mkuu kwa tv zenye platform ya Roku unaweza tumia hizo tv box za android??Kwa Tv mkuu hakuna anayeweza kuwagusa hawa jamaa. Dunia inaelekea kwenye Amoled, Oled, poled etc tumeshatoka kwenye mambo ya LCD hasa kwenye TV. makampuni makubwa ya kutengeneza hizo panel ni
1. samsung display
2. LG Display
3. Sony
4. China star optoelectronics Technology (inamilikiwa kwa pamoja na samsung na TCL)
Hao ndio wababe sasa hivi, hata iwe kampuni gani inataka kutengeneza TV za kisasa za oled inabidi wakanunue vifaa kwa mabwana wakubwa hao.
Sharp sasa hivi imenunuliwa na Foxconn na hao Sharp toka zamani ni wataalamu wa LCD. na TV za Sharp hazitengenezwi na Sharp jina walishaliuza zamani.
Mkuu hizo zilizo bei juu zina tofauti gani na hizo za kawaida,na pia zina risk gani na hizi za kariakoo zinaweza kunipush kidogo mkuuMlimani City waweza pata ila bei itakuwa mara 3 au zaidi ya hio niliokutajia.
Tv box inakubali tv yoyote as long as hiyo tv ina hdmi.mkuu kwa tv zenye platform ya Roku unaweza tumia hizo tv box za android??
na vipi kuhusu web os?
nimekupata mkuuTv box inakubali tv yoyote as long as hiyo tv ina hdmi.
Kwa lugha rahisi ili uelewe fikiria deki ya CD, kila kitu kinafanyika kwenye deki, tv kazi yake ni kuonyesha tu picha inayotoka kwenye deki,
Kwenye tv box napo ni hivyo hivyo tv yako inaonyesha tu ila kila kitu kuanzia internet,apps na mambo mengine yanakuwa ndani ya tv box.
Hivyo hakuna compability ikiwa tv ya web os,ama ya roku ama tv isio smart iwe ya kichina ama og zote tv box itafanya kazi, requirement ni HDMI tu.
Kitu ni kile kile, ila utaenda changia kodi ya jengo zaidi ukinunulia mlimani cityMkuu hizo zilizo bei juu zina tofauti gani na hizo za kawaida,na pia zina risk gani na hizi za kariakoo zinaweza kunipush kidogo mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
CHRISTMASS OFFERNisaidie kaka naweza kupata wapi hicho kifaa na kama kuna duka unalijua niunganishe nalo...na kitafaa kwenye star x inchi 43
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile hela tuma kwenye namba hii 0788991234 litatokea jina "Evidotus ExtrovertNmeokota tangazo kwenye group la biashara. Watafute hao wauzaji
Hui ni wiziii...!! Wiziii mtupuuuCHRISTMASS OFFER
MXQ Pro 4K ZIMERUDI
Kwanini upoteze PESA zako kununua kingangamuzi na kulipia kila MWEZI?
Device hii ndio mkombozi wako itakuwezesha kuangalia Channel zote,Mechi zote,Movies na Series BURE bila malipo yoyote.
Support Miracast,Wifi,4K
Over 70000 Local & international channels,Pre installed Apps,Cracked KODI.
PRICE 80,000TSH ONLY
KWA MASWALI CALL 0713388226,UKIULIZA SWALI HUMU HUTOJIBIWA.
LIMITED STOCK
Forwarded as Recieved
Mkuu hiki kifaa kinaweza saidia upAte FTA channelz kwan TV nyingi ambazo ni Smart zina in-built decoder cjui inaitwaje ambayo ukiweka antenna tuu unapata FTA channelzKifaa hicho kinaitwa TV Box, vipo vya aina nyingi ila common ni mXQ Pro Tv box. Kinauzwa kati ya 80,000 mpaka laki 1.
Ndio utaweza kukitumia kwa kuchomeka waya kwenye hdmi ports za TV yako. Hakuna la nyongeza maana kinakuja na nyaya zake, remote na mazaga mengine!
Huyu jamaa namkubali Sana we chief mkwawa ni mtu muhimuusisahau kuangalia na model, kama juu kulivyozungumzwa hio lg au tcl utakayouziwa inaweza ikawa ni ya kizamani. hakikisha una hata ka simu ka ku google ukiwa dukani unaitumbukiza model google kuangalia ni ya lini na ina vitu gani
Mkuu hiki kifaa kinaweza saidia upAte FTA channelz kwan TV nyingi ambazo ni Smart zina in-built decoder cjui inaitwaje ambayo ukiweka antenna tuu unapata FTA channelzView attachment 983180View attachment 983182View attachment 983183
Kwa sasa kama unataka Android box nzuri ni xiaomi mi box 4s ina features kibao za kijanja, ila bei yake 150k
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiki kifaa kinaweza saidia upAte FTA channelz kwan TV nyingi ambazo ni Smart zina in-built decoder cjui inaitwaje ambayo ukiweka antenna tuu unapata FTA channelzKuna kitu kimoja kuhusu MXQ na box mbalimbali zinazopatikana Tanzania zinatumia Android ya kawaida ambayo sio Android tv, hivyo ni vyema kujiepusha nazo unless unajua unachofanya.
Tafuta xiaomi mi box, amazon fire tv, Roku na box nyengine ambazo os zake zimekuwa optimized kutumika kwenye tv.
Hapana. Zipo TV box zenye hiyo DVB-T2 receiver lakini Mi Box s haina. Hiyo receiver yenyewe ambayo ni built in haionyeshi channel zote nying ni scrambled, kinapokea channel za startimes na continental, ila kwa cable ndio utapata channels nyingi, mm kwa TV yangu zilizokubali ni star TV na hope channel tu!.Mkuu hiki kifaa kinaweza saidia upAte FTA channelz kwan TV nyingi ambazo ni Smart zina in-built decoder cjui inaitwaje ambayo ukiweka antenna tuu unapata FTA channelz
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka model ya hyo lg ya 2015Samsung niliyokuwa nayo model sikumbuki niliinunua mwaka 2013, na lg niliinunua mwaka 2015 ilikuwa ni toleo la mwaka huo now nimerudi tena samsung