bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,435
wabunge wako wa aina nne, na wameingia huko kwa target tofauti, soma hapa chini uajue aina zao
1. kundi la kwanza - wenye nguvu kisiasa na mafisadi wakubwa
hili nikundi ambalo mamlaka ya bunge ni kama yako chini yao, wana pesa, wana influence kubwa sana, hata kichama wana nguvu na kana kwamba hamna wa kuwafunga kengelele ktk chochote wafanyacho.
2. kundi la pili - wabunge njaa
ili ni kundi la wabunge ambalo wako bungeni kwa ajili ya allowance na pesa za wabunge, hapa ndio kuna wabunge wa kuteuliwa, viti maalum, walipitishwa kugombea majimboni kwao wakati watu hawajajitokeza, ili ni kundi ambalo ni benderea hufata upepo, bungeni wao ni ndio tu ktk kila mjadala ilimradi allowance imeingia, ni kundi linalotumiwa na serikali kupitisha miswada, kundi linalotumiwa na kundi la kwanza kupitisha hoja zao, ni waoga kuikosoa serikali kwa kuogopa uchaguzi ukikaribia hawatapitishwa kugombea majimbo yao.
3. kundi la tatu - wafanyabiashara wakubwa na wenye asili ya asia
hili ni kundi ambalo halina njaa, liko bungeni kuweka mazingira mazuri biashara zao zisiingiliwe na serikali, hawajui hata matatizo ya wananchi au wanaishije wala tabu zao, hawana makundi ya kupigana vikumbo kugombea madaraka, wao ilimradi abaki kwenye system biashara zao ziende sawa, hawaudhurii bungeni mara kwa mara.
4. kundi la nne - wasomi uchwara
hili ni kundi la wasomi ambao wameacha taaluma zao kukimbilia maisha mazuri ya ubunge kwani fani zao hazilipi, ni wanatmiwa kuonyesha kua serikali inafanya vizuri kwa kuandika pepa za uchwara, wanagombewa na wale wa kundi la kwanza ili wale wa kundi la kwanza wajione wana base nzuri, taaluma zao ziko kapuni, hawakosekani bungeni kwa ajili ya allowance zao. solution zao ktk matatizo ya jamii ni zisizoendana na uhalisia wa mambo kwa mfano sasa wamekuja na kilimo kwanza wakati hatuna kiwanda cha kutengeneza matrekta.
5. kundi la tano - wasomi na wazalendo
ili ni kundi la wabunge wazalendo, wanajua matatizo ya jamii na watu, wanajitaidi kuibana serikali kuleta maendeleo, si matajiri, kila siku wako ktk misukosuko kwa misimamo yao, si wengi.
ktk makundi hayo, kundi la pili ndio lina member wengi, no wonder serikali inapitisha miswada kirahisi
1. kundi la kwanza - wenye nguvu kisiasa na mafisadi wakubwa
hili nikundi ambalo mamlaka ya bunge ni kama yako chini yao, wana pesa, wana influence kubwa sana, hata kichama wana nguvu na kana kwamba hamna wa kuwafunga kengelele ktk chochote wafanyacho.
2. kundi la pili - wabunge njaa
ili ni kundi la wabunge ambalo wako bungeni kwa ajili ya allowance na pesa za wabunge, hapa ndio kuna wabunge wa kuteuliwa, viti maalum, walipitishwa kugombea majimboni kwao wakati watu hawajajitokeza, ili ni kundi ambalo ni benderea hufata upepo, bungeni wao ni ndio tu ktk kila mjadala ilimradi allowance imeingia, ni kundi linalotumiwa na serikali kupitisha miswada, kundi linalotumiwa na kundi la kwanza kupitisha hoja zao, ni waoga kuikosoa serikali kwa kuogopa uchaguzi ukikaribia hawatapitishwa kugombea majimbo yao.
3. kundi la tatu - wafanyabiashara wakubwa na wenye asili ya asia
hili ni kundi ambalo halina njaa, liko bungeni kuweka mazingira mazuri biashara zao zisiingiliwe na serikali, hawajui hata matatizo ya wananchi au wanaishije wala tabu zao, hawana makundi ya kupigana vikumbo kugombea madaraka, wao ilimradi abaki kwenye system biashara zao ziende sawa, hawaudhurii bungeni mara kwa mara.
4. kundi la nne - wasomi uchwara
hili ni kundi la wasomi ambao wameacha taaluma zao kukimbilia maisha mazuri ya ubunge kwani fani zao hazilipi, ni wanatmiwa kuonyesha kua serikali inafanya vizuri kwa kuandika pepa za uchwara, wanagombewa na wale wa kundi la kwanza ili wale wa kundi la kwanza wajione wana base nzuri, taaluma zao ziko kapuni, hawakosekani bungeni kwa ajili ya allowance zao. solution zao ktk matatizo ya jamii ni zisizoendana na uhalisia wa mambo kwa mfano sasa wamekuja na kilimo kwanza wakati hatuna kiwanda cha kutengeneza matrekta.
5. kundi la tano - wasomi na wazalendo
ili ni kundi la wabunge wazalendo, wanajua matatizo ya jamii na watu, wanajitaidi kuibana serikali kuleta maendeleo, si matajiri, kila siku wako ktk misukosuko kwa misimamo yao, si wengi.
ktk makundi hayo, kundi la pili ndio lina member wengi, no wonder serikali inapitisha miswada kirahisi