kijiichake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2010
- 284
- 58
njoo Nairobi kwenye duka la valid name happy life hats kwa mafundi spare za techno xiko teleAlieleta mada labda hakueleweka au mchangiaji atakua anauza bidhaa hizo lakin ukweli sim hizo za techno hata kama ni nzuri vip hazina spare. Nimekwenda mpaka kwenye maduka yao hawana spare. mtu kanitumia sim yake tokea iringa matikeo yake nimepata aibu.
Nakuongezea M3. Hii kitu ndo mpango mzima. 170,000/= tu. Kilichopo kwenye galaxy zao, humu zimo pia.
Unasema ukweli au unaleta mzaha! Hii kitu nlikuwa nayo nimempa dogo matatizo kibao
Unasema ukweli au unaleta mzaha! Hii kitu nlikuwa nayo nimempa dogo matatizo kibao
Mkuu acha kujifariji ujinga unless hujui unachoongea, hiki kimeo cha RAM 512?
Tatizo lako umetawaliwa na na mfumo wa kizamani samsung ina mapungufu mengi ambayo tecno wamejaribu ku deal with. Ni kweli wewe ni mpenzi wa samsung labda kwa vile ni favorite brand yako na huenda ndiyo uliyo nayo lakini hilo haliwezi kuzuia tecno kuizid kiutendaji na huenda hujajarbu brand zingine umekuwa mtumwa wa samsung tu
Lakini wenzio wanaongea kwa facts na research ambayo wamejaribu kuifanya kwa kuzilinganisha hizo simu in tems of hardware mechanism and software pplications na wameweza kutoka na details zenye vigezo na ushahidi kutetea hoja zao ,kuhusu swala la bei si hoja ya msingi kwani hata gari aina ya bughati inauzwa pesa nyingi sana lakini pamoja na pesa yote hiyo haiwezi kufikia uwezo wa tractor au scania 113 kiutendaji.
P5 ni laki na sitini.
P3 ni kama laki na ishirini hadi na thelathini.
M5 waliniambia ni 340,000/=
Mamb cm za tecno zotw ni imara na zot ni nzur ila phantom A+ ina application nying zaid na ina power bank ukitaj ntafute
Mkuu, nina mwaka na nusu sasa na ka tecno m3. Na ndio nakatumia hapa kuingia JF.
Tecno H6 ni mwisho wa matatizo mkuu, kwa 180k unapata smartphone yenye specifications za simu ya laki 5.
180k bro umeinunulia wapi nikanunue me mwenyewe
Unakielewa unacho kiandika mkuu?? Au umekalili? Acha kupotosha watu wewe ,unaijua gsmarena ni kitu gani na inafanya kazi kwa principle zipi? Tofautisha africa na europe devices promotion then uijue tecno ni kwa ajili ya soko gani na hiyo gsmarena inafanya promo za soko gani ''
kwanza unajua tecno inatengezwa kwa authority ipi??
Acheni kuwa washamba wa kuuziwa bidhaa kwa majina hata kama hazina viwango. For sure samsang na tecno kwenye hardware hazina tofauti kwa wale mafundi wa electronics wanao jua mainboard chip na kazi zake watakuwa wamenielewa vizuri samsung,lg,huawei,htc,sony Ericsson experia,'nexus,nokia,nk.
woote hardware machanism wanayotumia ni yaaina moja kasoro mfumo wa camera ndio wengine wame tumia carlzeiss techology ambapo wengine wametumia techologia za camera kama ,cmos na nmos na ccd sensors
Lakini kwa sehemu mifumo mingine yote ndani ya cm inafana kama tofauti mi michoro ya circuit tu kulingana na umbile la cm husika ,ambacho nimenote ni kwamba watanzania wengi t----------- na majina ya makampuni kongwe wakati bidhaa zipo chini ya kiwango.
mfano Simu nyingi za samsung wamechemka kwenye swala zima la power suply system ndio mana cm zao nyingi zinapata sana joto hasa pale zinapo fanya kazi ngumu kama 3g network and the like
Lakini tecno kwa hili naona wamejitahid si kwamba naipigia debe tecno hapana nina cm zote mbili hapa tecno na samsung na si kwangu tu hata kwa wenzangu wengi hilo lipo wazi na baadhi yenu hapa ni mashahidi wa hili