Baada ya ile shoo ya jana kufana sana pale mbunge Sugu alipo uhakikishia umma wa wapenda muziki wa kizazikipya kuwa watu wanapenda vya nyumbani na niwazalendo waukweli. nimechukizwa sana na kitendo cha clouds na Ruge kuhadaa wapenzi wa muziki na watanzania kwa ujumla, clouds wakiwa na shoo ya mwanamuziki kuto nje na hatakama ni wanyumbani huwa wanachukua hata mwezi mzima kufanya promo, chakushangaza huo ujio wa DMX hata haukuchukua wiki mbili. nimatumaini yangu kuwa wasanii wote wa bongo wameona ukweli uko wapi, tujifunze kuvipenda vyetu jamani ndipo wengine nao watapata hamu yakuvipenda pia.
Hivi Ruge alikaa na nani akamshauri kufanya mambo ya kipuuzi kama alivyofanya???itakua vipi kama dmx ataamua kulivalia njuga suala zima lakuhusishwa kwenye issue asiyoijua..,wenzetu wanauchukulia muziki kama sehemu ya uchumi wao,tofauti na ruge na clouds wanapo fanya u kanjanja kujinufaisha wao binafsi na kuhujumu wengine kanakwamba bila wao msanii wa bongo hawezi toka.watangazaji wa clouds mnatumika vibaya hilo halina ubishi, basi nanyie tumieni akili zenu kufikiri sio ruge afikiri kwa niaba yenu, tafadhalini sana watanzania wa leo sio wale wa mwaka arobaini na saba
Hivi Ruge alikaa na nani akamshauri kufanya mambo ya kipuuzi kama alivyofanya???itakua vipi kama dmx ataamua kulivalia njuga suala zima lakuhusishwa kwenye issue asiyoijua..,wenzetu wanauchukulia muziki kama sehemu ya uchumi wao,tofauti na ruge na clouds wanapo fanya u kanjanja kujinufaisha wao binafsi na kuhujumu wengine kanakwamba bila wao msanii wa bongo hawezi toka.watangazaji wa clouds mnatumika vibaya hilo halina ubishi, basi nanyie tumieni akili zenu kufikiri sio ruge afikiri kwa niaba yenu, tafadhalini sana watanzania wa leo sio wale wa mwaka arobaini na saba