Ubora wa Chuo cha Ushirika Moshi

Ubora wa Chuo cha Ushirika Moshi

Zamani kilik
Wakuu em tufahamishane kuhusu chu cha muccobs ama muco
Zamani kilikuwa kinaitwa MUCCOBS siku hizi kinaitwa MUCO. Ni kizuri sana, kilianza kama tawi la SUA lakini kilipokomaa kikajitegemea na kuwa chuo kikuu kamili.
 
certificate ya distance learning!???

Mh! Mkuu SHIEKA hapo nimetoka kapa!!!!

Hebu jielezee vizuri dada angu...
Wana programme inayoitwa PROFESSIONAL FINANCIAL CO-OPERATIVE MANAGEMENT
hii husomwa kwa njia ya masafa. Kuna foundation course ambayo anasoma mtu yeyote alimaliza elimu ya msingi au hata aliyemaliza kidato cha nne lakini hakufaulu kwa kiwango cha masomo manne na kuendelea.
Pia wana kozi inayoitwa PC - Saccos ambayo anasoma mtu aliyemaliza form four na kufaulu masomo manne au hata mwenye elimu ya juu zaidi ya hapo. Pia walimaliza kozi ya foundation na kufaulu vizuri.
Kozi nyingine ambayo unaweza kusoma kwa njia ya masafa ni POSTGRADUATE DIPLOMA IN SACCOS MANAGEMENT.
 
je ni marketable pia uwanda wake wa ajira ama kujiajiri umekaaje??
kama utakua unajua scale yake ya mshahara itakua vizuri ukanilewesha tafadhali
Ukisoma hiyo kozi na kufaulu vizuri unaweza kufanya kazi katika taasisi ndogondogo za fedha mfano SACCOS mbalimbali, PRIDE, FINCA, BRAC na zinginezo pia unaweza kufanya kazi benki yoyote kwa weledi mkubwa!
 
shosti nataka nikasome nimepata sponsor naomba namba ya yule mchepuko wetu nataka anishauri kitu
Ila sasa hivi kahamia chuo cha TAKWIMU nadhani wewe utakuwa unakijua maana ni huko huko kwenu "DAA".
Kuhusu namba ngoja nikupe inbox/pm
 
Wana programme inayoitwa PROFESSIONAL FINANCIAL CO-OPERATIVE MANAGEMENT
hii husomwa kwa njia ya masafa. Kuna foundation course ambayo anasoma mtu yeyote alimaliza elimu ya msingi au hata aliyemaliza kidato cha nne lakini hakufaulu kwa kiwango cha masomo manne na kuendelea.
Pia wana kozi inayoitwa PC - Saccos ambayo anasoma mtu aliyemaliza form four na kufaulu masomo manne au hata mwenye elimu ya juu zaidi ya hapo. Pia walimaliza kozi ya foundation na kufaulu vizuri.
Kozi nyingine ambayo unaweza kusoma kwa njia ya masafa ni POSTGRADUATE DIPLOMA IN SACCOS MANAGEMENT.
mkuu umeongea kweli tupu na sasa nasubiri graduation nipewe chet changu
 
Back
Top Bottom