Ubikira Wangu

Ubikira Wangu

MWISHO
nipende kutoa shukrani kwa wale wote waliotoa maoni yao japo wengi walileta dhihaka na wengine kuandika maneno walosikia kuandika
Niwashukuru wale walotoa mawazo mapya,pia kupitia huu uzi nimejifunza nature ya watu tulionao japo tunatumia Id feki lakini kupitia maoni mbalimbali tyari nimeona kama nchi bado tunasafari ndefu
Watanzania wengi sio watu wa kuhangaika kutafuta vitu vipya yaani wao kitu ikishakuwa challenge hawataki na kama ni uzi umeleta utaambiwa ni chai,yaani watanzania kujifunza kitu kipya kwao ni maybe umbea,ndo maana hata furusa za masomo zinazotolewa kwa nchi maskini utakuta wamejaa wakenya,nigerians and ugandan wakati huku kwetu illiterate ni wengi lakini wala hata hawajigusi.
ni kawaida kukuta mtu anapiga soga mda wote lakini hajawahi kupitia makala zozote za afya eti kwa kuwa yeye siyo daktari.
Nisiongee sana lakini nashukuru kwa wale waliojaribu kunielewa
Oya huu mwandiko ni wa chuo cha ufundi au chuo university?
 
Mdau ngoja nikusaidie kidogo, jibu lako ni hili hapa:

Kuna aina mbali mbali za hymen/ au bikra.

Zipo zilizofunga kabisa hizi zinaitwa Imperforate Hymen- kwa kawaida hizi haziruhusu hata damu ya hedhi kutoka na huwa zinahitaji upasuaji mdogo ili kuruhusu njia kufunguka

Ipo aina nyingine inaitwa cribriform hymen aina hii inakuwa na matundu madogo madogo na layer nyembamba, aina hii kimsingi ina maumivu makali saaana wakati wa kutolewa

Pia vile vile zipo bikra ambazo hazijafunga kabisa ,kwa maana nyingine tundu lipo wazi kabisaaa, aina hii kama tundu ni kubwa unaweza usihisi maumivu kabisa hususani kwa wewe ulietegemea maumivu makubwa kisaikolojia maumivu haya unaweza usiyasikie kabisaa, haya maumivu ni subjective mwingine anaweza kuyahisi kwa mbaaaali. Bikra hii inaweza kutoka bila damu kabisa

Aina hii pia inaweza kuwa na tundu dogo lenye utando mdogo pembeni ya tundu , kwahivyo inaweza kutoka damu kidogo na maumivu kutegemeana na ukubwa wa dickson .

Kwa msaada zaidi google types of Hymen ili kuona baadhi ya picha uelewe vizuri.


Ndimi mtaalam wa bikra JF, nakaribisha maswali ya mabikra tu waje PM kwa maelezo zaidi .

Asante.
 
MWISHO
nipende kutoa shukrani kwa wale wote waliotoa maoni yao japo wengi walileta dhihaka na wengine kuandika maneno walosikia kuandika
Niwashukuru wale walotoa mawazo mapya,pia kupitia huu uzi nimejifunza nature ya watu tulionao japo tunatumia Id feki lakini kupitia maoni mbalimbali tyari nimeona kama nchi bado tunasafari ndefu
Watanzania wengi sio watu wa kuhangaika kutafuta vitu vipya yaani wao kitu ikishakuwa challenge hawataki na kama ni uzi umeleta utaambiwa ni chai,yaani watanzania kujifunza kitu kipya kwao ni maybe umbea,ndo maana hata furusa za masomo zinazotolewa kwa nchi maskini utakuta wamejaa wakenya,nigerians and ugandan wakati huku kwetu illiterate ni wengi lakini wala hata hawajigusi.
ni kawaida kukuta mtu anapiga soga mda wote lakini hajawahi kupitia makala zozote za afya eti kwa kuwa yeye siyo daktari.
Nisiongee sana lakini nashukuru kwa wale waliojaribu kunielewa
Soma hapo nimeshakuandikia jibu sahihi.
 
Itakua kweli,baadhi ya wadada nasikia hasa kwa wale wa kijijini ambao hufanya shughuli nyinginyingi,ngumu... mfano kuendesha baiskeli... michezo minginemingine... bikra hutoka bila wao kujua.
 
Hapana 😅😅
Nimewaza labda aliwahi kuingiliwa akiwa mdogo. Na hakuwahi kujua
Hapa umewaza sawa na mimi.
Yaani siku ya kwanza kitu kiliingia kwa speed ya super Sonic. Mmhh!!!
 
Wakwangu nabishana nae kila Mara ili aniambie aliyemtoa bikra ila msimamo wake ni uleule kwamba Mimi ndiye niliyemuanza.

Kinachonifanya nimuamini Kwa 50%, siku ya Kwanza aliponipa tunda alijikaza Sana hadi akatoa machozi ila sikuona damu
 
Mdau ngoja nikusaidie kidogo, jibu lako ni hili hapa:

Kuna aina mbali mbali za hymen/ au bikra.

Zipo zilizofunga kabisa hizi zinaitwa Imperforate Hymen- kwa kawaida hizi haziruhusu hata damu ya hedhi kutoka na huwa zinahitaji upasuaji mdogo ili kuruhusu njia kufunguka

Ipo aina nyingine inaitwa cribriform hymen aina hii inakuwa na matundu madogo madogo na layer nyembamba, aina hii kimsingi ina maumivu makali saaana wakati wa kutolewa

Pia vile vile zipo bikra ambazo hazijafunga kabisa ,kwa maana nyingine tundu lipo wazi kabisaaa, aina hii kama tundu ni kubwa unaweza usihisi maumivu kabisa hususani kwa wewe ulietegemea maumivu makubwa kisaikolojia maumivu haya unaweza usiyasikie kabisaa, haya maumivu ni subjective mwingine anaweza kuyahisi kwa mbaaaali. Bikra hii inaweza kutoka bila damu kabisa

Aina hii pia inaweza kuwa na tundu dogo lenye utando mdogo pembeni ya tundu , kwahivyo inaweza kutoka damu kidogo na maumivu kutegemeana na ukubwa wa dickson .

Kwa msaada zaidi google types of Hymen ili kuona baadhi ya picha uelewe vizuri.


Ndimi mtaalam wa bikra JF, nakaribisha maswali ya mabikra tu waje PM kwa maelezo zaidi .

Asante.
umetish kaka
 
sio kwamba uke wangu hauko tight yaani huko tight kwakweli nadhani ni mdogo pia ani,ambacho watu hawajaelewa ni kwamba usipopata maumivu basi uke hauko tight hivyo ni vitu viwili tofauti
Tutaamini vipi bila picha

Bila picha huu unao ongea ni uzushi
 
Back
Top Bottom