Ubikira Wangu

Ubikira Wangu

Nyuzi za hivi kuna Id ni must uzikute zimekomenti
Bongo tunashabkia sana ngono kuliko maisha mengine .
 
Mleta mada me naona hakuna ulichowafundisha wenzako hiyo elimu yako ni ya sayari gani? Nianzie hapo kwanza.
 
Mi kuna kipenz cha roho yangu wa miaka mingi nilimtoa bikra kwa taabu, shaft ilipata shida sana kuingia takriban siku 3 lakin hakutokwa na damu, dah nikapoteza iman nae
 
Hivi hii ''ko'' ndiyo humaanisha 'so'? au ni msamiati mpya?

Naiona inaandikwa andikwa sana siku hizi.

-Kaveli-
''ko" ndio inatumika kama "so" mkuu.

Sawa sawa kama wanavyotumia "xaxa" badala ya sasa.

"Jomoni"badala ya "jamani ".
 
MWISHO
nipende kutoa shukrani kwa wale wote waliotoa maoni yao japo wengi walileta dhihaka na wengine kuandika maneno walosikia kuandika
Niwashukuru wale walotoa mawazo mapya,pia kupitia huu uzi nimejifunza nature ya watu tulionao japo tunatumia Id feki lakini kupitia maoni mbalimbali tyari nimeona kama nchi bado tunasafari ndefu
Watanzania wengi sio watu wa kuhangaika kutafuta vitu vipya yaani wao kitu ikishakuwa challenge hawataki na kama ni uzi umeleta utaambiwa ni chai,yaani watanzania kujifunza kitu kipya kwao ni maybe umbea,ndo maana hata furusa za masomo zinazotolewa kwa nchi maskini utakuta wamejaa wakenya,nigerians and ugandan wakati huku kwetu illiterate ni wengi lakini wala hata hawajigusi.
ni kawaida kukuta mtu anapiga soga mda wote lakini hajawahi kupitia makala zozote za afya eti kwa kuwa yeye siyo daktari.
Nisiongee sana lakini nashukuru kwa wale waliojaribu kunielewa
 
Unaweza ukala na uliemla asijue hiyo mbinu nimeitumia sana zamani.
 
Dada sijui mama anauliza bikira yake ilipotea poteaje ?

Ni jibu tu kuwa ili expire.

Nikisema bado moja ndo mtanivalia kibwebwe na ngoma mtanipigia
 
Carlos the Jackal njoo utupe elimu ya kisa cha huyu dada kina utata sana.
 
Back
Top Bottom