peoples power
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 475
- 100
:A S 465::lol::eyebrows::juggle::juggle::juggle: bangi mbayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
wewe... shoo ya clouds ilifunika bana....! cheki umati hapa https://www.jamiiforums.com/entertainment/197285-vinegaaaass-ili-funikaaaa-ile-mbaayaaa-2.html
SUGU aachane na ruge arudi jimboni kutumikia wananchi wake... hawakuchagua kuja DSM kushindana na Ruge
Kweli nyie sio watz mana mnashobokea wasanii wa njee ngoja tutawaleta waingereza wawafanyie shoo.
wewe... shoo ya clouds ilifunika bana....! cheki umati hapa https://www.jamiiforums.com/entertainment/197285-vinegaaaass-ili-funikaaaa-ile-mbaayaaa-2.html
SUGU aachane na ruge arudi jimboni kutumikia wananchi wake... hawakuchagua kuja DSM kushindana na Ruge
Well said! Hahahahahahah!Hahahahahaaa...clouuudz kitu cha makameruni.....hivi huto ruge mshauri wake ni kibonde unategemea nn hapo!,,,
na hawa ndio aina ya wasanii waliokuwepo kwenye tamasha lao lililododa.
at last it will be guns & roses watch and see
Kama wasanii wenyewe ndio hawa,basi waliohudhuria wote mashoga.
Ruge asipokuwa makini Clouds FM inaweza kuja kuwa sehemu ya kuuza supu ya makongoro! (samahani kwa mtu yeyote anayeuza supu ya makongoro). Ni hatari sana kuingiza biashara ya chombo cha habari kwenye mgogoro unaogusa wateja (wasikilizaji). Ruge anaweza kujifariji kuwa yuko karibu na wakubwa i.e Magogoni, lakini akumbuke Magogoni ni kwa awamu pindi muda ukiisha atakuwa hana pa kujishika, na wakati huo sumu itakuwa imesambaa kila mahali.
Ruge kama unasoma hapa, grow up, be a gentleman & concentrate on your business - kama bado unaipenda biashara yako!. Wewe sio malaika, haiwezekani hauna hatia kwenye huu ugomvi. Na huwezi kugombana na Sugu bila kugombana na wasikilizaji wako wengi. Na hata hao wanamzuki wanaokulamba miguu wananfanya hivyo mbele ya uso wako, nje ya hapo they hate you with passion, wanaamini (kweli au si kweli) kuwa unanyanyasa wanamzuki.
Kila lenye mwanzo lina mwisho wake. RUGE you can fool some people sometimes,but you can't fool all the people all the time.
Wakati sasa umewadia,watu wamezinduka.
wewe... shoo ya clouds ilifunika bana....! cheki umati hapa https://www.jamiiforums.com/entertainment/197285-vinegaaaass-ili-funikaaaa-ile-mbaayaaa-2.html
SUGU aachane na ruge arudi jimboni kutumikia wananchi wake... hawakuchagua kuja DSM kushindana na Ruge
inamaana hujui kama watangazaji wa Clouds wanatumia masabuli kufikiri?