Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,055
Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza umesema hauna taarifa zozote za mtu anayedaiwa kuwa Mtanzania, Omega Mwaikambo ambaye alifungwa miezi 3 jela kwa kosa la kuweka picha ya maiti mtandaoni.
Habari hizo zilisambaa kwa kasi na kumtaja mtu huyo kuwa ni raia wa Tanzania.
Habari hizo zilisambaa kwa kasi na kumtaja mtu huyo kuwa ni raia wa Tanzania.