Ubora wa Chuo cha Ushirika Moshi

Baba jayaron

JF-Expert Member
Jun 29, 2015
3,994
5,437
Wadau habari,
Naombeni msaada mnijuze ubora na soko la ajira kwa KOZI zinazotolewa na chuo cha ushirika Moshi hasa ile certificate ya distance learning.

Angalizo:
nimeambiwa tuu sasa naona kabla ya kwenda nipate mtazamo wa watu maana nikienda najua kale kamsemo ka mwamba ngoma huvutia kwake. Kama ntakua nimekosea nisahihishe ila naomba msaada wakujuzwa.
 
Wadau habari,
Naombeni msaada mnijuze ubora na soko la ajira kwa KOZI zinazotolewa na chuo cha ushirika Moshi hasa ile certificate ya distance learning.

Angalizo:
nimeambiwa tuu sasa naona kabla ya kwenda nipate mtazamo wa watu maana nikienda najua kale kamsemo ka mwamba ngoma huvutia kwake. Kama ntakua nimekosea nisahihishe ila naomba msaada wakujuzwa.

certificate ya distance learning!???

Mh! Mkuu SHIEKA hapo nimetoka kapa!!!!

Hebu jielezee vizuri dada angu...
 
Kama ni masuala ya SACCOS basi hicho ni chuo sahihi...!
je ni marketable pia uwanda wake wa ajira ama kujiajiri umekaaje??
kama utakua unajua scale yake ya mshahara itakua vizuri ukanilewesha tafadhali
 
je ni marketable pia uwanda wake wa ajira ama kujiajiri umekaaje??
kama utakua unajua scale yake ya mshahara itakua vizuri ukanilewesha tafadhali

Unajua SACCOS ni nini kweli? VYAMA VYA KUWEKA NA KUKOPA. Sasa rudi upya uulize maswali yako.
 
mazingira mazuri,accomodation sio tatizo.kuhusu tatizo la maji sahau kabisa.ulinzi mzuri.very accessible kwani kipo karibu na mjini. kwa boda boda ni elfu moja hadi mjini,
daladala ndo za kutosha nauli ni sh 400.ukifika moshi stendi ulizia daladala za KCMC panda waambie wakushushe ushirika.ni mojawapo ya vituo vya mwanzo kabisa baada ya kupanda daladala.
kutembea kwa miguu ni almost dk 20-30 kwenda katikati ya mji
bajaji zipo za kumwaga geti la chuo. buku 2 ukipanda mwenyewe hadi town
huduma zote kama hospitali zipo karibu.ukitaka kupanga mitaa ya karibu na chuo vyumba vipo commonly chumba+choo(self) inarange kwenye 60 elfu. kwa ufupi ni hayo tu.labda ukiuliza specific thing ninaweza kujibu kutokana na demand ya swali lako
 
Veep kuhusu mazingira ya kimichezo maana c wengne michezo ndo wanawake zetu
kuhusu michezo pale ndo umefika mzee.wana stadium kubwa ambayo ina michezo ya football,volleyball,riadha,netball na basketball. ni stadium nzuri na ndiyo timu kama panone inatumia ktk mechi zake za daraja la kwanza na ndipo timu za ligi kuu kama yanga na azam walicheza michezo yaokadhaa.pia uwanja huo ndipo hufanyika mashindano makubwa sana ya riadha hapa afrika mashariki yanaitwa KILIMANJARO MARATHON
 
vp baaf ya mocu na mzumbe ipi bora coz niliomba mocu then mzumbe
DAAAH huko sina majibu ya detail coz sijui record zao na efficirncy ya graduates wao.bt ya Muccobs no doubt ni nzuri sana coz waliomaliza wengi naona wanapata kazi bila matataizo
 
Back
Top Bottom