Ubishi mtaani kuhusu tecno mobile

Ubishi mtaani kuhusu tecno mobile

Kwanza tufahamu maana ya neno fake, na maana ya neno BELOW STANDARD, hapo ndio tutajua tunabishana kuhusu nini. Ukisema tecno Ni fake basi Kuna original iliyoigwa. Otherwise tuongelee STANDARD

Mkuu unachokizungumzia hapo kwamba kama kitu ni fake basi kuna original yake unakua unakosea, sio lazma iwe ivyo.

Angalia therasus dictionary inavyosema kuhusu "clone"
  • *Main Entry:- clone
    *Part of Speech: noun
    *Definition:- exact duplicate
    *Synonyms:- act-alike, copy, double, duplicate, look-alike computer, reproduction, twin.

Kwahiyo ulichozungumzia hapo juu ni clone, lakini simu ambazo ni clone huwa vile vile ni fake, lakini simu fake sio zote huwa clone.

Angalia Urban dictionary inavyosema kuhusu "Fake"

  • *Main Entry:- FAKE
    *Part of Speech:- adjective
    *Definition:- false, imitation
    *Synonyms:- affected, artificial, assumed, bogus, concocted, counterfeit, fabricated, fictitious, forged, fraudulent, invented, make- believe, mock, phony, pretended,

Hapo tunaona maneno mengi ikiwemo fake na maana yakuwa ni pretended.
Kwahiyo kama simu walipretend ina 32GB ukakuta 16GB mana yake ni fake.

Urban dictionary wameongezea hapa "fake Something that isn't real, even if you want it to be real through wishful thinking."

Sina maana ya kwamba TECNO ni fake, ila kama tutaambiwa camera ina 16MP afu inatoa picha za 2MP basi itakua ni fake.

snipa
 
Last edited by a moderator:
Watu wengine bwana, mimi nimesema tuache porojo tutoe vitu kwa ushahidi na sio kukisia na kusema tu.

mkuu snipa nakuheshimu sana, Lakini hawa jamaa Antutu nawaheshimu zaidi.

11156167_464298450385572_643514582142281099_n.png


10906507_419737884841629_8760920850337867831_n.jpg

Naomba uniwekee Jina la Kampuni au makampuni yanayofanya vema ktk utengenezaji wa simu.
 
Kuna nchi hawajui hata kuna simu zinaitwa tecno. Na wengine wanezipiga marufuku kuuzwa nchini kwao.
 
Kuna nchi hawajui hata kuna simu zinaitwa tecno. Na wengine wanezipiga marufuku kuuzwa nchini kwao.


Sisemi kwamba tecno Ni bora au so bora. Lakini kupiga marufuku bidhaa pia inaweza isiwe kwa sababu ya ubora mbovu. Bali inaweza kuwa Ni mambo ya kiuchumi nk. Pia Kuna Simu nyingi ambazo zinajulikana Tu baadhi ya nchi. Simu kama GIONEE, KAZAM TROOPER nk.
 
Kwa kipato na mahitaji yangu ya simu Tecno ni simu nzuri sana
 
ubora wa simu ni pafomansi hebu install game mbili zenye mb zaid 40. Ala fungua moja minimize kwa kutumia home batani alafu fungua na lapili kisha cheza hilo ame la pili ilihali lile la kwanza umeliminimize utaniambia mwenyewe. Kama una tekno usije ukafanya hivyo itakustakia bure
 
ubora wa simu ni pafomansi hebu install game mbili zenye mb zaid 40. Ala fungua moja minimize kwa kutumia home batani alafu fungua na lapili kisha cheza hilo ame la pili ilihali lile la kwanza umeliminimize utaniambia mwenyewe. Kama una tekno usije ukafanya hivyo itakustakia bure

dah! ni sheeedah!
Z Min yangu inafanya kama kawaida tena bila kwereee!

nimesema hapa tuweke benchmarks , nionyesheni simu yenye bei ya Laki nne, yenye benchmarks za tecno.
 
Yani unataka kila kitu Utafuniwe?
Umewekewa majina ya simu hapo, sasa unataka majina ya makampuni pia?

Yani Unauliza EMBE Kibada.


Naomba uniwekee Jina la Kampuni au makampuni yanayofanya vema ktk utengenezaji wa simu.

Watu wengine bwana, mimi nimesema tuache porojo tutoe vitu kwa ushahidi na sio kukisia na kusema tu.

mkuu snipa nakuheshimu sana, Lakini hawa jamaa Antutu nawaheshimu zaidi.

11156167_464298450385572_643514582142281099_n.png


10906507_419737884841629_8760920850337867831_n.jpg
 
I hate people wanaocompare mambo kisa inferiority zao... Huwezi kucompare Samsung na Tecno Eti kisa Zinaweka App Zinazofanana

Mtaalamu hawezi akafanya Jambo hilo.. maana Simu zote zinafeature nyingi zinazofanana. Ukiweka Eti zina App zote unaonekana wa Ajabu kama Simu zote zinapiga Simu. Kama Kutuma message zote zinatuma. Ila Si kigezo cha Kusema Zinafanana.

WATU HAWAFANANISHI SIMU KWA SOFTWARE WANAFANANISHA KWA HARDWARE ZILIZOPACKIWA KWENYE SIMU NA TECHNOLOGY ILIYOTUMIKA.

TECNO INA CHEAP TECHNOLOGY NA INALAGGY ZA KUTOSHA.. Hebu jaribu kucheza Game kwenye S4 halafu liweke kwenye p3 yako uone tofauti..

Phantom z mini imeizidi Samsung s4 kila kitu
 
Sisemi kwamba tecno Ni bora au so bora. Lakini kupiga marufuku bidhaa pia inaweza isiwe kwa sababu ya ubora mbovu. Bali inaweza kuwa Ni mambo ya kiuchumi nk. Pia Kuna Simu nyingi ambazo zinajulikana Tu baadhi ya nchi. Simu kama GIONEE, KAZAM TROOPER nk.

Zimepigwa marufuku kutokana na Ubora wake kuwa ni duni.
 
Thread za kuifananisha Samsung na Tecno ndo maana Chief Mkwawa alisema hatogusa kabisa. Hata mimi namuunga mkono, ni ukosefu wa akili kulinganisha Tecno na Samsung, LG au Sony!!! Wakati hao Tecno hata Huawei hawaifikii.
 
Thread za kuifananisha Samsung na Tecno ndo maana Chief Mkwawa alisema hatogusa kabisa. Hata mimi namuunga mkono, ni ukosefu wa akili kulinganisha Tecno na Samsung, LG au Sony!!! Wakati hao Tecno hata Huawei hawaifikii.

poah, we endelea kuamini galaxy pocket imeizidi Phantom Z...
 
Yani unataka kila kitu Utafuniwe?
Umewekewa majina ya simu hapo, sasa unataka majina ya makampuni pia?

Yani Unauliza EMBE Kibada.

Tatizo umetuwekea popularity sio performance wala sales, kiujumla hizo data haziwezi kuwa valid kwa kinachozungmziwa hapa, na wala usitake kuwabeat watu with senseless facts,
Xiaomi HM note ni cheap priced ndomana imekuwa popular, tena mpaka sasa inatumia Jellybean, wenzao wapo Kit kat na lollipop.
Angalia hapa kama Xiaomi wapo.

galaxy-s6.jpg
 
Hebu weka asphalt 6 HD ujionee huwezi kucompare hizo tecno na S4 au Note 4 bado sana ziko duni.
 
Ata mimi nakuheshimu sana mkuu wangu.
Lakini ulichokifanya hapo nadhani haukielewi, wewe umelinganisha category ya simu, lakini sio kampuni husika kwa ujumla, sales za mwaka huu bado sijaziona ila angalia sales hizi world wide za 2014.

dw-d.png


dw-b.png


ukija kwenye Q4 high end sales ndipo utamwona Xiaomi kakaa nafasi ya 5.

Apple-tops-Samsung-for-Q4-smartphone-sales.jpg


Nazani umenielewa.


Unazungumzia sales za china !
Ni sawa na bongo TECNO anavyokimbiza kuliko samsung, lakini hatuwezi kusema Samsung sio bora.

Xiaomi anakimbiza china kwasabu anatengeneza baadhi ya simu kwa MediaTek nakuziuza bei rahisi, ndomana anakimbiza sana kuliko samsung.

Lakini angalia world wide sales kama Xiaomi atakaa ata kwenye top 5.
Baadhi ya simu za Xiaomi zimekua targeted kwa watu masikini, kama wanavyofanya Tecno Africa.


MKuu Siwezi Kukuelewa,

maana naona Unajiuliza mwenyewe alafu Unajijibu.
Au wewe unaonaje? Hivi Ukiwa wa TANO wewe sio TOP FIVE ?

Na kwa Taarifa yako kwa Mwaka Huu hao Jamaa walio watano hapo wameuza simu ni Balaaa!

Ngoja nikutafutie za First quater nauwakika atakuwa amepanda.
 
Tatizo umetuwekea popularity sio performance wala sales, kiujumla hizo data haziwezi kuwa valid kwa kinachozungmziwa hapa, na wala usitake kuwabeat watu with senseless facts,
Xiaomi HM note ni cheap priced ndomana imekuwa popular, tena mpaka sasa inatumia Jellybean, wenzao wapo Kit kat na lollipop.
Angalia hapa kama Xiaomi wapo.

galaxy-s6.jpg


Hivi Tunachobishania ni Nini? Ni Ubora wa simu au VALUE for MOney ?
 
Back
Top Bottom