Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,502
Mkuu Kaunga, mimi nipo sana tuu!. Graphology inanieleza hili swali umeliletwa kwa nia ya uchokozi fulaani hivi!, any way, mimi ni Mkatoliki niliyeisoma Biblia kivyangu vyangu, kuna mambo mengi dini zinayafanya ambayo sio, hili likiwa miongoni mwake!.Kufukiza ubani.
Kwa wakatoliki, sijui kuhusu makanisa mengine; ubani ni sehemu muhimu ktk ibada ya misa.
Nimeona na kusikia pia, ubani hutumika ktk kuyaita/kuyapunga majini.
Sasa swali langu hasa kwa wajuvi, ubani una issue gani na spirits? Iwe Holy Spirit au evil spirit?
Pasco upo?
Mkuu Kaunga, nipo sana tuu!. Graphology inanieleza hili swali umeliletwa kwa nia ya uchokozi fulaani hivi!, any way, mimi ni Mkatoliki niliyeisoma Biblia kivyangu vyangu, kuna mambo mengi dini zinayafanya ambayo sio, hili likiwa miongoni mwake!. Sisi binadamu tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, yaani Mungu ndiye yumo ndani yatu kwa ile omnipresence yake, ila pia ametupa utashi kujua kuwa shetani yupo na tuko huru kumkaribisha!, ukimkaribisha shetani, Mungu anakuacha!. Nyumba za ibada, ni mahala patakatifu penye Mungu hivyo shetani hawezi kuwepo, lengo la ubani ni kumfukuza shetani na watumishi wake ambao ni mapepo!. Shetani huyu na mapepo haya huletwa na waumini wenye nayo!.
Pasco.
Asante Pasco, sasa kama ubani hutumika kumfukuza shetani kwanini waganga na waita majini nao hutumia ubani?
Sijafanya uchokozi, ninajaribu tu kuielewa hii ritual yetu (mimi pia mkatoliki) na nilifukiri jamvini pia mapadre wapo wangetusaidia kuput more light to this.
ibada zote zinazoshirikisha,uban,malashi,sanamu,kafara ya damu, ni chukizo mbele za MUNGU,kwa maana yeye ni roho wamwabuduo imewapasa kumwabudu ktk roho na kweli,si kwa kuona
Kinachomater ni unanuizia nini wakati wa kufukiza huo ubani!. Ukifukuza wanakimbia, ukiita wanakuja!.
Pasco.
Kaunga uko deep!.Luka 1:9,11
Zakaria (baba yake yohana mbatizaji) alichaguliwa kwa kura kama ilivyo desturi, kuingia hekaluni ili akafukize ubani. Malaika wa Bwana akamtokea humo ndani, akasimama upande wa kulia wa madhabahu ya kufukizia ubani.
Umeona kwa aya hizo, Angel (spirit) alikuja baada ya ubani kuchomwa. Na upande wa pili wa darkness pia ubani hutumika. Nafikiri ni sahihi kusema ubani ni mvuto wa spirits, iwe light au dark spirits.
Cc MziziMkavu
Luka 1:9,11
Zakaria (baba yake yohana mbatizaji) alichaguliwa kwa kura kama ilivyo desturi, kuingia hekaluni ili akafukize ubani. Malaika wa Bwana akamtokea humo ndani, akasimama upande wa kulia wa madhabahu ya kufukizia ubani.
Umeona kwa aya hizo, Angel (spirit) alikuja baada ya ubani kuchomwa. Na upande wa pili wa darkness pia ubani hutumika. Nafikiri ni sahihi kusema ubani ni mvuto wa spirits, iwe light au dark spirits.
Cc MziziMkavu
Luka 1:9,11
Zakaria (baba yake yohana mbatizaji) alichaguliwa kwa kura kama ilivyo desturi, kuingia hekaluni ili akafukize ubani. Malaika wa Bwana akamtokea humo ndani, akasimama upande wa kulia wa madhabahu ya kufukizia ubani.
Umeona kwa aya hizo, Angel (spirit) alikuja baada ya ubani kuchomwa. Na upande wa pili wa darkness pia ubani hutumika. Nafikiri ni sahihi kusema ubani ni mvuto wa spirits, iwe light au dark spirits.
Cc MziziMkavu
Msome Kaunga in between the lines tangu mwanzo, utanielewa, ukishindwa kabisa nitakuelewesha. Issue anayoizungumzia hapa ni issue fulani yenye contradiction fulani za kiimani!.
Msome Kaunga in between the lines tangu mwanzo, utanielewa, ukishindwa kabisa nitakuelewesha. Issue anayoizungumzia hapa ni issue fulani yenye contradiction fulani za kiimani!.
Pasco