scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,732
- Thread starter
- #221
uko sawaMwenzetu ni wa kipekee
uko sawaMwenzetu ni wa kipekee

tatizo watu hamtaki kujifunza mmejawa na uvivu hii mada ina shida gani?Mada zingine bwana, na mods wanaziangalia tu
sawa,Huu mwandiko ni wa kiume kabisa aisee,![]()
Una uhakika gani alitolewa kwenye hayo mazingiraUlitolewa kimazingira ya kishirikina
Good.Pengine unakuwa wet sana kiasi kwamba huwezi kusikia maumivu. Uko sawa wapo wanawake wengi wa hivyo.as long as niko kama wanawake wengine nshapotezea
tatizo watu hamtaki kujifunza mmejawa na uvivu hii mada ina shida gani?
Kinachoshangaza na wewe umo lwenye kila nyuzi unazowaona hao watu.Nyuzi za hivi kuna Id ni must uzikute zimekomenti![]()
Bongo tunashabkia sana ngono kuliko maisha mengine .
''ko" ndio inatumika kama "so" mkuu.Hivi hii ''ko'' ndiyo humaanisha 'so'? au ni msamiati mpya?
Naiona inaandikwa andikwa sana siku hizi.
-Kaveli-
Wewe maelezo yake mwoneUna uhakika gani alitolewa kwenye hayo mazingira
Kumbe wewe ni mganga wa kienyejiUkinijibu haya utanisaidia sana nilidhani wewe sio mwenye shida nikajua ni wachokozi wa humu .
1. Ulipata hedhi ya mara ya kwanza lini?
Halafu niweze kukusaidia
Yes unataka nikusadie nini ??Kumbe wewe ni mganga wa kienyeji
Nataka umrudishie huyo dada bikra yake ilopotea kwenye mazingira ya kutatanisha,maana leo ndo mara ya kwanza kusikia ishu kama hiyo.Yes unataka nikusadie nini ??
Yana utata sana kwa kweliWewe maelezo yake mwone