hata mimi sielewi
sio kwamba uke wangu hauko tight yaani huko tight kwakweli nadhani ni mdogo pia ani,ambacho watu hawajaelewa ni kwamba usipopata maumivu basi uke hauko tight hivyo ni vitu viwili tofauti
asa umeliwa na mwanaume mmoja huyo huyo akakuowa kweli we unaona hiyo ni sawa kingine hujiulizi kwann hukuwa na bikra? mi nafikiri ulikuwa na mahusiano na watu waishio huko baharini...
mkuu ulivouliza kinyonge sasa

dah et umeliwa na mwanaume 1 na umeolewa nae unaona iyo ni sawa!?
na kweli sio sawa kabisa so sad
nitarudi kusomaLengo la bandiko hili ni nini?
hapana wala hiki ni kitu kidogo sana na kwakuwa najua nature ya watu wa humu ndo maana nilijibu vyema,pia kupitia post yangu nimejua nchi kama nchi tuna safari ndefMhh jaman
Hii comment yako ni mwiba kwa mleta post
hiyo ni point piaNikutokana na maelezo Yako ya awali, ulisema kitu kilipenya kama kawaida bila dam Wala maumivu yeyote.
Pamoja na hayo sie wanaume ndio hua tunajua na kuelewa kwamba tightness inatofautiana na pia maumbile hayako sawa.
Nimeshakwambia Kwa Sasa, furahia maisha Kwa sababu Haina maana Tena Kwa Sasa ikiwa damu ilitoka au haikutoka au kutokujua ulipoteza vipi uanamwali wako.
Ninaheshimu mwanamke...naomba ufute uliponi quote nami nafuta rafiki🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa wanawake sisi mtu akikuambia hivi huwa unajiskia vibaya
Kwa wanawake sisi mtu akikuambia hivi huwa unajiskia vibaya


kwangu kwakweli z not big issue na isitoshe nishajipanga nawaza nini wakati mambo yangu yananiendea vyema,wenye stress zao ndo nawasubiri hapaNimefutaaNinaheshimu mwanamke...naomba ufute uliponi quote nami nafuta rafiki
at first hakuona mantiki wakati hii issue ni very sensitive ikiwa iliwahi kukutokea na ukajaribu kuitaftia ufumbuzi,mpaka sasa sijaona reply yake may be she is guiltynitarudi kusoma
pole kwakweli mi sikusikia maumivu nachokumbuka ni mkuyenge kulala baada ya kukosa alichokitarajiaMimi pia siku ya kwanza kusex damu haikutoka. Ila nilihisi maumivu makali hakuna mfano na dushe uliopita kwa tabu sana na jamaa hakuizamisha yote. Hata round moja hakumaliza kwa jinsi nlivokuwa nahisi maumivu na inawezekana alinionea huruma labda.
Kuna siku nilikaa na mama nikamwambia kuhusiana na hiyo kitu. Aliniambia nilipozaliwa uke wangu ulikuwa umeziba, nilifanyiwa upasuaji nikiwa na siku 3.
Inawezekana ndo ilisababisha nikakosa bikira.
Karibu mremboNimefutaa
Na nimependa maamuzi yako
😍😍Karibu mrembo
Inabidi uchepuke siku moja ili ujue ladha mbali mbalisa hivi nshakuwa mzoefu kwakuwa ni mtu anayependa kutafta vitu vipya basi hilo sina shaka,
Nenda maombi kavunje hiyo roho ya kichawi aisee lazima ndugu yenu kama bibi au mjomba au wanaukoo kuna watu wanaprctise uchawi good daymiaka kumi na tano
Aliyekufanyia hiyo kazi, ulimpa zawadi gani?Me sikutoa damu ila nilipata maumivu makali