Sele Mkonje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 643
- 846
kumbe ilikuwa haijafika bado..? me nlitegemea labda ipo hadi Tabora
Swali zuri, itabidi waangalie jinsi ya kutatua changamoto hiiHapa sheria za TAXI imekuaje?
Maana UBER inamruhusu mtu yoyote mwenye gari kufanya biashara ya TAXI bila kibali chochote zaidi ya driving license yake, kwa Tanzania tunajua kuwa TAXI bubu haziruhusiwi so UBER wamelizunguka vipi hilo?
Nimejaribu maranyingi kutumia inagoma. SIjajua kama iko accurate kwa Dar.Google maps inafanya kazi hata bongo...ila ni kwenye zile barabara ambazo zipo tayari kwenye ramani.
Uswazi haifanyi kazi.
What is the content behind? Bcoz you speak as if you know what's behindAnother satanic move from us to the world ..you will only know its facial display and not the content behind
Can you imagine, hii 'think tank' ya chama haijui uber ni kitu gani alafu anasimulia ngonjera za ustawi wa viwanda!!
Yeah, this will be changamoto kwa ukweli.
Another good thing with Uber, it's cheaper.
I don't actually do that for sure. But with the respect of the area mentioned, I can hold my take for now a while as we keep our hears openWhat is the content behind? Bcoz you speak as if you know what's behind
Do want to say that the new world order is behind that!?I don't actually do that for sure. But with the respect of the area mentioned, I can hold my take for now a while as we keep our hears open
Hapo kwa credit card kutawakwaza wana Mzizima wengi.Ni hivi...kwa mfano mimi ninakuwa na ki Alteza changu.
Halafu nina download Uber partner App kwenye smart phone yangu. Nikishapewa rukhsa na Uber ya kuanza kuendesha, watu ambao nao wamepakua Uber rider App wakiomba niwafuate na kuwapeleka sehemu watakazo kwenda, naenda kuwachukua na kuwapeleka. Hizo Apps ndo zinatuunganisha.
Kwa hiyo, ni huduma ya teksi lakini ambayo inatumia zaidi teknolojia kuunganisha madereva na abiria.
Na madereza wanakuwa wanatumia gari zao ambazo hazina alama yoyote ile kama ambavyo zilivyo teksi.
Na malipo yote ni electronic...yaani hakuna cha kubadilishana pesa taslimu kama ilivyo kwenye teksi.
Rider anapojisaliji anaweka credit au debit card information zake kwenye system na akiomba ride....ride ikija na kukamilika...basi gharama atakuwa charged automatically kupitia card yake.