snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,523
- 2,162
Hujawahi kuziona au?zipo ipad za tecno na mini ipad.Na nishawahi kuitumia moja labda uniambie wewe huzijui
Ni tablet sio ipad.
Ipad ni product za apple.
Hujawahi kuziona au?zipo ipad za tecno na mini ipad.Na nishawahi kuitumia moja labda uniambie wewe huzijui
Ni tablet sio ipad.
Ipad ni product za apple.
Wakati watu wanahamia Lollipop wewe utabaki kitkat. Hiyo ndo tofauti ndugu kama ulikuwa hujui.
Wewe usiwe mbishi kwa mfano Instagram kuna insta video ambayo kama simu ya android si version 4 na ram zaidi ya 1GB and upper haisupport.... .
Kuna application kibao huwez ku install ukiwa na android version chini ya 4..
Halaf jiulize TECNO wanatoa UPDATE za firmware yako..???
TECNO HAIPO HATA KWENYE LIST YA GSMARENA......
Wazee kwanza tecno ni kampuni ya wahindi na sio wachina kama wengi mnavodhani,
Kampuni hii wakati imeingia Africa iliiga mchezo wa kampuni za kichina kutengeneza low quality products kwan ndo zilizokua kwenye hit but baada ya kuanza tengeneza HD phones baabdae kija kwa android kampuni hii wanatoa vitu bora hakuna japo zinakua zinalack ubora katika screen na display zake,
Moja ya sifa kuu ya tecno wameweza sana swala zima la bettry hapa kampuni zote watasubiri kama uamini tafuta bettry la tecno weka kwenye android ako au hata nokia ya kawaida uone hayo matumizi tumia uwezavyo lakni bado ipo vzr.
Hyo ndo tecno kampuni inayo kua kwa kasi!!!!
Si sawa..ila anapata apps karibu zote zinazopatikana kwenye S4,so kwa mtu mwenye uwezo mdogo wa kifedha can go for it.
Mfano Mbona Xiaomi hazipo GSM arena lakini wana high quality smartphones na wanawaumiza kichwa huawei huko china
mkuu tecno sio fake ni low quality phones.
simu fake ni ipi na low quality ni ipi?
fake ni ile ambayo inapromise kitu ambacho haina. mfano umeandikiwa icon ya wifi then ukiclick ni bluetooth, ina app ya fb ukiclick wanakupeleka kwenye browser ya kichina, imeandikwa kwenye box ni hd wakati kioo ni 128x128
tecno ni low quality vitu vyote inavyo wifi, 3g, android na kila kitu sema vipo vya low quality. mfano kwenye simu zake wanatumia vioo vya tft ambavyo havina gorila glass (vioo vigumu). wanatumia resolution ndogo (240x320, 320x480) processor ndogo, ram ndogo.
hope umeelewa
Kukulupuka sio kuzuri mkuu !
All Xiaomi phones
Techno ni simu nzuri zina uwezo mkubwa kuliko Hata simu nyingine ninazo zifahamu. Shida ya sisi watanzania ni malimbukeni tunapenda sana product yenye advertise nyingi kwenye media. Tunakaa kama wazee wazamani
Wakuu unapozungumzia feki inamaana ya kampuni Moja imeiga na kutengeneza kitu kinacho fanana vilevile kutoka kampuni ilobuni au kuvumbua bila ya ruhusa ya wavumbuaj, hapo sasa bizaa iloiga itakua feki maana haki zake hazitmbuliki, na bizaa iloigwa ndo original maana Ina haki ya kudai hki zake baada ya kuigwa. Sema bidhaa nyingi zilizopo Tz Kama hizo Techno n law quality. Kuna kitu kinaitwa( IS) kwa maana ya International Standard bidhaa yoyote ukiona imeandikwa IS ikifatiwa na nambanmba hiyo ni original na imepimwa kwenye maabara ya Kimataifa na kupewa Chet chnye hzo namba , u got it.
Minatumia tecno h6 kitkat unanizid nn wewe mwenye htc au sumsung
Usifananishe s4 na p3 we jamaa fananisha s4 na tecno phantomy..I hate people wanaocompare mambo kisa inferiority zao... Huwezi kucompare Samsung na Tecno Eti kisa Zinaweka App ZinazofananaMtaalamu hawezi akafanya Jambo hilo.. maana Simu zote zinafeature nyingi zinazofanana. Ukiweka Eti zina App zote unaonekana wa Ajabu kama Simu zote zinapiga Simu. Kama Kutuma message zote zinatuma. Ila Si kigezo cha Kusema Zinafanana. WATU HAWAFANANISHI SIMU KWA SOFTWARE WANAFANANISHA KWA HARDWARE ZILIZOPACKIWA KWENYE SIMU NA TECHNOLOGY ILIYOTUMIKA. TECNO INA CHEAP TECHNOLOGY NA INALAGGY ZA KUTOSHA.. Hebu jaribu kucheza Game kwenye S4 halafu liweke kwenye p3 yako uone tofauti..
Usifananishe s4 na p3 we jamaa fananisha s4 na tecno phantomy..
Sawa naona wameongeza na xiaomi.
Sticking to my point kutofanyiwa review na GSM arena haimaanishi ni fake.
Mfano mwingine sijaona smartphone za landrover zikifanyiwa review GSM arena
Wakuu unapozungumzia feki inamaana ya kampuni Moja imeiga na kutengeneza kitu kinacho fanana vilevile kutoka kampuni ilobuni au kuvumbua bila ya ruhusa ya wavumbuaj, hapo sasa bizaa iloiga itakua feki maana haki zake hazitmbuliki, na bizaa iloigwa ndo original maana Ina haki ya kudai hki zake baada ya kuigwa. Sema bidhaa nyingi zilizopo Tz Kama hizo Techno n law quality. Kuna kitu kinaitwa( IS) kwa maana ya International Standard bidhaa yoyote ukiona imeandikwa IS ikifatiwa na nambanmba hiyo ni original na imepimwa kwenye maabara ya Kimataifa na kupewa Chet chnye hzo namba , u got it.