Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Nikiwa kazini,kuna mchanganya zege mmoja aliletewa picha yake ili ailipie then aichukue.Yule jamaa aliitazama picha kwa umakini mkubwa kisha akairudisha kwa photographer huku akisema kwa hasira,"siwezi kuilipia picha hii kwasababu sura ni yangu lakini miguu iliyoko pichani si yangu".