kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 324
Mnabishana nn aisee kujua cmu ni orijino au fekI ni kazi ndogo tuu omba IMEI no then angalia tarakim ya 7 na 8 hzo ndo znadetermine ipi feki ipi orijino sema kwa sahv cwez sema kila k2 4 moRe info ntrudi kumalzia hZo tarakimu ya 7na 8 lakin huyu mnyAma muachen aisee mcifmguse na tecno zenu S4
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Inapendeza sana kusema kitu ambacho unauhakika nacho..
Umeishawahi kutumia Tecno?
Model ipi?
Gallaxy S4,S3,Note,Tab ,original ziko vzuri..
LG,SonyEricson,Moto Droid,HTC,Nokia pia wako vzuri..
Lakini kwa upande wa Price ziko juu sana tofauti na Tecno..
Lakini kwa sasa,Tecno N7,Phantom ,mkuu acha ubishi..
Narudia ninaziuza simu nazifahamu ,kwa sasa Tecno na ZTE zimekamata soko..
Nairobi gumzo ni Smart Phone za Tecno na ZTE.. na utambue simu fake hazifanyi kazi pale...