Muchaga
Member
- Jun 8, 2016
- 60
- 28
DSM baby!
Sasa wabeba box mtatamani kurudi home.
Kwa ajili ya Uber
Hahahahah
Tell me unatania lol
DSM baby!
Sasa wabeba box mtatamani kurudi home.
wanajisumbua tu...nchi ishazoea kufanya mambo kishkaji ndo walete hiyo tech....boda boda kibaoooo watu wahangaikie UBER...
Nimehariri bandiko langu mkuu. Naamini sasa umeelewa.
Uber Technologies Inc. is an American multinational online transportation network company headquartered in San Francisco, California. It develops, markets and operates the Uber mobile app, which allows consumers with smartphones to submit a trip request which is then routed to Uber drivers who use their own cars.
Hapa sheria za TAXI imekuaje?
Maana UBER inamruhusu mtu yoyote mwenye gari kufanya biashara ya TAXI bila kibali chochote zaidi ya driving license yake, kwa Tanzania tunajua kuwa TAXI bubu haziruhusiwi so UBER wamelizunguka vipi hilo?
Kwa nini mkuu,unaweza ukatufafanulia kidogo!Duuuuh nawaonea huruma madrva tex na bodaboda. Nchi zote uber inapo operate basi ni kilio kwa hao madereva.
Uber services is almost half price cheaper than the regular taxi.
Madereva Taxi wa bongo inabidi waitumie hii kama nafasi ya kujikwamua na kupanua wigo wao wa soko.
Wakipinganana nayo itawa'cost kama wale madereva taxi wa France.
If you want to win business in modern world, you should embrace technology, the whole world is heading towards that direction.
466.33 TZS per kilometer watafanikiwathere is no cheapness in this business rather than being no negotiation at all
Uko very right nimetembea na GPS toka Dar mpaka Namtumbo na nilikuwa sijawahi pita njia hiyo toka nizaliwe.Kuna anasema mara GPS haitasoma, ukiwa na internet ya uhakika GPS inasoma hata uwe ndani ya hifadhi ya Selous sembuse vichochoro vya Dar.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Bora kuchaji kwa km na wenzetu wanakua na kimashine cha kusoma kiasi gani kimefika. Ila sie huku unachajiwa kwa kuangaliwa tu kma una hela au la
mmmh aiseee466.33 TZS per kilometer watafanikiwa
Kwa mfano, watawezaje kufanya background checks za madereva ili kuweza kuhakikisha usalama wa abiria?
Mkuu Uber inafanikiwa Kwa sababu madereva wao hawafanyiwi background check wala finger print.
Nimesoma Kesi zao nyingi Uber wanapinga vikali hilo zoezi.
Sasa sijui hapa Tanzania itakuwaje