazo naomba mzifuatilie sana.
1. Nimeombwa na wazee, na wananchi wa jimbo fulani nigombee.
2. Baada ya kushauriana na watu fulani nikashawishika kuchukua fomu
3. Baada ya kuona mbunge aliyepo hajafanya lolote nimeamua kuchukua fomu.
4....
5...
Hawa jamaa wanaojitokeza bila sisi wenyewe kufahamu wanakotoka, wana lengo kweli la kutuoigania? wanalengo kweli la kutusadia au ndio kupigania tu, kiinua mgongo and a like. Wanaweza kujitokeza kweli kama tukisema wabunge hawatalipwa mshahara, wagombee kutokana na uzalendo?
1. Nimeombwa na wazee, na wananchi wa jimbo fulani nigombee.
2. Baada ya kushauriana na watu fulani nikashawishika kuchukua fomu
3. Baada ya kuona mbunge aliyepo hajafanya lolote nimeamua kuchukua fomu.
4....
5...
Hawa jamaa wanaojitokeza bila sisi wenyewe kufahamu wanakotoka, wana lengo kweli la kutuoigania? wanalengo kweli la kutusadia au ndio kupigania tu, kiinua mgongo and a like. Wanaweza kujitokeza kweli kama tukisema wabunge hawatalipwa mshahara, wagombee kutokana na uzalendo?